Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

300m sokoni inatosha kabisa kwa kuanzia, kikubwa uwe na watu sahihi wa Michezo na wafahamu mahitaji ya timu.
TODD Mazungumzo yake ya awali aliotelea Mfano Liverpool kufanya vyema uwanjani huku akiwa anatengeneza faida kwenye mauzo ya wachezaji [aliamua kuchukua kila jina linalotajwa sana sokoni umri mdogo + mkataba wa miaka mingi, hapa Mawakala wengi walimuuza]. Alichofeli hakufahamu kama tayari wenzao wana AINA yao ya uchezaji, {Swali rahisi kwako, Mpaka sasa unajua CFC Inataka chezaje??}

Ukisikiliza Mahojiano ya Mourinho na RIO, anakwambia kabla hujanunua Samani Mpya lazima usafishe Nyumba akiwa na maana kuna wachezaji wa kuuzwa wengi UTD, fikiria mpaka sasa kuna wachezaji wa tangu Fergie, na kibaya kuhusu UTD inatumika na mawakala inawafunga Wachezaji na mikataba Mikubwa mpaka wanakuwa hawauziki.

Jaribu fikiria De Gea mpaka leo hana timu, UTD ni timu ya Pili kwa Bili kubwa ya Mishahara nyuma ya CITY na ilikuwa ya Kwanza kabla {Kwa kipi wanachofanya uwanjani!}
300m unaweza pata "Premium" kama 4 kwa 70m+, ukapata "Potential" kama 6 kwa 50m+ ama "Established" kama 5/6 kwa 55m+. {kwa kuanzia inatosha ukichukua wachezaji muhimu na kuwa "Smart" kwenye makubaliano ya Bei. {Kuna chaguo la mkopo na kipengele cha kununua mbeleni, Benfica wanaipenda hii}
Umenena vema mkuu ila kuna kitu kimoja hujakigusia, MAMLAKA kwa mwalimu na hiyo timu ya nyuma ya pazia.
Tangu Rashford aibuliwe na LvG akachukuliwa kama upcomimg big talent, ingawa alikuwa anaonyesha dalili zote za kufikia kikomo cha ukuaji kisoka ila kila mwalimu aliyekuwa anakuja alikuwa anamweka kwenye first eleven yake, namba yake uwanjani haifanyiwi usajili wa kumpa changamoto. Bado kuna issue ya Martial pale Mou alipotaka auzwe wenye timu wakaamua vingine

Kwa trend hii madhani kulikuwa na maelezo toka juu kuhusu bwana Rashford,Martial na waingereza wengine wengi tu kama alivyowahi kuropoka Eric Baily kuwa kuna baadhi ya wachezaji wanapewa upendeleo wa makusudi bila kujali kiwango chao nyakati husika.
Pale united pamegeuka uswahilini sana kiasi kwamba unapewa cheo lakini mamlaka hupewi hivyo unakuwa umefungwa mikono tu wakati uko ulingoni.
 
Umenena vema mkuu ila kuna kitu kimoja hujakigusia, MAMLAKA kwa mwalimu na hiyo timu ya nyuma ya pazia

Kwa trend hii madhani kulikuwa na maelezo toka juu kuhusu bwana Rashford,Martial na waingereza wengine weng
Mkuu fuentte Sijagusia suala hilo la MAMLAKA kwa undani kwa sababu nilikuwa najaribu Mjibu Mdau mmoja kuhusu namna 300m inaweza kutumika vizuri kama kuna Muundo Mzuri Nyuma ya Pazia.

Mwalimu Hawezi kuwa na Mamlaka kama Hafahamu anajibu kwa Nani Masuala ya Kimichezo. UTD ilikuwa na Mkurugenzi mtendaji ila Mwenye Kujua michezo KENYON baadae akaja GILL, Wote walikuwa wanafahamu kutengeneza Uwiano kati ya Michezo na Masuala ya Biashara.

Ukimsikiliza MOU akihojiwa na RIO unaona shida kubwa ilikuwa kukosekana kwa Mizania ya Biashara na Masuala ya Kimichezo, Yeye anasema Woodward alikuwa mtu "Smart" na hili lipo wazi UTD haina mafanikio makubwa Uwanjani lakini Jamaa kapata dili nyingi sana kubwa za kibiashara. Ila kwa maelezo ya MOU unaona kabisa Wamiliki na Uongozi wa Juu hawakuwa wanajua wanachohitaji kwenye Masuala ya Kimichezo.

Sasa ETH Hawezi zungumza na Arnold ama Murtough Masuala ya michezo kwa Ukubwa huo. Kuna makala Moja ilikuwa inasema Karibu sajili zote ETH hakuweza letewa chaguo la kwanza,

ETH ana sehemu yake ya lawama lakini UTD namna Ipo ni ngumu sana mwalimu yeyote kufanikiwa kwa Muundo uliopo sasa {Ambao tunaelekea uacha}.
Angalia Mishahara wachezaji wanachukua na Jinsi imeharibu Uwezo {Martial, Pogb, n.k}
Inatakiwa tu INEOS wasafishe sasa Nyumba zije Samani Mpya {Mourinho hakoseagi sana}

{Hapa ni rahisi mwalimu kuwa na MAMLAKA, Mfano mzuri Arteta, Ametoa kina Ozil, Auba, Lacca, n.k leo ana timu ya Taswira yake} UTD ina wachezaji wa kila Mwalimu tangu Fergie ni ngumu sana kuunganisha hasa kwa tabia za wachezaji wa kileo.
 
