mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,983
Aina ya wanyama mkuu kama vile Faru,Duma etcCcm ndio kitu gani mkuu
Aina ya wanyama mkuu kama vile Faru,Duma etcCcm ndio kitu gani mkuu
Alivyomshambulia lowassa kuumwa vip ulijisikiaje pia?
wanaliwa mkuu?Aina ya wanyama mkuu kama vile Faru,Duma etc
unaweza nisaidia link yakeAlitangaza kuhamia kwenye ya siasa Za Tanzania kilichotengenezwa maalum na timu ya propaganda ya Edward Lowassa
Weka picha....Makonda alikuwa USA walikutana
Kipigo ni kile kile uzuri sisi hatuna sheria vumilia tu mkuuTwo wrongs doesn't make a right.
Unatumia simu gani? Picha hii hapo attachedWeka picha....
Hahah wanaliwa mkuu...wanaliwa mkuu?
yule mwanamke mimi hata bure siwezi kumuoa au hata kumlala. ni mchafu kuanzia roho hadi mwili.Kasema amefuta kwaajili ya mahusiano yake na mpenzi wake....hamna kilichomkuta
wewe mshenzi tu, kwani wale waliokamatwa malawi walikuwa wapelelezi kama kichwa chako kitupu kinavyoamini? umesikia alichokisema askofu wa catholic songea na yule wa malawi anayewapelekea chakula gerezani hadi hivi tunavyoongea? hivi watu kama wewe si ukute una wadhifa serikalini, ndo maana nchi yetu haiendelei kwasababu ya vibuyu kama wewe kwenye madaraka. looo.Ila aangalie tu huyo Mpenzi wake asiwe pacha wa wale waliokamatwa Malawi kwani wana mbinu nyingi na ujanja mwingi wa kummaliza adui pasipo adui kujijua na hadi ukija kushtuka tayari umeshaangamizwa. Naomba niishie hapa tafadhali!
Aisee. ..wewe mshenzi tu, kwani wale waliokamatwa malawi walikuwa wapelelezi kama kichwa chako kitupu kinavyoamini? umesikia alichokisema askofu wa catholic songea na yule wa malawi anayewapelekea chakula gerezani hadi hivi tunavyoongea? hivi watu kama wewe si ukute una wadhifa serikalini, ndo maana nchi yetu haiendelei kwasababu ya vibuyu kama wewe kwenye madaraka. looo.
huyo jamaa kuna thread amesambaza upupu wake akishabikia kwamba TISS ya tz haijakaa vizuri kwamba ni wabovu kiasi cha kutuma wapelelezi 8 waliosemekana kumakatwa malawi, kumbe hajui hata kilichotokea kule. hana hoja yeyote ila kujifanya mjuaji wa haya mambo kumba ni bure kabisa kichwani.Aisee. ..
Hahaa! KasandaaHofu yakung'olewa meno bila ganzi
Mpenzi wake ni mwanaKijani?Kasema amefuta kwaajili ya mahusiano yake na mpenzi wake....hamna kilichomkuta
HapanaMpenzi wake ni mwanaKijani?
Ukisema cha nini wenzio wanasema watakipata liniyule mwanamke mimi hata bure siwezi kumuoa au hata kumlala. ni mchafu kuanzia roho hadi mwili.