Mange achoma moto kadi ya CCM live

Mange achoma moto kadi ya CCM live

Yaani baada tu ya Mange jana kuchoma kadi yake, kuna maelfu wamerejesha imani kwa chama hicho. Kwa sabahu Mange alikuwa anadhalilisha sana chama chetu hasa kutokana na tabia yake ya kuishi kwa kujiuza huku wakati mwingine amevalia nguo za CCM

Acha kujichoresha we boya, hao maelfu wasirejee kwa utendaji wa rais wa ccm wangoje muhuni mmoja achome kadi ndio warejee!? Na asingechoma? Mtu yupo nje ya nchi watu washindwe kurejea kwa utendaji wa waliopo ndani bali wangoje kadi ichomwe huko marekani ndio warejee? Kauze huo ubongo ww unaishi nao kwa hasara maana hata propaganda zimeanza kukushinda.
 
hilo zoezi lenyewe mbona kama limeishia njiani? isitoshe huyu dada wafuasi wake wengi kwasasa ni ukawa, kwahiyo hakuna jipya
 
at the end of the day hata yeye ana mapungufu yake ndio maana hata mumewe Lance alimuacha...na anaendelea kuachika kila siku hata kukimbiwa na wanae....no issues!! CCM hata CHADEMA wote wana mapungufu yao...hata sie tuliooa tunakumbushwa sana suala la uvumilivu kwenye ndoa maana no one is perfect....mimi mke wangu sio mtu wa usafi sana hasa wa chumbani so what i do ni kufanya ili aone then abadilike na sio kumkashifu!!! the same applies kwa mtu unaejielewa...CCM kama chama kina matatizo yake na isitoshe CCM inaongozwa na watu na kila mmoja ana utashi wake...wakati wa JK umepita sasa ni wakat wa JPM...things cant be the same!!! mimi nitaendelea kubaki upande ulio sahihi na wala si kutafuta maovu ya chama au mtu...so far Magufuli is the right president for Tanzania na isitoshe hakuna namna tunaweza kumtoa madarakani for the next 10 years..tufanye kaz
 
uzuri wa mange kimambi huwa hakwepeshi , nyeusi ni nyeusi hawezi kuiita nyekundu .
uyu mwanamke ukimfuatilia kwa karibu utagundua kwamba anatumika na isitosha hana kaz..hayo magazet anayochapisha bila wahariri na sponsors huo muda bora angeutumia kulea wanae....sioni influence yake in anyways kw amtu anaejielewa....
 
Yaheri matusi yaende huko yanakopewa kipaumbele!
 
Ni wazi ataondoka na wavamizi wenzake waliokuwa wanakipaka matope chama.CCM inarudi ktk misingi yake ya ustaarabu na heshima.Ni imani yangu Polepole na sekretari yote hamtatuangusha ktk kukisafisha chama na kukirejeshea heshima yake iliyopotezwa na watu jamii ya kina Mange!
Ulikuwa chama gani gani mwanzo mkuu?hongera kwa kulirejea kundi lako la awali kama uliwahi kuliacha lakin na si vinginevyo
 
Yaani baada tu ya Mange jana kuchoma kadi yake, kuna maelfu wamerejesha imani kwa chama hicho. Kwa sabahu Mange alikuwa anadhalilisha sana chama chetu hasa kutokana na tabia yake ya kuishi kwa kujiuza huku wakati mwingine amevalia nguo za CCM
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
malizia hicho kiroba alafu tuma salamu kwa ndugu na jamaa za kuqatakia heri ya krisimasi
 
..nyinyi watu waoga sana.

..wakichoma kadi si hasara yao wenyewe.

..ukumbuke kuwa hizo kadi walilipia hawakupewa nure
Nikweli, kadi zao, walinunua kwa hela yao,,,sasa hata wakichoma kuna makosa gani,,,,,
 
Swala sio kupiga kura bali Kupiga Kampeni.Kupiga Kampeni kuna athari kubwa sana maana unaweza kuvutia wapigakura kwa Maelfu,Malaki hata Mamilioni.Kadi ni mali ya mmiliki yaani aliyeinunua na ana uwezo wa kuifanya anavyotaka kama kuichoma,kuitupa,kuitunza kama kumbukumbu,kuirudisha,kuichana nk.
Huyu dada alifanya kampeni kubwa sana kukisaidia Chama kwa kumponda Lowasa waaziwazi na kupata wafuasi wengi.
Wasiwasi wangu ni kwamba anaweza kufanya kampeni ya kukiponda chama chake cha awali alichoamua kuchoma mpaka Kadi anayoimiliki.
ukitumia wanywa viroba kupiga kampeni jua umekwisha. pili kama unamhofia huyo mama kiasi hicho basi unamatatizo makubwa
 
Weka na number yako ya simu kabisa ili wajue nawe upo wakupe nafasi
 
Aendelee kuwa mkimbizi hukohuko
Siku akitia mguu
Atajutia
 
Nivizuri hao wote aendenao Chadema, ni kitendocha fedhea kuwa na wanachama wenye mawazo kama ya Mange. Mawazoyake yanaendanana akiliza nyumbu wa ufipa.
 
hahah,ivo kumbe zoez ni linafanyika kwel? kwamb,watyu wanachoma kadi zao za kijani,kw kampen iliyoanzishw na mange? embu weken videoz bhas wadau mlomuunga mkono mwenzenu.wallah hat mi ngekuwa nayo au mwanacc...ngekuwa shaipga life ban kadi yang.
 
Back
Top Bottom