Nilianza kushabikia United mwaka 87 hii ya mwaka jana ni hatari sanaKama shabiki naumia sana kuona tunapitia haya ila nkikumbuka mapito ya Liverfools na Arsenyeto natambua kuwa sasa ni zamu yetu na hivyo niwe mwelewa na mvumilivu tu. Kuna ule ukweli kwamba hakuna atakayesalia juu milele na kupanda na kushuka ni kawaida.
Ni heri huyu kuliko Tyrell Malacia, sijui bado yupo na united au alishafukuzwa!Jamaa alicheza kwa passion sanaa
View attachment 2860212
Malacia injury zinammaliza kabisaNi heri huyu kuliko Tyrell Malacia, sijui bado yupo na united au alishafukuzwa!
Alipambana mwanzo hasa gemu ya Liverpool 2:1 OTMbona malaria namuelewa. Namuona anapambana??
Arseno ni tembo anae ning'inia kwenye tawi, hivyo ni mjinga tu atakae amini kua atadumu kwenye tawi hilo bila ya kuanguka.Hahahaha wazeee wa kamubaki haha tripu moja shamba inayofuata Herero
Mchizi boti amia aseno![]()
Kati ya
Timo werner
Michael olise
Nico willium
Nitamsajili Nico williums dogo anajua sana
Uyo olise ni black antony
MOJA YA SAJILI YA KITAPELI
BVB walimuuza Kwa manjesta Kwa €85m
Sasa wanamchukua Kwa mkopo wenye kipengere Cha kumnunua au kutomnunua
Akifanya vizuri watamnunua Kwa £15m ,then baadae watakuja kuwatapeli Tena manjesta