ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 18,428
- 24,144
Ajali kazini tu hizo. Iko siku tutakjirekebisha. Ikifika siku hiyo, mji wa Manchester utajaa vilioMsimu ulioisha gari yenu ilienda mbio zaidi ya siku 258, zimebaki mechi 8 ligi kuisha mlikua mnaongoza kwa points8 mbele dhidi ya Man City aliekua nafasi ya pili.
Imebaki mechi moja ligi iishe Mancity yuko mbele yenu kwa points 8
Asenyo haieleweki elewiki yaani ipo kama pussy cat haijulikani inakaa mbele, kati au nyuma
Uzuri wa Asenyo mdomo wanapiga wao kombe wanabeba wengine.
Ila Newcastle kaanza kufeli signings zote za msimu huu hazijaongeza kitu chochote kikosiniDan Ashworth selected signings
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐
man utd |View attachment 2904338
Tonali??Ila Newcastle kaanza kufeli signings zote za msimu huu hazijaongeza kitu chochote kikosini
LughaaaaaMahojiano kati ya jose mourinho na rio ferdinand yapo youtube.
Kuna mengi ameyaongea
Game recognizing game
Chelsea fc imenunulia £2.7B, umefanyika usajili over £1B kuanza maisha upya baada ya Roman Abramovich.Tunaanza upya lkn Mctomnay wamuache ache kdg....
ETH akiwa na full squad huwa winning % inaogezeka.
Binafsi ananichaganya
Ni maboresho tunataka....but point ya Mctomnay ni hiyo hiyo.Chelsea fc imenunulia £2.7B, umefanyika usajili over £1B kuanza maisha upya baada ya Roman Abramovich.
Sasa hii Man u, Sir Jim ameweka £300M ni kuanza upya au kufanya maboresho madogo madogo ya kiufundi?
ETH akiwa na full squad huwa winning % inaogezeka.
300m sokoni inatosha kabisa kwa kuanzia, kikubwa uwe na watu sahihi wa Michezo na wafahamu mahitaji ya timu.Chelsea fc imenunulia £2.7B, umefanyika usajili over £1B kuanza maisha upya baada ya Roman Abramovich.
Sasa hii Man u, Sir Jim ameweka £300M ni kuanza upya au kufanya maboresho madogo madogo ya kiufundi?
Naunga mkono hoja hapo kwenye uwe na watu sahihi kwenye maamuzi na utendaji. Chelsea tuliingia sokoni kusajili mazagazaga mengi kujaza kwenye timu.300m sokoni inatosha kabisa kwa kuanzia, kikubwa uwe na watu sahihi wa Michezo na wafahamu mahitaji ya timu.
TODD Mazungumzo yake ya awali aliotelea Mfano Liverpool kufanya vyema uwanjani huku akiwa anatengeneza faida kwenye mauzo ya wachezaji [aliamua kuchukua kila jina linalotajwa sana sokoni umri mdogo + mkataba wa miaka mingi, hapa Mawakala wengi walimuuza]. Alichofeli hakufahamu kama tayari wenzao wana AINA yao ya uchezaji, {Swali rahisi kwako, Mpaka sasa unajua CFC Inataka chezaje??}
Ukisikiliza Mahojiano ya Mourinho na RIO, anakwambia kabla hujanunua Samani Mpya lazima usafishe Nyumba akiwa na maana kuna wachezaji wa kuuzwa wengi UTD, fikiria mpaka sasa kuna wachezaji wa tangu Fergie, na kibaya kuhusu UTD inatumika na mawakala inawafunga Wachezaji na mikataba Mikubwa mpaka wanakuwa hawauziki.
Jaribu fikiria De Gea mpaka leo hana timu, UTD ni timu ya Pili kwa Bili kubwa ya Mishahara nyuma ya CITY na ilikuwa ya Kwanza kabla {Kwa kipi wanachofanya uwanjani!}
300m unaweza pata "Premium" kama 4 kwa 70m+, ukapata "Potential" kama 6 kwa 50m+ ama "Established" kama 5/6 kwa 55m+. {kwa kuanzia inatosha ukichukua wachezaji muhimu na kuwa "Smart" kwenye makubaliano ya Bei. {Kuna chaguo la mkopo na kipengele cha kununua mbeleni, Benfica wanaipenda hii}
Chelsea tatizo linaanza kwa Mmiliki, Akichukua timu alimfata Edward ila akaikataa ofa, Akaharibu zaidi kuamini Watendaji wa Michezo wawili, Laurence na Paul, Vivelli na Laurence Wanamtaka Nagelsmann na Plan B ni Marcelo Gallardo, Paul na ushawishi kwa kina TODD wakaja na Pendekezo la Poch {Jamaa ni Mwalimu wa kawaida na kuna michango mingi sana humu kwenye hili jukwaa wakati UTD imemkosa kundi kubwa waliamini tumekwepa Risasi.}Naunga mkono hoja hapo kwenye uwe na watu sahihi kwenye maamuzi na utendaji. Chelsea tuliingia sokoni kusajili mazagazaga mengi kujaza kwenye timu
