Avi ya gaurdiolla anatoa ushauri kwa man united wapi na wapi au ndio plastic fans hao?
Huwez kupata hata on target Kwa ArsenalNyie pigeni mdomo tu ila mna point zetu pale OT.
We jamaa unapenda sana kusema ukweliHuwez kupata hata on target Kwa Arsenal View attachment 2902303
We jamaa unapenda sana kusema ukweli


Masingeli ndio muda wake huu wa kutamba, siku atayopigika ndio siku anayozima simu na kuchomoa line kabisa.Manyumbu mpaka sasa wanashangaza watu. Mko nafasi ya 6, point 6 tu nyuma ya Tottenham wa nafasi ya 4. Ila mmepitwa goal difference na top 10 nzima kasoro West Ham. Mnapanda mdogo mdogo tu kimasihara.Masingeli ndio muda wake huu wa kutamba, siku atayopigika ndio siku anayozima simu na kuchomoa line kabisa.
Kuna namna, hata sisi hatuelewi😅😅😆Manyumbu mpaka sasa wanashangaza watu. Mko nafasi ya 6, point 6 tu nyuma ya Tottenham wa nafasi ya 4. Ila mmepitwa goal difference na top 10 nzima kasoro West Ham. Mnapanda mdogo mdogo tu kimasihara.
Last season kimasihara hivi hivi mlifika nafasi ya 3. This season mnapaswa msivuke ya 9 ila cha ajabu mtajikuta mmeingia top 4.
Waswahili wayasema mna nyota 🤣🤣Kuna namna, hata sisi hatuelewi😅😅😆
Manyumbu mpaka sasa wanashangaza watu. Mko nafasi ya 6, point 6 tu nyuma ya Tottenham wa nafasi ya 4. Ila mmepitwa goal difference na top 10 nzima kasoro West Ham. Mnapanda mdogo mdogo tu kimasihara.
Last season kimasihara hivi hivi mlifika nafasi ya 3. This season mnapaswa msivuke ya 9 ila cha ajabu mtajikuta mmeingia top 4.



hii ndio tofauti ya timu kubwa kama Man Utd na vile mid table team kama Arsenyau.



Mkizubaa tunaiba kombeManyumbu mpaka sasa wanashangaza watu. Mko nafasi ya 6, point 6 tu nyuma ya Tottenham wa nafasi ya 4. Ila mmepitwa goal difference na top 10 nzima kasoro West Ham. Mnapanda mdogo mdogo tu kimasihara.
Last season kimasihara hivi hivi mlifika nafasi ya 3. This season mnapaswa msivuke ya 9 ila cha ajabu mtajikuta mmeingia top 4.
Kwa ukubwa wa United kwa sasa ni kama hakuna kocha anayeweza kubeba huu mzigo wa kuifundisha hii timu.CEO na DOF kazi kwenu
View attachment 2901129
Ile ni Old Trafford mzee form yenu labda kwa wengine sio sisi.Huwez kupata hata on target Kwa Arsenal View attachment 2902303
Timu kubwa zinacheza na GD ya +30. Wakianguka sana +25. Mid table teams zinacheza na GD +5 mpaka -5. Wewe na 0 yako unasubiri next game ushuke mpaka -2.hii ndio tofauti ya timu kubwa kama Man Utd na vile mid table team kama Arsenyau.
Man Utd hata kama tuna timu mbovu lakini hua tunajitahidi kufocus kwenye malengo ya big team(ulazima wa uwepo kwenye top 4) hapa kikubwa hua tunapambana kutafuta points tu zitakazotuwezesha kuwepo kule.
Mid table teams wao huhangaika zaidi na statistics za Clean sheet, Goal Difference(GD), Pressing na Overloading bila ya kusahau positional interchange pamoja na Aerial duel![]()
Ndani ya miaka 20 iliyopita hizo GD 25+ zimewasaidia Arsenyau kupata kombe gani la maana?Timu kubwa zinacheza na GD ya +30. Wakianguka sana +25. Mid table teams zinacheza na GD +5 mpaka -5. Wewe na 0 yako unasubiri next game ushuke mpaka -2.
Wewe subiri uje ulingane points na wachini yako. Ujikute unamaliza nafasi ya 11 huko, ukose champions league kisa GD.Ndani ya miaka 20 iliyopita hizo GD 25+ zimewasaidia Arsenyau kupata kombe gani la maana?