Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Screenshot_20240109_010927_WhatsApp.jpg
 
ina maana hampo active kiasi hiki mtu wa mwisho kapost jana nie mashetani vipi kiwango chenu kimewavunja moyoa au bwawa la maini hapa naongea
 
Mafundi, Amir + Shea. Flanks za UTD zina Uhakika kwa Miaka kadhaa ijayo, UTD Miaka ya Karibuni wamekuwa na Mwendelezo Mzuri sana wa Academy, Hawa watakuja Malizia Puzzle ya kuwa Mezzala kwenye MD ya UTD.
Isak Hansen amemkosea nini kipara?
Hannibal, omari, kobbie, kambwala.
Hawa wote wamekuwa nyuma yake.

Taarifa zinadai Man utd wanataka kumpa mkataba mrefu then waangalie njia ya kumtoa kwa mkopo.

Bwana mdogo amekuwa mgumu kusaini dili kwa sababu haelewi mustakabali wake wa kisoka ndani ya carrington
 
Isak Hansen amemkosea nini kipara?
Hannibal, omari, kobbie, kambwala.
Hawa wote wamekuwa nyuma yake.
Nadhani Ishu kubwa kwa ETH ni "Pressure" ya Matokeo ya timu, Kuna wakati anakuwa na Mashaka zaidi na Kazi kulingana na Matokeo ya kusua sua,
UTD ya baada ya WC na mwaka Jana mwanzoni ilikuwa inaeleweka kiasi, unaiweza ifunga lakini bado unajua matokeo mtapata tu. Mechi ya Robo fainali na Sevilla ikabadili kila kitu baada ya Injury ya Licha, Hadi kujiamini kwa ETH kukashuka.

Game za kina Wigan ni za kucheza watoto lakini anashindwa kwa sababu ya Kupata Matokeo ila Talanta kubwa ni Kubwa tu ngoja apate Mfumo mzuri wa kiuongozi eneo la Michezo itamsadia sana. ISAK-Hansen Itaumiza sana kama akiondoka. Sema Amir, Lacey na Isak-Hansen ni kama tu ya Greenwood na Mainoo yani unaona kabisa Njia yao ni Juu.
 
April 8 - 2003
Naangalia mechi ya real madrid dhidi ya manchester united (kipindi special kwa ajili ya baby raul gonzalez kupitia canal+)

Man utd anafungwa magoli 3

Nimebaki najiuliza hivi bwana fergie ni kweli aliamini atatawala soka la ulaya kwa kutegemea huduma ya wes brown, silvestre, barthez, nicky butt, phil neville

Sishangai kwa nini ilimchukua takribani miaka 10 mengine kucheza nusu fainali ya UEFA na kubeba ubingwa.
 
April 8 - 2003
Naangalia mechi ya real madrid dhidi ya manchester united (kipindi special kwa ajili ya baby raul gonzalez kupitia canal+)

Man utd anafungwa magoli 3

Nimebaki najiuliza hivi bwana fergie ni kweli aliamini atatawala soka la ulaya kwa kutegemea huduma ya wes brown, silvestre, barthez, nicky butt, phil neville

Sishangai kwa nini ilimchukua takribani miaka 10 mengine kucheza nusu fainali ya UEFA na kubeba ubingwa.
Sema Fergie alikuwa anaonaga Mbali sana Yule Babu, Moja ya Kikwazo hizi Game na ile ya Marudiano OT Ubora kila Sehemu ya uwanja, De Lima aliweka Hat-Trick ila Yule Makelele alikuwa Yeye kazi chafu tu, UTD winga teleza zote zikawa hamna kitu ile Game ya Pili Ilibidi Becks aanze Benchi Veron atulize dimba lakini wapi, Ikabidi Becks aingie

Nilstelrooy kumwona Becks anajirusha tu na Yule Jamaa FK alikuwa anajua zipiga asee! ila Hizi Game zilimpa Fergie mawazo mengi sana ya Kuboresha timu, Scholes alikuwa anamsogeza juu sana. Kaenda leta Yule Mcameroon Eric Djemba djemba sijawahi elewa Yule jamaa jinsi amepotezaga talanta ake, Ila Fergie alihisi kapata Makelele wake.

Fergie imemchukua Muda sana kuja kuwa na kikosi kipana anachoweza badilika kulingana na Mpinzani na alipata sajili za zali sana Evra, Vidic na Ji sung Park {Mapafu haswa} CR7, Wazza, Tevez, Edwin. Timu yake hiyo imeenda UCL semi finals 4 kwenye miaka 5 ilikuwa UTD haswa na Fainali Pekee kazipoteza ni kwa Barca ya Karne.
{Project ya 07/08 na 08/09 Hii Madrid ingekaa kabisa}
 
wala hatujawahi kulalamikia injury, tukifungwa, droo au tukishinda tunamuangalia kipara.
=============

Only five outfield players have not been sidelined through injury this season: Bruno Fernandes, Alejandro Garnacho, Diogo Dalot, Hannibal Mejbri and Facundo Pellistri.
 
Back
Top Bottom