Naomba kuuliza,hivi kadi zinaruhusiwa kuchomwa kisheria? Au zinapaswa kurudishwa kwa chama husika.?
Nitoeni tongotongo mwenzenu.
Ndio maana mmemkamata Max ili mjue tunaomfuata mtuue siyo?hafi mtuYule dada anatafuta analake anajua akikashifu serikali siku ya kutaka kurudishwa anasema Mimi wanted Tz wazungu wanathamini hicho kitu hawatomrudisha anagalieni Sana watz mnaomsapoti huyu dada mwenzenu ananjijengea yake wewe fwata mkumbo
Na kwamba yy hamfikii mange kwa elimu na uzuri,kwa maana yy anamalezi ya kilumumba maisha hayaendi bila kujipendekezaUnasema facts halafu unasema umesikia mange amesoma Dubai, aaaaah ,yes mange she is well educated n raised kwrnye familia bora, that's fact
Bado ni raia wa TanzaniaYeye keshahama TZ tatizo lake nini tena? Subiri Trump afute hizo Green card visa.
Bado ni raia wa TanzaniaYeye keshahama TZ tatizo lake nini tena? Subiri Trump afute hizo Green card visa.
Mbona hakushindi wewe?Ni kweli ni maarufu sana ila ni kahaba alichanganyikiwa,hajui hasa nin anataka duniani
Sasa hapa unamlalamikia nani?Kuchoma kadi then wanachama wanapungua? Watu walihama chama wakati wa uchaguzi lakini chama kwanza kinastawi.
Lowasa alihama na wanachama lakini wapi chama kiko imara kama ngongoti.
Operation,sangara,m4c,ukuta,zilipangwa lakini chama bado ni mhimiri imara usioyumba eti mange kachoma kadi,nae anahisi kafanya hot issue.she knows nothing ccm.
Kumbe bado una akili za kutawaliwa?Taja chama tawala ktk nchi hii?!
Haya nyie chadema wenye kawaida ya kuazima wagombea kutoka ccm mnaweza kuongoza!Hata ukimdharau hauwezi kufuta ukweli, CCM mmeshindwa kuongoza nchi.
Umeshindwa kutumia neno la staha kwa mwenzako?Siku ukiitwa chizi kwa kuwa tu hujawapendeza wakuitao utafurahi?Chizi huyu anatanga na njia anahangaika.
Unadhani chadema anauwezo wa kuongoza nchi??Hata ukimdharau hauwezi kufuta ukweli, CCM mmeshindwa kuongoza nchi.