Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nyie pigeni mdomo tu ila mna point zetu pale OT.
Huwez kupata hata on target Kwa Arsenal
20231228_165321.jpg
 
Masingeli ndio muda wake huu wa kutamba, siku atayopigika ndio siku anayozima simu na kuchomoa line kabisa.
Manyumbu mpaka sasa wanashangaza watu. Mko nafasi ya 6, point 6 tu nyuma ya Tottenham wa nafasi ya 4. Ila mmepitwa goal difference na top 10 nzima kasoro West Ham. Mnapanda mdogo mdogo tu kimasihara.

Last season kimasihara hivi hivi mlifika nafasi ya 3. This season mnapaswa msivuke ya 9 ila cha ajabu mtajikuta mmeingia top 4.
 
Manyumbu mpaka sasa wanashangaza watu. Mko nafasi ya 6, point 6 tu nyuma ya Tottenham wa nafasi ya 4. Ila mmepitwa goal difference na top 10 nzima kasoro West Ham. Mnapanda mdogo mdogo tu kimasihara.

Last season kimasihara hivi hivi mlifika nafasi ya 3. This season mnapaswa msivuke ya 9 ila cha ajabu mtajikuta mmeingia top 4.
Kuna namna, hata sisi hatuelewi😅😅😆
 
Manyumbu mpaka sasa wanashangaza watu. Mko nafasi ya 6, point 6 tu nyuma ya Tottenham wa nafasi ya 4. Ila mmepitwa goal difference na top 10 nzima kasoro West Ham. Mnapanda mdogo mdogo tu kimasihara.

Last season kimasihara hivi hivi mlifika nafasi ya 3. This season mnapaswa msivuke ya 9 ila cha ajabu mtajikuta mmeingia top 4.
hii ndio tofauti ya timu kubwa kama Man Utd na vile mid table team kama Arsenyau.
Man Utd hata kama tuna timu mbovu lakini hua tunajitahidi kufocus kwenye malengo ya big team(ulazima wa uwepo kwenye top 4) hapa kikubwa hua tunapambana kutafuta points tu zitakazotuwezesha kuwepo kule.
Mid table teams wao huhangaika zaidi na statistics za Clean sheet, Goal Difference(GD), Pressing na Overloading bila ya kusahau positional interchange pamoja na Aerial duel
 
Manyumbu mpaka sasa wanashangaza watu. Mko nafasi ya 6, point 6 tu nyuma ya Tottenham wa nafasi ya 4. Ila mmepitwa goal difference na top 10 nzima kasoro West Ham. Mnapanda mdogo mdogo tu kimasihara.

Last season kimasihara hivi hivi mlifika nafasi ya 3. This season mnapaswa msivuke ya 9 ila cha ajabu mtajikuta mmeingia top 4.
Mkizubaa tunaiba kombe
 
Kwa ukubwa wa United kwa sasa ni kama hakuna kocha anayeweza kubeba huu mzigo wa kuifundisha hii timu.

Kwa walio na kazi labda Simon Inzaghi, Diego Simione au Imanol Alguacil.

Simon Inzaghi na Diego Simeone wameshaprove kwenye aspects nyingi ni chaguo sahihi.
Imanol ameshacheza international competition kwa bajeti ndogo kabisa lakini timu inaperform vizuri ni potential candidate wa kumreplace Xavi Barca.

Nje hao kuna Hans Flick na Zidane ambao sidhani kama wanaweza kuwa chaguo sahihi sana pale United kulingana na uongozi Kia Kuwa mbovu.

Kwangu mimi Diego Simeone au Imanol Alguacil itakuwa poa zaidi
 
hii ndio tofauti ya timu kubwa kama Man Utd na vile mid table team kama Arsenyau.
Man Utd hata kama tuna timu mbovu lakini hua tunajitahidi kufocus kwenye malengo ya big team(ulazima wa uwepo kwenye top 4) hapa kikubwa hua tunapambana kutafuta points tu zitakazotuwezesha kuwepo kule.
Mid table teams wao huhangaika zaidi na statistics za Clean sheet, Goal Difference(GD), Pressing na Overloading bila ya kusahau positional interchange pamoja na Aerial duel
Timu kubwa zinacheza na GD ya +30. Wakianguka sana +25. Mid table teams zinacheza na GD +5 mpaka -5. Wewe na 0 yako unasubiri next game ushuke mpaka -2.
 
Back
Top Bottom