Manji ajaribu kujisafisha Kashfa ya Kagoda; ajichongea!

Kitu ambacho mleta habari kashindwa kukielewa ni kuwa kuna grace period ya lini uli lodge kampunimiwe incorporated na lini imekuwa incorporated. Licha ya hayo kuna intention, ambayo inaweza kuambatana na MoU kabla ya kampuni kuanzishwa. Na hapo hizo tarehe na kampuni vimekuwa leaked ili ukivipeleka mahakamani (mwanasheria mbumbu kama anaetajwa) vikugeukie.

Kwa ufupi, kampuni inaweza kuwepo hata kama haijawa incorporated.

FF huenda una hoja hapa lakini watu wanakimbilia kujibu hii hoja na kuiponda kabla hawajajiridhisha na unachokisema.
 
Na hizi nyaraka ndizo zinapingwa na kamanda Marando zisitumiwe na Mengi kuthibitisha ufisadi wa Manji mahakamani!
 
Kisha Manji anaongelea kurudisha fedha ambazo Kagoda walikwiba, Anaongea kana kwamba yeye ni mzalendo na amewanyima Kagoda pesa zao na kuzipeleka serikalini. Hatuna shida sana pesa hizo, bali tuna shida sana ya kuwaburuza mahakamani wezi waliohusika na ushahidi wa kimazingira unaonesha Manji ni mhusika. Ningependa pesa za EPA zirudishwe wakati Manji na wenzake wakitumikia vifungo jela.
 
Kitu ambacho mleta habari kashindwa kukielewa ni kuwa kuna grace period ya lini uli lodge kampunimiwe incorporated na lini imekuwa incorporated. Licha ya hayo kuna intention, ambayo inaweza kuambatana na MoU kabla ya kampuni kuanzishwa. Na hapo hizo tarehe na kampuni vimekuwa leaked ili ukivipeleka mahakamani (mwanasheria mbumbu kama anaetajwa) vikugeukie.

Kwa ufupi, kampuni inaweza kuwepo hata kama haijawa incorporated.
Lakini haiwezi kuwa na legal power ya kuingia kwenye mikataba, leave alone mikataba mikubwa kama huu. It is only after being incorporated that is when it becomes legal entity.
 
Kitu ambacho mleta habari kashindwa kukielewa ni kuwa kuna grace period ya lini uli lodge kampunimiwe incorporated na lini imekuwa incorporated. Licha ya hayo kuna intention, ambayo inaweza kuambatana na MoU kabla ya kampuni kuanzishwa. Na hapo hizo tarehe na kampuni vimekuwa leaked ili ukivipeleka mahakamani (mwanasheria mbumbu kama anaetajwa) vikugeukie.

Kwa ufupi, kampuni inaweza kuwepo hata kama haijawa incorporated.

Haya ndiyo yale yale ya ooh! Rostam kafanya mambo makubwa, yepi? kimyaaaaaaa! Bibie kuna ugumu gani ukatuambia hiyo grace period kama ipo ni muda gani na kwa sheria ipi?? If it is just a matter of guessing kila mtu can make a point. Sasa tuwekee reference ya hiyo sheria ya makampuni na kuhusu grace period maana in the same line wakati ule wa zile invoices za Kinana kuna watu walikuja na utetezi kwamba serial no. ya mbele kuwa kwenye tarehe ya nyuma na ile ya mbele kuwa otherwise eti ni jambo la kawaida tu huko serikalini. This is JF we are bigger than that, reference plz??????
 
kwa kawaida shetani anakupeleka anakupa utamu baadae anakuacha uchii uhaibike sasa ndio kilichomkuta manji na wafanyaklazi wake amewafunga akili hadi wametoa vithibitisho ooohooo poor manji umekimbia umande ukajifunza kuibia watu ili uwe na hela kisha uwaajili nao wamekushauri ovyooo hadi umetoa ushaidi wa kukufunga ha ha ha ha ha mwizi adui wa uchumi wa tanzania aumbukaaaaa
 
Kwanza corrections:

iliyosajiriwa = iliyosajiliwa.
Agricullture = Agriculture


Naona hujazisoma sheria mpya za Biashara za Tanzania (na sehemu nyingi duniani). Anaekuwa liable ni yule aliye sign na si kampuni kama ilikuwa incorporated or otherwise.

Hilo la kusaini kama aliyesaini anayo mamlaka ya kusaini kimsingi kampuni itakuwa bound/liable kwenye hicho alichokisaini.

FF with due respect, nina wasiwasi na uelewa wako wa sheria za makampuni hasa hii ya hapa kwetu ( The Companies Act, CAP 212), unless kama unafanya makusudi kuspin huu mjadala.

