HahahahaFT 3 - 1
Nyumbu akicheza mashabiki wake duniani kote wanalia mooo mooo wanataka dume.Wanacheza mpira wa ujanja ujanja...Kocha hamna humu.Yaan mkiend kukaa mkatulia mkatafuta stats za game yenu leo mtalia usiku kucha,haki hamtalala mtaamka muende mazoezini.....untd player cant even pass a ball...what a shame
Hukuona zile sub za kijinga kabisa.Yaani hadi dakika ya 70 mpo sawa
Dakika za mwisho mnaachia mabao yote hayo? 🚮
10Hag ni mwehuHukuona zile sub za kijinga kabisa.
Jinga hili jamaa🚨🚨Score if you can 😂😂😂
View attachment 2923348