trigger_
JF-Expert Member
- Apr 9, 2019
- 764
- 1,414
Huyu kocha anyongwe sio kawaidaErik ten Hag: “The players gave everything. The performance was very good. It was very small margins.” #MUFC [Sky
Huyu kocha anyongwe sio kawaidaErik ten Hag: “The players gave everything. The performance was very good. It was very small margins.” #MUFC [Sky
Safi sana pigaaa Hawa man uuuu
Kaka tuache😅😅Naunga mkono hoja 🤣🤣😂🤣😁
Hii timu kisaikolojia haipo sawa usipowapa moyo hivi wangeokota nyavuni hata bao kumiErik ten Hag: “The players gave everything. The performance was very good. It was very small margins.” #MUFC [Sky
Kwa wachezaji gani sasa maana nakumbuka msimu kabla haujaanza waliwekwa sokoni wachezaji sita na hakuna hata mmoja alieuzika na ndio hao unawaona daily kikosiniTafuteni KOCHA ndugu zangu
😂😂😂😂Huyu kocha anyongwe sio kawaida
Hebu muacheni jasusi wa watu, mnataka akale wapi?😂
Hapo mngeshinda na hiyo hiyo possession ya 26% mngemsifia kocha.Manchester City had more shots (27) than Manchester United had possession in the game (26%)
Daah,basi cha ku-comment tenaModerators unganisheni Uzi huu na ule wa kula tunda kimasihara

Bora ushangilie hata wale watoto wa LUTON 😁😁 kidgo utapata tabasamu Kwa ball laoNatangaza Leo kuwa ni ujinga mtu na akili zako kuwa Nyumbu..