Haya sabatho imeingia nenda ukasaliHapana.Umefanya kosa kubwa sana kumdhihaki Rais wetu kwa kumu-address kama "MUNGU".UTAKUWA UMETENDA DHAMBI MARA MBILI.KWANZA KWA KUMKOSEA HESHIMA NA UTUKUFU MUNGU WETU HALISI AMBAYE NDIYE MUUMBA WA KILA KITU(KUMBUKA KWAMBA MUNGU HALISI NI MUNGU MWENYE WIVU)USILITAJE JINA LAKE OVYO NA KUMLINGANISHA NA KIUMBE CHOCHOTE.pili, UMEIDHARAU "MAMLAKA"ILIYOWEKWA NA MUNGU DUNIANI.HIVYO HATA KAMA ULIKUWA NA HOJA YENYE NGUVU YA KUMKOSOA RAIS,UMEHARIBU MAANA YOOTE PALE ULIPOMUITA RAIS "MUNGU".
Hata mkimuua hawezi kuwa KITOWEO [emoji28][emoji28]Huyu mange siku akikanyaga tz cjui pale JNIA itakavo kuwa sipat picha
Sikutegemea kama Polepole ange mu attack Mange kwa mambo yake binafsi, kwanza kama ni jambo dogo hakuwa na haja ya kujibu, nadhani huyo Mange ata wafukunyua hao kina pole pole hadi vyumbani mwao. Yaan Katibu wa itikadi naye kajiingiza kwenye mambo ambayo ilibidi wafanya kina le mutuz.
ni kweli hakuna sababu ya kumjibu mange officially, polepole atuachie sisi humuhumu, atapoteza muda kujibizana na mashangi ya mjini.huu ni ushari Wa bure kwa ccm. kama mnataka mjikite katika masuala ya kichma ni bora tuhuma ambazo zimekuwa zikiibuliwa ni Mange mkaziacha kuzijibu, kwani Anavyoonekana ataibua nyingi na tens za kutosha, hivyo mnaweza kila siku mkakalia kuita waandishi Wa habari kumjibu.
Hivi fikiria kama ile inayomhusu first leady we utawezaje kuijibu?
DC Polepole: Mange ni kipande cha chumvi kwenye bahariNi kweli Polepole kamjibu huyo dada? Kuna chanzo cha kuaminika kilichoripoti hilo?
Sasa hivi wanahanya hawana namna Mange anawahesha hatari wanatamani hata kumuua ila huko alipo tofauti na hapa wanapoua watu na kuwatupa mitoni na kusema ni wahamiaji haramu... Ebo kumbe wahamiaji haramu hawapaswi kuishi???Sindano imegusa mfupa
Hahahaaaaaa
Yaache majinga si hayajitambui? Aliyelala usimwamshe ukimwamsha utalala wewehuu ni ushari Wa bure kwa ccm. kama mnataka mjikite katika masuala ya kichma ni bora tuhuma ambazo zimekuwa zikiibuliwa ni Mange mkaziacha kuzijibu, kwani Anavyoonekana ataibua nyingi na tens za kutosha, hivyo mnaweza kila siku mkakalia kuita waandishi Wa habari kumjibu.
Hivi fikiria kama ile inayomhusu first leady we utawezaje kuijibu?
Kwani humu amekujaje kutoka huko? Teheheh....!!ni kweli hakuna sababu ya kumjibu mange officially, polepole atuachie sisi humuhumu, atapoteza muda kujibizana na mashangi ya mjini.
Ukweli mchungu eeewewe ni kibaraka wa mange??
DC Polepole: Mange ni kipande cha chumvi kwenye bahari
Matatizo ya kutokutoa semina elekezi. Sitegemei jipya hapo, same as "goli la mkono"
Ever think, since when have umeanza kuwa tomaso?Poor thing!
Hilo ndo tatizo la low information folks.
Mimi nimeomba chanzo cha kuaminika wewe umeenda kuniletea mada aloanzisha Msaga Sumu.
Good grief!
Poor thing!
Hilo ndo tatizo la low information folks.
Mimi nimeomba chanzo cha kuaminika wewe umeenda kuniletea mada aloanzisha Msaga Sumu.
Good grief!