Incorporation ni kama kuzaliwa (kwa natural person), hivyo huwezi kuingia mkataba na mtu ambaye hajazaliwa! Kama kulikuwapo 'promoters' wa hiyo Kagoda, wao ndio walipaswa kuingia mkataba (wa kukopesha) na QFL (manji) na baada ya Kagoda 'kuzaliwa' then wangeweza kuuhamishia huo mkataba kwa Kagoda. Kumbuka registrar wa makampuni anaweza kukataa kusajili kampuni au hata kukataa jina la kampuni na hivyo kampuni isizaliwe kabisa au isizaliwe katika jina lillilokusudiwa na promoters. Na zaidi, ni kosa kisheria kutumia mwishoni mwa jina neno 'limited' au kifupisho chake kabla ya kuwa incorporated (as such).

S14A(3) The Registrar shall not be required to assign reasons for his refusals to register the memorandum and the articles.

[FONT=Arial,Arial][FONT=Arial,Arial]S15[/FONT][/FONT](1) On the registration of the memorandum of a company the Registrar shall certify under his hand that the company is incorporated and, in the case of a limited company, that the company is limited.
 
Manji atakuwaje smart wakati wote mnajua kwamba ni teja na Msaidizi wake wa masuala ya habari na mawasiliano, Mhingo Rweyemamu ni kichwa maji aliyeua magazeti yote aliyopewa kusimamia huku akifanya character assasination ya watu walioonekana kuwa smart ambao wapo chini yake, ndiyo maana hata hiyo document hawajaisani wote vichwamaji.
 
Majambazi wa Ikulu wamemwambia ajitetee na alivyozezeta katumia watu kwa pesa za wizi kuhonga na kutolewa nyaraka nao wamemtosa hakomi tuu kutwa wanajiadhiri na nyaraka zao za kufoji hovyoooooooo kabisa serikali hii

TAARIFA KWA UMMA

Sisi Ikulu' tunalaani kwa nguvu zote, Hizi ni mbinu tuu za watu wachache wanaotaka kuwachafua wawekezaji katika nchi yetu, Ikumbukwe kwamba Serikali inatumia mda mwingi sana katika kuvutia wawekezaji wa ndani na nje. Serikali haitawavumilia watu wanaowachafua watu hawa muhimu kwa Taifa letu. Watanzania tuwapuuze wachochezi wanaotaka nchi yetu ipoteze amani yake tuliyo izoea na kuheshimika sana na jumuia za kimataifa.

Salva
08/09/2011
 
Halafu ana tamaa sana anataka kila kitu kizuri hapa mjini kiwe chake, amemfuata mtu mmoja ana nyumba yake maeneo ya morocco karribu na zantel anamwambia nataka hiki kiwanja niambie unataka shilingi ngapi huame hapa, nataka kujenga nyumba ya familia yangu toka kwa hiari au utoke kwa nguvu, hujui sisi ndo wenye nchi
 
To be honest ya manji na kagoda naona ni old news kwangu.

Mpya ni hili la Manji kuwaweka madiwani wake na meya wake jijini Dar na yanayojiri now....

Halafu si Manji ndie mmilikiwa wa SasaTel?

Kodi wanazolipa SasaTel zikoje? Kodi za Quality Group?

tukiendelea kujadili wizi wa 2005 wakati kuna wizi mwingine unaendelea ni busara kweli?

Si juzi jiji wamempa ufukwe wote wa Oysterbay?

Tunataka kutoa Mti na Mizizi yake kaka
 
Ukishapinga kuwa huhusiki kwenye jambo fulani hapa nchini basi inatosha.
Usiumize kichwa sana kuhusu namana ya kuandaa pingamizi,watanzania zaidi ya milioni 40 watakubaliana na wewe bila kuhoji.
Ni viherehere wachache sana watakaotaka kuangalia kwa makini pingamizi lako.
GO AHEAD MANJI.kila unaposhambuliwa usisite hata sekunde kurupuka hima na kupinga.
 
Chonde chonde Invisible, ungeangalia namna ya kuwasiliana naye haya ni matatizo ya kiufundi katika kufoji, duu kwanini wasitulie kidogo? yanajirudia makosa yale yale ya kufungua akaunt ya benki siku ya Jumapili. Pole sana Tanzania!!!

Maskini mhindi kajiumbua
 
Ushauri wa bure huo,teh teh teh teh. He may choose to doctor either of the two,hii ni Tanzania yote yawezekana kama mfuko ni mnono.
 
