mtotomtamuu
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 602
- 1,454
Mbona anatoa makavu kama Kawa
Ni mzunguIla aangalie tu huyo Mpenzi wake asiwe pacha wa wale waliokamatwa Malawi kwani wana mbinu nyingi na ujanja mwingi wa kummaliza adui pasipo adui kujijua na hadi ukija kushtuka tayari umeshaangamizwa. Naomba niishie hapa tafadhali!
Ni mzungu
chaaaaaaHuyo mpenzi wake anajua Kiswahili kumbe!
Mahusiano yake yanahusiana nini na CcmKasema amefuta kwaajili ya mahusiano yake na mpenzi wake....hamna kilichomkuta
Makonda yuko USASi raisi alizuia safari za nje? Mkuu wa mkoa afata nn xx uko Marylnd
hahahahah nkiki hahahahachaaaaaa
Mwezi mchanga yule subiri uoneNimeshangaa katika pitapita zangu instagram kukuta Mange Kimambi kafuta post zake zote za kukashifu wengine, kampain choma kadi ya CCM etc. Nilichokikuta na posts za yeye na Familia yake tu.
Huyu dada inawezekana Malaika amemshukia au kunajambo nyuma ya pazia. Hii sio kawaida yake. Lazima kuna yaliyomkuta. Ila yatajulikana muda si mrefu.
Nadhani Uko sawa KiongoziSiasa za mitandaon kamwe hatuwez shinda
Alivyomshambulia lowassa kuumwa vip ulijisikiaje pia?Mie lakini alivyomponda Makonda sikupenda,mtu huwezi kumshambulia mtu namna ile,jambo la uzazi ni sensitive issue.
Ccm ndio kitu gani mkuuMahusiano yake yanahusiana nini na Ccm
Basi watakua wamekosa cha kufanya! Yaani uanze kumuwinda hivyo mtu kama Mangekwanza hajaliiNa siku zote wakiwa wanataka kukupandikizia Mtu kukumaliza huwa wanamtafuta Mtu ambaye huwezi kumdhania na pengine ni wa race nyingine kabisa kisha anakuwa planted kufanya majukumu. Muwe mnapitia pitia kidogo Vitabu mbalimbali vya Jamaa zetu wale wa Malawi ili muweze kujifunza mengi kwani siku hizi Mashirika makubwa kabisa ya hiyo fani huweza Kazi zao na uzoefu wao hasa Kimaandishi ili Watu kama sisi tuweze kujifunza na hata kuna Picha nyingi tu za Video zinavyoelezea uhalisia wa hawa Jamaa wa KAZI MAALUM katika kutekeleza azma yao.
Nadhani humu yupo mkuu na atakua ameona hapaIla aangalie tu huyo Mpenzi wake asiwe pacha wa wale waliokamatwa Malawi kwani wana mbinu nyingi na ujanja mwingi wa kummaliza adui pasipo adui kujijua na hadi ukija kushtuka tayari umeshaangamizwa. Naomba niishie hapa tafadhali!
Unatamani kua m@m@ rejina ila ndo basi tenaAlitangaza kuhamia kwenye ya siasa Za Tanzania kilichotengenezwa maalum na timu ya propaganda ya Edward Lowassa