Inamaana Msajili hakuona jinsi Katibu wa CCM kigoma mjini akivyoongoza zoezi la kuchoma kadi za ACT-Wazalendo?
Hii chuki inayopandikizwa na Msajili anajua hasara yake kwa taifa?
Hivi kama hutaki watu wawe na vyama vya siasa,na kila wanachofanya wewe unadhibiti unataka waanzishe vikundi vya Kigaidi?
Kama hataki vyama ambavyo ndio jukwaa la watu kufikia matarajio yao kwa njia ya amani unataka wafikie matarajio yao jwa njia za vurugu?
Hivi Jaji Mutungi anajua Gharama za Ulinzi wa Nchi yenye vikundi vya Kigaidi?
Bajeti za Wizara tano zinaweza kutumika kudhibiti ghasia visiwani pekee kama Lengo la Msajili la kupachafua litafanikiwa.
Mutungi akemewe na kila mpenda amani,wanaktuma Mutungi hawaipendi nchi yetu.
Maandamano Pekee ya Mange Kimambi yaliigharimu serikali fedha nyingi,Watu walianza kuishi kwa posho katika kipindi chote cha kujiweka tayari.
Maalimu Seif kwa sasa ni Taasisi visiwani Zanzibar,watu wenye shiba Zanzibar wanaamini zimeletwa na CCM hata kama Shida zingine zinatokana na uzembe na kutojituma.
Watu wenyeshida ni rahisi kuwaingiza vitani,kwa uadui tuliona na hawa Mabeberu,yakiitwa maandamano halagu ukaua watu mia tu,basi serikali zote zitaanguka.
Mabeberu wataingilia kati kama Mwewe.
Gadafi alikuwa na Fedha kuliko sisi,Gadafi aliwapa kila kitu wananchi wake,Gadafi alijivunia jeshi lake imara lililolipwa vizuri,lkn siku alipolewa madaraka na kuanza kuua watu wake,Mabeberu walimnyakua kama mwewe.
Walipiga kila kiunga cha LIBYA.
Hatimae mabeberu wakatengeneza mazingira kwa wananchi kumuua Gadafi kwa mkono wao.
Tusiwe wajinga,kila nchi inaweza kuchafuka muhimu ni kujiepusha na kika chokochoko,watu wana hasira,Mutungi usituingize kwenye Civil war.
Waache wanasiasa wafanye siasa,atakaeshinda kwa hoja na ushawishi ndie awaongoze wananchi,naevwakimchoka watabadilisha,jambo muhimu mutungi unapaswa kujua ni kuwa Wananchi hawaongozwi kwa mabavu.
Hii chuki inayopandikizwa na Msajili anajua hasara yake kwa taifa?
Hivi kama hutaki watu wawe na vyama vya siasa,na kila wanachofanya wewe unadhibiti unataka waanzishe vikundi vya Kigaidi?
Kama hataki vyama ambavyo ndio jukwaa la watu kufikia matarajio yao kwa njia ya amani unataka wafikie matarajio yao jwa njia za vurugu?
Hivi Jaji Mutungi anajua Gharama za Ulinzi wa Nchi yenye vikundi vya Kigaidi?
Bajeti za Wizara tano zinaweza kutumika kudhibiti ghasia visiwani pekee kama Lengo la Msajili la kupachafua litafanikiwa.
Mutungi akemewe na kila mpenda amani,wanaktuma Mutungi hawaipendi nchi yetu.
Maandamano Pekee ya Mange Kimambi yaliigharimu serikali fedha nyingi,Watu walianza kuishi kwa posho katika kipindi chote cha kujiweka tayari.
Maalimu Seif kwa sasa ni Taasisi visiwani Zanzibar,watu wenye shiba Zanzibar wanaamini zimeletwa na CCM hata kama Shida zingine zinatokana na uzembe na kutojituma.
Watu wenyeshida ni rahisi kuwaingiza vitani,kwa uadui tuliona na hawa Mabeberu,yakiitwa maandamano halagu ukaua watu mia tu,basi serikali zote zitaanguka.
Mabeberu wataingilia kati kama Mwewe.
Gadafi alikuwa na Fedha kuliko sisi,Gadafi aliwapa kila kitu wananchi wake,Gadafi alijivunia jeshi lake imara lililolipwa vizuri,lkn siku alipolewa madaraka na kuanza kuua watu wake,Mabeberu walimnyakua kama mwewe.
Walipiga kila kiunga cha LIBYA.
Hatimae mabeberu wakatengeneza mazingira kwa wananchi kumuua Gadafi kwa mkono wao.
Tusiwe wajinga,kila nchi inaweza kuchafuka muhimu ni kujiepusha na kika chokochoko,watu wana hasira,Mutungi usituingize kwenye Civil war.
Waache wanasiasa wafanye siasa,atakaeshinda kwa hoja na ushawishi ndie awaongoze wananchi,naevwakimchoka watabadilisha,jambo muhimu mutungi unapaswa kujua ni kuwa Wananchi hawaongozwi kwa mabavu.