Mange Kimambi afuta post zote za 'kuiponda' serikali ya CCM

Ila aangalie tu huyo Mpenzi wake asiwe pacha wa wale waliokamatwa Malawi kwani wana mbinu nyingi na ujanja mwingi wa kummaliza adui pasipo adui kujijua na hadi ukija kushtuka tayari umeshaangamizwa. Naomba niishie hapa tafadhali!
Ni mzungu
 
Ni mzungu

Na siku zote wakiwa wanataka kukupandikizia Mtu kukumaliza huwa wanamtafuta Mtu ambaye huwezi kumdhania na pengine ni wa race nyingine kabisa kisha anakuwa planted kufanya majukumu. Muwe mnapitia pitia kidogo Vitabu mbalimbali vya Jamaa zetu wale wa Malawi ili muweze kujifunza mengi kwani siku hizi Mashirika makubwa kabisa ya hiyo fani huweza Kazi zao na uzoefu wao hasa Kimaandishi ili Watu kama sisi tuweze kujifunza na hata kuna Picha nyingi tu za Video zinavyoelezea uhalisia wa hawa Jamaa wa KAZI MAALUM katika kutekeleza azma yao.
 
Nimeshangaa katika pitapita zangu instagram kukuta Mange Kimambi kafuta post zake zote za kukashifu wengine, kampain choma kadi ya CCM etc. Nilichokikuta na posts za yeye na Familia yake tu.

Huyu dada inawezekana Malaika amemshukia au kunajambo nyuma ya pazia. Hii sio kawaida yake. Lazima kuna yaliyomkuta. Ila yatajulikana muda si mrefu.
Mwezi mchanga yule subiri uone
 
Na siku zote wakiwa wanataka kukupandikizia Mtu kukumaliza huwa wanamtafuta Mtu ambaye huwezi kumdhania na pengine ni wa race nyingine kabisa kisha anakuwa planted kufanya majukumu. Muwe mnapitia pitia kidogo Vitabu mbalimbali vya Jamaa zetu wale wa Malawi ili muweze kujifunza mengi kwani siku hizi Mashirika makubwa kabisa ya hiyo fani huweza Kazi zao na uzoefu wao hasa Kimaandishi ili Watu kama sisi tuweze kujifunza na hata kuna Picha nyingi tu za Video zinavyoelezea uhalisia wa hawa Jamaa wa KAZI MAALUM katika kutekeleza azma yao.
Basi watakua wamekosa cha kufanya! Yaani uanze kumuwinda hivyo mtu kama Mangekwanza hajalii
 
Ila aangalie tu huyo Mpenzi wake asiwe pacha wa wale waliokamatwa Malawi kwani wana mbinu nyingi na ujanja mwingi wa kummaliza adui pasipo adui kujijua na hadi ukija kushtuka tayari umeshaangamizwa. Naomba niishie hapa tafadhali!
Nadhani humu yupo mkuu na atakua ameona hapa
 
Back
Top Bottom