Kitu ambacho mleta habari kashindwa kukielewa ni kuwa kuna grace period ya lini uli lodge kampunimiwe incorporated na lini imekuwa incorporated. Licha ya hayo kuna intention, ambayo inaweza kuambatana na MoU kabla ya kampuni kuanzishwa. Na hapo hizo tarehe na kampuni vimekuwa leaked ili ukivipeleka mahakamani (mwanasheria mbumbu kama anaetajwa) vikugeukie.

Kwa ufupi, kampuni inaweza kuwepo hata kama haijawa incorporated.

FF una uhakika na hpo juu kweli?

15. Effect of registration Act No. 12/2002 Companies Act
(1) On the registration of the memorandum of a company the Registrar shall certify under his hand that the company is incorporated and, in the case of a limited company, that the company is limited, and, in the case of a public company, that the company is a public company.


(2) From the date of incorporation mentioned in the certificate of incorporation, the subscribers to the memorandum, together with such other persons as may from time to time become members of the company, shall be a body corporate by the name contained in the memorandum, capable of exercising all the functions of an incorporated company, but with such liability on the part of the members to contribute to the assets of the company in the event of its being wound up as provided for in this Act.

Pili on pre-incorporation contracts, such as the one between QFC KAL, the Companies Act inasema hivi:-

40. Pre-incorporation contracts, deeds and obligations


(1) A contract which purports to be made by or on behalf of a company at a time when the company has not been formed has effect, subject to any agreement to the contrary, as one made with the person purporting to act for the company or as agent for it, and he is personally liable on the contract accordingly.


(2) Subsection (1) applies to the making of a deed as it applies to the making of a contract.


FF, unaelewa effect ya sub-section (1) ya section 40 hapo juu kweli?

Na kwa ujumla hoja yako nini hasa?
 
Hilo la kusaini kama aliyesaini anayo mamlaka ya kusaini kimsingi kampuni itakuwa bound/liable kwenye hicho alichokisaini.

FF with due respect, nina wasiwasi na uelewa wako wa sheria za makampuni hasa hii ya hapa kwetu ( The Companies Act, CAP 212), unless kama unafanya makusudi kuspin huu mjadala.

Incorporation ni kama kuzaliwa (kwa natural person), hivyo huwezi kuingia mkataba na mtu ambaye hajazaliwa! Kama kulikuwapo 'promoters' wa hiyo Kagoda, wao ndio walipaswa kuingia mkataba (wa kukopesha) na QFL (manji) na baada ya Kagoda 'kuzaliwa' then wangeweza kuuhamishia huo mkataba kwa Kagoda. Kumbuka registrar wa makampuni anaweza kukataa kusajili kampuni au hata kukataa jina la kampuni na hivyo kampuni isizaliwe kabisa au isizaliwe katika jina lillilokusudiwa na promoters. Na zaidi, ni kosa kisheria kutumia mwishoni mwa jina neno 'limited' au kifupisho chake kabla ya kuwa incorporated (as such).

S14A(3) The Registrar shall not be required to assign reasons for his refusals to register the memorandum and the articles.

S15(1) On the registration of the memorandum of a company the Registrar shall certify under his hand that the company is incorporated and, in the case of a limited company, that the company is limited.

The Companies Act 2002,
"40.-(l) A contract which purports to be made by or on behalf of acompany at a time when the company has not been formed has effect,subject to any agreement to the contrary, as one made with the personpurporting to act for the company or as agent for it, and he is personally
liable on the contract accordingly."

Mimi sio mwanasheria, lakini nimepitia hiki kifungu nikaona kama vile kilitungwa makusudi kwa ajili fulani...Kwa hiyo tarehe za huo mkopo na certificate of incorporation zimewekwa purposely ili ziwapoteze watu..,
  • Swali ni jee, huyu aliyeenda kununua madeni BOT hakuwa amepanga anakwenda kuzifanyia nini ndipo akaona amtafute Manji amkopeshe?
  • Je,walipokuwa wanapresent documents zao BOT kwa ajili ya kuomba kununua madeni hawakuwa wakitoa maelezo ya nini wanakwenda kuzifanyia hizo fedha na BoT walikubali kuirithisha hayo madeni Kampuni inayokwenda kukopesha kampuni nyingine kibiashara?..
Kuna mdau mmoja kadai Manji 'kawaweka' madiwani na Meya wa Dar, nina shaka hata hawa watungaji wa hizi rasimu za sheria nao wako katika ayroll yake manake kwa hivi vifungu vya sheria nahisi jamaa anaweza akawa ana influence kwa kiasi flani..​
 
Back
Top Bottom