Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu, unekosea. Arteta huu ni mwaka wake wa nane, sio wa sita. Piga hesabu vizuri.
😄😄😄 mkuu unajua inawezekana Arteta amefanya kitu kizuri kwetu mpaka anaonekana kama yuko nasi miaka mingiiii. 😀😀😀 jamaa kajiunga nasi 20 December 2019. Mimi hiyo nahesabia kama 2020 😀😀😀

Ila ukisoma watu wanavyosema ana misimu mitano, sita, au zaidi kwetu...nadhani wanamchanganya na Klopp au hawataki tu kumpa Ten Hag muda wa kutosha kusuka timu.
 
mkuu unajua inawezekana Arteta amefanya kitu kizuri kwetu mpaka anaonekana kama yuko nasi miaka mingiiii. jamaa kajiunga nasi 20 December 2019. Mimi hiyo nahesabia kama 2020

Ila ukisoma watu wanavyosema ana misimu mitano, sita, au zaidi kwetu...nadhani wanamchanganya na Klopp au hawataki tu kumpa Ten Hag muda wa kutosha kusuka timu.
Hao wanaongea ili kumfichia aibu ETH ,ukweli huu ni msimu wa 4 wa Mikel Arteta ,ametumia misimu miwili from the scratch kuirejesha Arsenal Kwa bajeti finyu,

Mikel hadi anafika msimu wa 2 tayari alishakuwa anajulikana anacheza mfumo gani na anataka nini ,

7hag msimu wa 2 huu haijulikani manjesta wanatumia style gan ,

Wanasema apewe wachezaji anaowataka ,wanasahau alishapewa anaowataka

Hojlund
Malacia
Martinez
Anthony Santos makudubela
Weghorst
Casemiro
Varane kama sijakosea alimkuta

Bado alikuta timu ina nyota wengi tu wazuri


Mikel Arteta hadi kufika msimu wa 2 round ya 2 tayari timu ilikuwa ina control mechi vzr tu ,hapa chini ni mechi 13 za round ya 2 ,amefungwa na mancity na Liverpool tu ,Tena hizo mechi zote 2 alienda nao toe to toe

Na ndio ilikuwa sign kuonesha msimu unaofata Atagombea ubingwa ,

Sasa 7HAG msimu wa pili huu hakuna progress, manjesta wanapiga marktime

Binafsi ilinichukua mechi 5 tu kujua manjesta hawana kocha, mm sio muumini wa matokeo tu,


Man u vs Arsenal,man u anashinda 3-1 pale OT ,Ndio mechi nilihitimisha ETH ni kocha wa ovyo na Anthony wamepigwa

Hii mechi man u walishinda 3-1 na Anthony alifunga goli


ila Kwa Kuwa mashabiki maandazi wanatembea na matokeo tu wakaona ETH ni bonge la kocha na Anthony ni new Arjen Rooben


Hiyo mechi manjesta walitoka na matokeo tu lakin walizidiwa kila kitu na Arsenal ambayo Kiungo alikuwa Albert Sambi Lokonga,


Kuna mechi nyingi manjesta wamepata matokeo last season vs mid table teams kama Leicester,Southmpton ,ambao wapo championship,ila kwakuwa mashabiki wanaridhika na matokeo basi hawakujua Nini kinawajia mbelen

Sijawahi kushtuka na downfall hii ya ETH , niliona mwanzoni, na nilipingwa sana humu sababu ya upofu wa matokeo tu

Naamini ETH hata akipewa ile prime Barcelona icheze na Luton ,Bado atapaki basi na kusubiri counter attack

Kama kweli ETH Hana wachezaji wazuri why hata akicheza na timu za mkiani anapaki basi na kusubiri counter attack ? NI SWALI AMBALO jibu lake unapata ETH ni mid coach

Hivi unahitaji world class players u control mechi vs mid table teams?


Binafsi nikiona anacheza counter attack vs top 6 Wala sishangai ,but vs mid table teams hapo ndipo niliweka alama za ???? Kuhusu uwezo wake

INEOS hata wamletee wachezaji wazuri Bado ataendelea na kupaki basi hata Kwa Burney .

Angalia press zake anasema kabisa timu imecheza kama anavyotaka na amekuwa anasifu performance,kwahiyo sio kweli kwamba akiletewa wachezaji wengine atabadilika, ndio maana naamini akipewa hata ile prime Barcelona Bado atapaki basi vs Kina Luton, Burney na Sheffield
20240304_170343.jpg
 
Hao wanaongea ili kumfichia aibu ETH ,ukweli huu ni msimu wa 4 wa Mikel Arteta ,ametumia misimu miwili from the scratch kuirejesha Arsenal Kwa bajeti finyu,

Mikel hadi anafika msimu wa 2 tayari alishakuwa anajulikana anacheza mfumo gani na anataka nini ,

7hag msimu wa 2 huu haijulikani manjesta wanatumia style gan ,

Wanasema apewe wachezaji anaowataka ,wanasahau alishapewa anaowataka

Hojlund
Malacia
Martinez
Anthony Santos makudubela
Weghorst
Casemiro
Varane kama sijakosea alimkuta

Bado alikuta timu ina nyota wengi tu wazuri


Mikel Arteta hadi kufika msimu wa 2 round ya 2 tayari timu ilikuwa ina control mechi vzr tu ,hapa chini ni mechi 13 za round ya 2 ,amefungwa na mancity na Liverpool tu ,Tena hizo mechi zote 2 alienda nao toe to toe

