Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Masingeli ndio muda wake huu wa kutamba, siku atayopigika ndio siku anayozima simu na kuchomoa line kabisa.
Manyumbu mpaka sasa wanashangaza watu. Mko nafasi ya 6, point 6 tu nyuma ya Tottenham wa nafasi ya 4. Ila mmepitwa goal difference na top 10 nzima kasoro West Ham. Mnapanda mdogo mdogo tu kimasihara.

Last season kimasihara hivi hivi mlifika nafasi ya 3. This season mnapaswa msivuke ya 9 ila cha ajabu mtajikuta mmeingia top 4.
 
Manyumbu mpaka sasa wanashangaza watu. Mko nafasi ya 6, point 6 tu nyuma ya Tottenham wa nafasi ya 4. Ila mmepitwa goal difference na top 10 nzima kasoro West Ham. Mnapanda mdogo mdogo tu kimasihara.

Last season kimasihara hivi hivi mlifika nafasi ya 3. This season mnapaswa msivuke ya 9 ila cha ajabu mtajikuta mmeingia top 4.
Kuna namna, hata sisi hatuelewi😅😅😆
 
Manyumbu mpaka sasa wanashangaza watu. Mko nafasi ya 6, point 6 tu nyuma ya Tottenham wa nafasi ya 4. Ila mmepitwa goal difference na top 10 nzima kasoro West Ham. Mnapanda mdogo mdogo tu kimasihara.

Last season kimasihara hivi hivi mlifika nafasi ya 3. This season mnapaswa msivuke ya 9 ila cha ajabu mtajikuta mmeingia top 4.
hii ndio tofauti ya timu kubwa kama Man Utd na vile mid table team kama Arsenyau.
Man Utd hata kama tuna timu mbovu lakini hua tunajitahidi kufocus kwenye malengo ya big team(ulazima wa uwepo kwenye top 4) hapa kikubwa hua tunapambana kutafuta points tu zitakazotuwezesha kuwepo kule.
Mid table teams wao huhangaika zaidi na statistics za Clean sheet, Goal Difference(GD), Pressing na Overloading bila ya kusahau positional interchange pamoja na Aerial duel
 
Manyumbu mpaka sasa wanashangaza watu. Mko nafasi ya 6, point 6 tu nyuma ya Tottenham wa nafasi ya 4. Ila mmepitwa goal difference na top 10 nzima kasoro West Ham. Mnapanda mdogo mdogo tu kimasihara.

Last season kimasihara hivi hivi mlifika nafasi ya 3. This season mnapaswa msivuke ya 9 ila cha ajabu mtajikuta mmeingia top 4.
Mkizubaa tunaiba kombe
 
Kwa ukubwa wa United kwa sasa ni kama hakuna kocha anayeweza kubeba huu mzigo wa kuifundisha hii timu.

Kwa walio na kazi labda Simon Inzaghi, Diego Simione au Imanol Alguacil.

Simon Inzaghi na Diego Simeone wameshaprove kwenye aspects nyingi ni chaguo sahihi.
Imanol ameshacheza international competition kwa bajeti ndogo kabisa lakini timu inaperform vizuri ni potential candidate wa kumreplace Xavi Barca.

Nje hao kuna Hans Flick na Zidane ambao sidhani kama wanaweza kuwa chaguo sahihi sana pale United kulingana na uongozi Kia Kuwa mbovu.

Kwangu mimi Diego Simeone au Imanol Alguacil itakuwa poa zaidi
 
1707838871400.png
 
hii ndio tofauti ya timu kubwa kama Man Utd na vile mid table team kama Arsenyau.
Man Utd hata kama tuna timu mbovu lakini hua tunajitahidi kufocus kwenye malengo ya big team(ulazima wa uwepo kwenye top 4) hapa kikubwa hua tunapambana kutafuta points tu zitakazotuwezesha kuwepo kule.
Mid table teams wao huhangaika zaidi na statistics za Clean sheet, Goal Difference(GD), Pressing na Overloading bila ya kusahau positional interchange pamoja na Aerial duel
Timu kubwa zinacheza na GD ya +30. Wakianguka sana +25. Mid table teams zinacheza na GD +5 mpaka -5. Wewe na 0 yako unasubiri next game ushuke mpaka -2.
 
Wewe subiri uje ulingane points na wachini yako. Ujikute unamaliza nafasi ya 11 huko, ukose champions league kisa GD.
Hata tukishuka daraja kwa sababu ya GD hamna shida, hata mwaka juzi kina Masingeli na Co-wokers wake walikua wanatusimanga kwelikweli kuhusu clean sheet ila mwisho wa msimu wote Arsenyau mwenye clean shit nyingi na sisi tusio na clean sheet tukaenda Europa.
Nimekuuliza haujanijibu nakuuliza tena
Ndani ya miaka 20 iliyopita hizo GD 25+ zimewasaidia Arsenyau kupata kombe gani la maana?
 
Hata tukishuka daraja kwa sababu ya GD hamna shida, hata mwaka juzi kina Masingeli na Co-wokers wake walikua wanatusimanga kwelikweli kuhusu clean sheet ila mwisho wa msimu wote Arsenyau mwenye clean shit nyingi na sisi tusio na clean sheet tukaenda Europa.
Nimekuuliza haujanijibu nakuuliza tena
Ndani ya miaka 20 iliyopita hizo GD 25+ zimewasaidia Arsenyau kupata kombe gani la maana?
mbona kwenu unaandika clean sheet vizuri kabisa ila kwetu kiingereza unasahau ghafla unaandika clean shit?
makombe kwetu yanakuja tu muda si mrefu.

kwakuwa wewe unapenda sana taarabu...

Kijembe kongoka mpini nikutie kibanio,
nimepata dereva ajuae gari yangu yenda mbio!
👌👌

Huo msamiati hata siuelewi maana yake ila kimpira mpira tuseme tu Arsenal imepata dereva ajuae Arteta na sasa gari letu laenda mbiooooo, full kuwatimulia vumbi timu za mchangani kama mamyumbu.
 
mbona kwenu unaandika clean sheet vizuri kabisa ila kwetu kiingereza unasahau ghafla unaandika clean shit?
makombe kwetu yanakuja tu muda si mrefu.

kwakuwa wewe unapenda sana taarabu...

Kijembe kongoka mpini nikutie kibanio,
nimepata dereva ajuae gari yangu yenda mbio!

Huo msamiati hata siuelewi maana yake ila kimpira mpira tuseme tu Arsenal imepata dereva ajuae Arteta na sasa gari letu laenda mbiooooo, full kuwatimulia vumbi timu za mchangani kama mamyumbu.
Msimu ulioisha gari yenu ilienda mbio zaidi ya siku 258, zimebaki mechi 8 ligi kuisha mlikua mnaongoza kwa points8 mbele dhidi ya Man City aliekua nafasi ya pili.
Imebaki mechi moja ligi iishe Mancity yuko mbele yenu kwa points 8
Asenyo haieleweki elewiki yaani ipo kama pussy cat haijulikani inakaa mbele, kati au nyuma
Uzuri wa Asenyo mdomo wanapiga wao kombe wanabeba wengine.
 
Back
Top Bottom