Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hatuna wachezaji.
Inabidi tusajili wachezaji 10 na kuacha wachezaji 11 msimu ujao.
Tatizo kwenye usajili ETH bado haaminiki.
Lakini uongozi mpya labda utatuvusha.
Hali ni mbaya.
Front line no chemistry, midfield upumbafu, backline uozo
Coaching staff, bado sijapata nguvu ya kuwalaumu, imagine tunazidiwa squad na aston villa, west ham.
 
Anavyojikanyaga na maneno yake asipoangalia atapagawa😂
20240304_131258.png
 
Wakati anakuja na sajili zake za kina Antony, Malacia na Mount hakuona kuwa hawaendani nae? Tukiangalia hili angalia na sh ngap alipewa ya kusajili pia.
Usajili huwa wanakosea makocha wote hata Ferguson alifanya blunder nyingi tu kwenye usajili Pep pia alifanya blunder nyingi kwenye usajili.

Erik anafanya kazi kwenye mazingira magumu sana kuliko hata makocha wa Championship.

Ukiona kikosi chake kinachompa ushindi ana bahati sana vinginevyo angekuwa alishatimuliwa muda mrefu.

Klopp alitumia miaka mitano kupata kikosi imara wakati huo hata top four alikuwa haingii.

Arteta huu ni msimu wake wa sita misimu minne iliyopita alikuwa akiishia nafasi ya 8 au sita.

Erik ametoka kwenye ligi rahisi na anafanya kazi katika kikosi dhaifu kupita vikosi vyote vya epl ukiondoa SU.

Erik apewe wachezaji apewe na muda.

Wakati Ole anashika nafasi ya pili kwenye ligi midfield options alikuwa na Scot, Pogba, Matic, Bruno, Andre's Juan Mata, Lingard, Fred, mbele alikuwa na Martial, Rashford, Cavani, Greenwood, na Daniel James.

Sikatai mapungufu ya Erik ila tunamhukumu bila kujua mapungufu makubwa ya kikosi aliyonayo.

Zaidi ya wachezaji wake 14 wamekosa michezo ten plus msimu huu pekee.
 
Hatuna wachezaji.
Inabidi tusajili wachezaji 10 na kuacha wachezaji 11 msimu ujao.
Tatizo kwenye usajili ETH bado haaminiki.
Lakini uongozi mpya labda utatuvusha.
Hali ni mbaya.
Front line no chemistry, midfield upumbafu, backline uozo
Coaching staff, bado sijapata nguvu ya kuwalaumu, imagine tunazidiwa squad na aston villa, west ham.
Ole alikuwa kwenye mwelekeo mzuri kama wasingeharibu rebuild yake msimu wa mwisho.
 
Kuwaza kuwa tuna timu ya kuifunga Man city, hayo ni matumizi mabaya ya fikra.
Nashukuru sijapoteza muda wangu kwenda kuitazama hiyo mechi, na palipo kucha nilijisemea ngoja niingie Live score niangalie tumefungwa ngapi, na kweli tumechezea kichapo.

Nb. Kila mtu apambane na hali yake.
 
Usajili huwa wanakosea makocha wote hata Ferguson alifanya blunder nyingi tu kwenye usajili Pep pia alifanya blunder nyingi kwenye usajili.

Erik anafanya kazi kwenye mazingira magumu sana kuliko hata makocha wa Championship.

Ukiona kikosi chake kinachompa ushindi ana bahati sana vinginevyo angekuwa alishatimuliwa muda mrefu.

Klopp alitumia miaka mitano kupata kikosi imara wakati huo hata top four alikuwa haingii.

Arteta huu ni msimu wake wa sita misimu minne iliyopita alikuwa akiishia nafasi ya 8 au sita.

Erik ametoka kwenye ligi rahisi na anafanya kazi katika kikosi dhaifu kupita vikosi vyote vya epl ukiondoa SU.

Erik apewe wachezaji apewe na muda.

Wakati Ole anashika nafasi ya pili kwenye ligi midfield options alikuwa na Scot, Pogba, Matic, Bruno, Andre's Juan Mata, Lingard, Fred, mbele alikuwa na Martial, Rashford, Cavani, Greenwood, na Daniel James.

Sikatai mapungufu ya Erik ila tunamhukumu bila kujua mapungufu makubwa ya kikosi aliyonayo.

Zaidi ya wachezaji wake 14 wamekosa michezo ten plus msimu huu pekee.
Mkuu, unekosea. Arteta huu ni mwaka wake wa nane, sio wa sita. Piga hesabu vizuri.
 
