Isak Hansen amemkosea nini kipara?Mafundi, Amir + Shea. Flanks za UTD zina Uhakika kwa Miaka kadhaa ijayo, UTD Miaka ya Karibuni wamekuwa na Mwendelezo Mzuri sana wa Academy, Hawa watakuja Malizia Puzzle ya kuwa Mezzala kwenye MD ya UTD.
Nadhani Ishu kubwa kwa ETH ni "Pressure" ya Matokeo ya timu, Kuna wakati anakuwa na Mashaka zaidi na Kazi kulingana na Matokeo ya kusua sua,Isak Hansen amemkosea nini kipara?
Hannibal, omari, kobbie, kambwala.
Hawa wote wamekuwa nyuma yake.
Sema Fergie alikuwa anaonaga Mbali sana Yule Babu, Moja ya Kikwazo hizi Game na ile ya Marudiano OT Ubora kila Sehemu ya uwanja, De Lima aliweka Hat-Trick ila Yule Makelele alikuwa Yeye kazi chafu tu, UTD winga teleza zote zikawa hamna kitu ile Game ya Pili Ilibidi Becks aanze Benchi Veron atulize dimba lakini wapi, Ikabidi Becks aingieApril 8 - 2003
Naangalia mechi ya real madrid dhidi ya manchester united (kipindi special kwa ajili ya baby raul gonzalez kupitia canal+)
Man utd anafungwa magoli 3
Nimebaki najiuliza hivi bwana fergie ni kweli aliamini atatawala soka la ulaya kwa kutegemea huduma ya wes brown, silvestre, barthez, nicky butt, phil neville
Sishangai kwa nini ilimchukua takribani miaka 10 mengine kucheza nusu fainali ya UEFA na kubeba ubingwa.
Zidane ni jay jay okocha mwenye nidhamu ya mpira