Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,870
- 16,425
Wewe subiri uje ulingane points na wachini yako. Ujikute unamaliza nafasi ya 11 huko, ukose champions league kisa GD.



Hata tukishuka daraja kwa sababu ya GD hamna shida, hata mwaka juzi kina Masingeli na Co-wokers wake walikua wanatusimanga kwelikweli kuhusu clean sheet ila mwisho wa msimu wote Arsenyau mwenye clean shit nyingi na sisi tusio na clean sheet tukaenda Europa. Nimekuuliza haujanijibu nakuuliza tena
Ndani ya miaka 20 iliyopita hizo GD 25+ zimewasaidia Arsenyau kupata kombe gani la maana?