Mkuu, unekosea. Arteta huu ni mwaka wake wa nane, sio wa sita. Piga hesabu vizuri.
😄😄😄 mkuu unajua inawezekana Arteta amefanya kitu kizuri kwetu mpaka anaonekana kama yuko nasi miaka mingiiii. 😀😀😀 jamaa kajiunga nasi 20 December 2019. Mimi hiyo nahesabia kama 2020 😀😀😀

Ila ukisoma watu wanavyosema ana misimu mitano, sita, au zaidi kwetu...nadhani wanamchanganya na Klopp au hawataki tu kumpa Ten Hag muda wa kutosha kusuka timu.
 
mkuu unajua inawezekana Arteta amefanya kitu kizuri kwetu mpaka anaonekana kama yuko nasi miaka mingiiii. jamaa kajiunga nasi 20 December 2019. Mimi hiyo nahesabia kama 2020

Ila ukisoma watu wanavyosema ana misimu mitano, sita, au zaidi kwetu...nadhani wanamchanganya na Klopp au hawataki tu kumpa Ten Hag muda wa kutosha kusuka timu.
Hao wanaongea ili kumfichia aibu ETH ,ukweli huu ni msimu wa 4 wa Mikel Arteta ,ametumia misimu miwili from the scratch kuirejesha Arsenal Kwa bajeti finyu,

Mikel hadi anafika msimu wa 2 tayari alishakuwa anajulikana anacheza mfumo gani na anataka nini ,

7hag msimu wa 2 huu haijulikani manjesta wanatumia style gan ,

Wanasema apewe wachezaji anaowataka ,wanasahau alishapewa anaowataka

Hojlund
Malacia
Martinez
Anthony Santos makudubela
Weghorst
Casemiro
Varane kama sijakosea alimkuta

Bado alikuta timu ina nyota wengi tu wazuri


Mikel Arteta hadi kufika msimu wa 2 round ya 2 tayari timu ilikuwa ina control mechi vzr tu ,hapa chini ni mechi 13 za round ya 2 ,amefungwa na mancity na Liverpool tu ,Tena hizo mechi zote 2 alienda nao toe to toe

Na ndio ilikuwa sign kuonesha msimu unaofata Atagombea ubingwa ,

Sasa 7HAG msimu wa pili huu hakuna progress, manjesta wanapiga marktime

Binafsi ilinichukua mechi 5 tu kujua manjesta hawana kocha, mm sio muumini wa matokeo tu,


Man u vs Arsenal,man u anashinda 3-1 pale OT ,Ndio mechi nilihitimisha ETH ni kocha wa ovyo na Anthony wamepigwa

Hii mechi man u walishinda 3-1 na Anthony alifunga goli


ila Kwa Kuwa mashabiki maandazi wanatembea na matokeo tu wakaona ETH ni bonge la kocha na Anthony ni new Arjen Rooben


Hiyo mechi manjesta walitoka na matokeo tu lakin walizidiwa kila kitu na Arsenal ambayo Kiungo alikuwa Albert Sambi Lokonga,


Kuna mechi nyingi manjesta wamepata matokeo last season vs mid table teams kama Leicester,Southmpton ,ambao wapo championship,ila kwakuwa mashabiki wanaridhika na matokeo basi hawakujua Nini kinawajia mbelen

Sijawahi kushtuka na downfall hii ya ETH , niliona mwanzoni, na nilipingwa sana humu sababu ya upofu wa matokeo tu

Naamini ETH hata akipewa ile prime Barcelona icheze na Luton ,Bado atapaki basi na kusubiri counter attack

Kama kweli ETH Hana wachezaji wazuri why hata akicheza na timu za mkiani anapaki basi na kusubiri counter attack ? NI SWALI AMBALO jibu lake unapata ETH ni mid coach

Hivi unahitaji world class players u control mechi vs mid table teams?


Binafsi nikiona anacheza counter attack vs top 6 Wala sishangai ,but vs mid table teams hapo ndipo niliweka alama za ???? Kuhusu uwezo wake

INEOS hata wamletee wachezaji wazuri Bado ataendelea na kupaki basi hata Kwa Burney .

Angalia press zake anasema kabisa timu imecheza kama anavyotaka na amekuwa anasifu performance,kwahiyo sio kweli kwamba akiletewa wachezaji wengine atabadilika, ndio maana naamini akipewa hata ile prime Barcelona Bado atapaki basi vs Kina Luton, Burney na Sheffield
20240304_170343.jpg
 
Back
Top Bottom