Manji ajaribu kujisafisha Kashfa ya Kagoda; ajichongea!

Well,

Barua haiko signed basi ni CHAKA... Umeangalia tarehe za registration ya Kagoda na ukaangalia makubaliano ya mkopo toka Kagoda kwenda Quality Finance? Do you see my concern? Wala mi sina shida na yeye kupinga, ana haki na si vema kuchafuliwa kama anajua yeye ni msafi. Tatizo langu ni ninapoangalia hizi TAREHE mkuu wangu
Mkuu, nimeona hiyo.
Nina wasiwasi na hili game, sijui nani haswa analengwa, lakini I bet it is a calculated move.....a chase of some sort.
 
hawa wahindi zamani walijifanya wajuvi sana sasa mambo yao yanazidi kuwekwa hadharani ona anavyojibu utadhani mtoto wa darasa la pili barua nzima imejaa maneno ya hasira utafikiri anamjibu mpenzi wake.
Anahisi anajibizana na Mengi! Hana adabu nini?
 
kuongezea.. hapo nilipokoleza na kupigia mstari,
hivi ile issue ya YM kuleta tractors fake--cum city/municipal garbage collectors-- iliisha vipi?..lini?.. na wapi??
Yaani mtu anahitaji kuwa na moyo kama wa NN, otherwise unaishia na heart attack!!

To be honest ya manji na kagoda naona ni old news kwangu.

Mpya ni hili la Manji kuwaweka madiwani wake na meya wake jijini Dar na yanayojiri now....

Halafu si Manji ndie mmilikiwa wa SasaTel?

Kodi wanazolipa SasaTel zikoje? Kodi za Quality Group?

tukiendelea kujadili wizi wa 2005 wakati kuna wizi mwingine unaendelea ni busara kweli?

Si juzi jiji wamempa ufukwe wote wa Oysterbay?
 
Kitu ambacho mleta habari kashindwa kukielewa ni kuwa kuna grace period ya lini uli lodge kampunimiwe incorporated na lini imekuwa incorporated. Licha ya hayo kuna intention, ambayo inaweza kuambatana na MoU kabla ya kampuni kuanzishwa. Na hapo hizo tarehe na kampuni vimekuwa leaked ili ukivipeleka mahakamani (mwanasheria mbumbu kama anaetajwa) vikugeukie.

Kwa ufupi, kampuni inaweza kuwepo hata kama haijawa incorporated.

Halafu wewe hua comment zako humu hua sizipendi!!!
Hivi we uko upande gani? Maana hua hueleweki....vuguvugu mbaya..chagua moja either moto au baridi!!.
 
Tatizo si taarifa feki bali ni nani anazitoa na wapi, itikadi yake ni ipi, je amelenga nini na kumsaidia nani.
 
Tena sana..

profilepic33389_1.gif

Am sorry guys; ofutopik!!

Tama, hicho ki avatar chako kinanifanya nami nijisikie kutoa kashuzi kembamba... i just don't know how this happens!!!! :embarrassed:
 
Yusuf Manji, jamaa katajirika kwa mipesa yetu wenyewe, nashangaa wanaomsifia eti anatumia walizoacha babu zake.
Mzee Mahboob kafia Marekani, nasikia alikimbia moto hapa, si ajabu hata mwane naye akaanza.

Huyu Manji bora naye aanze, hizi pesa za wizi kazitumia kuwafadhili Yanga labda tutapumua akifulia!
 
To be honest ya manji na kagoda naona ni old news kwangu.

Mpya ni hili la Manji kuwaweka madiwani wake na meya wake jijini Dar na yanayojiri now....

Halafu si Manji ndie mmilikiwa wa SasaTel?

Kodi wanazolipa SasaTel zikoje? Kodi za Quality Group?

tukiendelea kujadili wizi wa 2005 wakati kuna wizi mwingine unaendelea ni busara kweli?

Si juzi jiji wamempa ufukwe wote wa Oysterbay?


mi sijasikia, unasema?
 
mkuu
actually nilichotaka tutumie nguvu pia kujadili wizi wake unaondelea now
sisemi tusijadili kabisa ya kagoda..
yuko behind karibu kila kitu cha dili za halmashauri ya jiji
why?kwa sababu kawachagua yeye hao madiwani na meya wao...
umenipata?

Umeya wa jiji wa Masaburi ni wa Manji!!
 
Faiza Foxy usipotoshe umma,weka hapa hicho kifungu cha Companies Act 2002 unachosema! The company can legally operate after full registration by Companies registract full stop!
 
Mbona nimesikia huyu manji anatumia hela ya babu yake!!!! yaani hela ya baba yake hajaigusa,,na ya kwake bado hajaigusa-some trillionare this man
 
Ukisoma katikati ya mistari utagundua kwamba ni walewale waliomtuma Msemakweli kuleta humu upuuzi wake na ni hao hao wamejifanya Manji.

Naanza hivi: Hiyo press release ni ya kihuni, ni upuuzi na nahisi imeandikwa bar yaani na mlevi. Kwanza sio official kwa maana ya unsigned, sio headed na imefanya personality attack badala ya kujibu hoja zao za kipuuzi.

Pili hivi huyu Manji, kama na yeye kakubaliana na 'press release' yake, anatufanya mafalz sie? Hata kama brela walimcheleweshea registration japo alikuwa tayari on business sasa ni kwa nini hasemi hayo? Lakini pia kwa nini yeye na serikali wasiungane kuwashitaki Kagoda?

Na nani hasa alikuwa Kagoda ambaye serikali ilimtuhumu kuiba pesa na kumkopesha manji moja kwa moja? Na kwa nini yeye manji alikuwa mdhamini wa wezi kule bank, na mwisho hizo debits huko bank mbona zilikuwa nyingi bila sababu maalum? Wezi watupu?

Najua Nape rafiki yangu anahangaika na haya, baba nikwambie tu ushashindwa hata kabla hujaanza, nawasilisha.
Msisahau kuwa kwenye ukweli uongo hujitenga!huo ni msemo wenye umri kuliko yeyote kati yetu hapa, YOU WILL ALL SEE THIS TO BE TRUE
 
Mkuu wasema hela za babu yake???? Aliztoa wapi kama si kunining'iniza babu zetu kichwa chini miguu juu??? Ni zetu wether ni za babu, bibi, babake! Ye mwenyewe mwaona anaztengeneza kimagumashi babu yake alifanyaje?
 
41 Reactions
Reply
Back
Top Bottom