Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

😂😂😂😂

20240105_165421.jpg
 
Ile verse yake


" Forward butu za michongo na striker hawana mipango " alikua ana maanisha ile combination ya Rashford + Antony + Martial + Hojlund na Sanchoka

Roma is pure genius
20240105_213752.jpg
 
Nimeshangaa kuna watu wanamwona eti ana potential kubwa
Wachezaji aina ya olise ni wa mid table team hatatufikisha popote km ilivyo kwa antony

Nimeona Manchester United ipo linked up na uyu dogo
Eric ten hag akimsajili huyu nitaamini kocha hana jicho la talent I'd

Kocha alitakiwa kwenye hili dirisha atafute DM wa uhakika la sivyo tutataanza ku question uwezo wake msimu wa tatu


Mechi za crystal palace, Bournemouth, Nottingham forest alipoteza kizembe sana

Nampenda Eric kwa personality yake kwasababu imekuja kuvunja ile tox behavior kwenye dressing room ila ndani ya uwanja still nampa dought of benefits kwasababu ya wachezaji wengi waliumia msimu huu

Kusimamia dressing room nampa 9/10

Kusajili wachezaji sahihi 4/10

Playing bado 6/10
mchezaji anapohitajika na Pep muangalie jicho la pili , Pep alimuhitaji huyu dogo aligoma akaenda kwa Doku
 
Sio ratiba zako dogo. Ni kawaida yako mkipigwa chuma huwa unapotea siku kadhaa hii sio msimu huu tangia uwanze kupiga kelele humu jukwaani.

Ndiomana mimu husema wewe ni mshabiki wa Arsenal huna uchambuzi wowote ule.
Nakazia.
 
Nimekumbuka mbal sana mbali mno kitambo kile hakuna sheria

uwanjani unafanya unachokitaka hata ukiamua kulala Sawa tu
20240106_215417.jpg
 
Sio ratiba zako dogo. Ni kawaida yako mkipigwa chuma huwa unapotea siku kadhaa hii sio msimu huu tangia uwanze kupiga kelele humu jukwaani.

Ndiomana mimu husema wewe ni mshabiki wa Arsenal huna uchambuzi wowote ule.
Unaniita dogo ,saa ajabu mm baba Yako mdogo ,kuwa na adabu kijana ,

Huenda ndiye niliyekutuma sigara na pipi ,huku Jf unaniita dogo
 
Unaniita dogo ,saa ajabu mm baba Yako mdogo ,kuwa na adabu kijana ,

Huenda ndiye niliyekutuma sigara na pipi ,huku Jf unaniita dogo
Nyie watoto wamajuzi mnajulikana na malegend tunajielewa humu. usiseme ni Id hata ukibadiri tutakufahamu bwana mdogo.
 
Back
Top Bottom