Na ndio ilikuwa sign kuonesha msimu unaofata Atagombea ubingwa ,

Sasa 7HAG msimu wa pili huu hakuna progress, manjesta wanapiga marktime

Binafsi ilinichukua mechi 5 tu kujua manjesta hawana kocha, mm sio muumini wa matokeo tu,


Man u vs Arsenal,man u anashinda 3-1 pale OT ,Ndio mechi nilihitimisha ETH ni kocha wa ovyo na Anthony wamepigwa

Hii mechi man u walishinda 3-1 na Anthony alifunga goli


ila Kwa Kuwa mashabiki maandazi wanatembea na matokeo tu wakaona ETH ni bonge la kocha na Anthony ni new Arjen Rooben


Hiyo mechi manjesta walitoka na matokeo tu lakin walizidiwa kila kitu na Arsenal ambayo Kiungo alikuwa Albert Sambi Lokonga,


Kuna mechi nyingi manjesta wamepata matokeo last season vs mid table teams kama Leicester,Southmpton ,ambao wapo championship,ila kwakuwa mashabiki wanaridhika na matokeo basi hawakujua Nini kinawajia mbelen

Sijawahi kushtuka na downfall hii ya ETH , niliona mwanzoni, na nilipingwa sana humu sababu ya upofu wa matokeo tu

Naamini ETH hata akipewa ile prime Barcelona icheze na Luton ,Bado atapaki basi na kusubiri counter attack

Kama kweli ETH Hana wachezaji wazuri why hata akicheza na timu za mkiani anapaki basi na kusubiri counter attack ? NI SWALI AMBALO jibu lake unapata ETH ni mid coach

Hivi unahitaji world class players u control mechi vs mid table teams?


Binafsi nikiona anacheza counter attack vs top 6 Wala sishangai ,but vs mid table teams hapo ndipo niliweka alama za ???? Kuhusu uwezo wake

INEOS hata wamletee wachezaji wazuri Bado ataendelea na kupaki basi hata Kwa Burney .

Angalia press zake anasema kabisa timu imecheza kama anavyotaka na amekuwa anasifu performance,kwahiyo sio kweli kwamba akiletewa wachezaji wengine atabadilika, ndio maana naamini akipewa hata ile prime Barcelona Bado atapaki basi vs Kina Luton, Burney na Sheffield View attachment 2924368
Mimi naona jamaa ni mtaka matokeo na mara nyingi anafanikiwa kuyapata. Jamaa alikuwa bingwa na Ajax, au siyo? Jamaa last season aliipandisha man utd mdogo mdogo kimasihara mpaka nafasi ya 3. Kwa sasa anaonekana anaelekea kuikosa top 4 kwa sababu ligi imekuwa ngumu kwake ama ligi iko vile vile ila yeye na ugeni wake kutoka Ajax msimu wa kwanza kuna timu zilikuwa bado hazijamjulia na zikakosa matokeo kwake.

United waendelee tu kumuamini. Nadhani msimu ujao ndiyo atakuwa katika kiwango bora. Akishindwa hivyo sisi tutaendelea kufurahi kwa kupata matokeo kwake.
 
Manjesta hapa kocha mlipata

Most shots conceded in the Premier League this season:

â—Ž 456 - West Ham
â—Ž 447 - Sheffield United
â—‰ 444 - Manchester United
â—Ž 440 - Luton
â—Ž 410 - Burnley
20240303_211030.jpg
 
Mikel hadi anafika msimu wa 2 tayari alishakuwa anajulikana anacheza mfumo gani na anataka nini

Mikel Arteta hadi kufika msimu wa 2 round ya 2 tayari timu ilikuwa ina control mechi vzr tu ,hapa chini
emoji107.png
emoji107.png
emoji107.png
ni mechi 13 za round ya 2 ,amefungwa na mancity na Liverpool tu ,Tena hizo mechi zote 2 alienda nao toe to toe
Hivi Khamisi kwa nini huwa unapenda Kuongopa!?
Arteta Yupi alikwenda "Toe to Toe" na Pep? Imemchukua Arteta Misimu 5 kupata Matokeo Mbele ya Pep katika EPL mechi takribani 8 kafungwa zote hana hata Suluhu.

Mechi Arteta anamfunga Pep hakuna hata Mchezaji Mmoja aliyeanza wakati anacheza Mechi ya kwanza na kufungwa 3-0 nje ya SAKA. ETH ana mapungufu ila Msimu wa kwanza tu alipata Matokeo kwa Hao "Giants" wawili wa Ligi kwa kipindi hiki.
screencapture-fotmob-matches-manchester-city-vs-arsenal-2rhvvi-2024-03-05-10_38_27.png

Mechi hii ni Msimu wa 3 wa Arteta anacheza na "BACK 5" Mechi nzima ana Shambulizi 1 na hana ON-TARGET hata Moja! Wewe na Castr mlishakataaga mwalimu wenu hajawahi tumia Mabeki 5, sasa hapa alitumia wangapi?

Hoja yako kwamba wewe Ulisema ETH sio Mwalimu, Itazame Ajax tangu ameiacha hali yake na imeshaweka walimu wangapi, Hawezi kuwa Daraja la PEP ama Klopp, ila kwa Muundo sahihi toka Juu anaweza badili kitu UTD {Mpaka sas UTD ina wachezaji wa Tangu Fergiee} Arteta ameshasajili wachezaji zaidi ya 25.

UTD ilipofika Matatizo ni mengi sana kuanzia Juu. De Zerbi, TT, Poch ulikuwa unawajaza sifa wote humu ila Mpira uwanjani unasema tofauti. Tuna shida ya Kufunga tangu OGS, Tizama GD hapo msimu umeisha bado ilikuwa ni 0!
 
Back
Top Bottom