Mkuu fuentte Sijagusia suala hilo la MAMLAKA kwa undani kwa sababu nilikuwa najaribu Mjibu Mdau mmoja kuhusu namna 300m inaweza kutumika vizuri kama kuna Muundo Mzuri Nyuma ya Pazia.

Mwalimu Hawezi kuwa na Mamlaka kama Hafahamu anajibu kwa Nani Masuala ya Kimichezo. UTD ilikuwa na Mkurugenzi mtendaji ila Mwenye Kujua michezo KENYON baadae akaja GILL, Wote walikuwa wanafahamu kutengeneza Uwiano kati ya Michezo na Masuala ya Biashara.

Ukimsikiliza MOU akihojiwa na RIO unaona shida kubwa ilikuwa kukosekana kwa Mizania ya Biashara na Masuala ya Kimichezo, Yeye anasema Woodward alikuwa mtu "Smart" na hili lipo wazi UTD haina mafanikio makubwa Uwanjani lakini Jamaa kapata dili nyingi sana kubwa za kibiashara. Ila kwa maelezo ya MOU unaona kabisa Wamiliki na Uongozi wa Juu hawakuwa wanajua wanachohitaji kwenye Masuala ya Kimichezo.

Sasa ETH Hawezi zungumza na Arnold ama Murtough Masuala ya michezo kwa Ukubwa huo. Kuna makala Moja ilikuwa inasema Karibu sajili zote ETH hakuweza letewa chaguo la kwanza,

ETH ana sehemu yake ya lawama lakini UTD namna Ipo ni ngumu sana mwalimu yeyote kufanikiwa kwa Muundo uliopo sasa {Ambao tunaelekea uacha}.
Angalia Mishahara wachezaji wanachukua na Jinsi imeharibu Uwezo {Martial, Pogb, n.k}
Inatakiwa tu INEOS wasafishe sasa Nyumba zije Samani Mpya {Mourinho hakoseagi sana}

{Hapa ni rahisi mwalimu kuwa na MAMLAKA, Mfano mzuri Arteta, Ametoa kina Ozil, Auba, Lacca, n.k leo ana timu ya Taswira yake} UTD ina wachezaji wa kila Mwalimu tangu Fergie ni ngumu sana kuunganisha hasa kwa tabia za wachezaji wa kileo.
Naam, nimekuelewa sana mkuu El Tiger
 
Kila mmoja kapangiwa eneo la kupata riziki yake, kupata kikubwa au kidogo kunachangiwa zaidi na bidii au bahati

Martinelli alishindwa manchester united, leo yupo arsenal.

Brandon williams yupo daraja la kwanza.

Ndio maisha, hayana kanuni
1708248369632.png
 
Kila mmoja kapangiwa eneo la kupata riziki yake, kupata kikubwa au kidogo kunachangiwa zaidi na bidii au bahati

Martinelli alishindwa manchester united, leo yupo arsenal.

Brandon williams yupo daraja la kwanza.

Ndio maisha, hayana kanuni
View attachment 2907808
Tunafurahi Martinelli kushindwa united aisee.

Ila siyo mbaya kwenu. Ibrahimovic alikuja interview Arsenal. Akapiga stori sana na Wenger na Wenger akaonekana kumkubali. Sasa Wenger akamuambia Zlatan 'njoo siku flani ufanye trial'. Zlatan akamuambi 'trial ya nini? Mimi sifanyi trial. Either you want me or not otherwise why am i here? Sifanyagi trial mimi'. Wenger akakomaa na trial. Zlatan akasepa zake na hakutaka tena kuja Arsenal. Baadae nyie mkapata nafasi ya kumsajili.
 
Apo kwa LW ni bora wakamchukue R.Leào au Savio wa girona
Uyo son anamalizia soka lake apo tot haondoki
Na sio haondoki tu, ila Daniel Levy ni moja ya watu wagumu sana kufanya nao biashara.
Umenena vema mkuu ila kuna kitu kimoja hujakigusia, MAMLAKA kwa mwalimu na hiyo timu ya nyuma ya pazia.
Tangu Rashford aibuliwe na LvG akachukuliwa kama upcomimg big talent, ingawa alikuwa anaonyesha dalili zote za kufikia kikomo cha ukuaji kisoka ila kila mwalimu aliyekuwa anakuja alikuwa anamweka kwenye first eleven yake, namba yake uwanjani haifanyiwi usajili wa kumpa changamoto. Bado kuna issue ya Martial pale Mou alipotaka auzwe wenye timu wakaamua vingine

Kwa trend hii madhani kulikuwa na maelezo toka juu kuhusu bwana Rashford,Martial na waingereza wengine wengi tu kama alivyowahi kuropoka Eric Baily kuwa kuna baadhi ya wachezaji wanapewa upendeleo wa makusudi bila kujali kiwango chao nyakati husika.
Pale united pamegeuka uswahilini sana kiasi kwamba unapewa cheo lakini mamlaka hupewi hivyo unakuwa umefungwa mikono tu wakati uko ulingoni.
Martial anaondoka bure mkuu mwisho wa msimu.
 
Back
Top Bottom