Kushikilia draw?? 😂😂😂Mamaeee hivi hawa makenge wamehindwa kushikilia bombaaa daah..![]()
Ndio nimebaki kuduwaaa tu hapaTunafungwa goal mbili za aina moja.
Magwayaaaa anafaa ausio mwanetu????Tafuteni wachezaji wa kueleweka wachezaji wafuatao hawana sifa za kuvaa badge ya klabu yenu
Onana uzeni
Anthony uzeni
Rashford uzeni
Bruno. Huyu ndo kabisaa hata kuvaa kitambaa hafai uzeni harala6
Garnacho huyo toeni kwa mkopo
Mattominay uzeni
Martial uzeni
Hodjlund uzeni
Casemiro uzeni
Solution ni kuuza wachezaji wote, waombe kujitoa kwenye ligi, warudi baada ya miaka 10.Tafuteni wachezaji wa kueleweka wachezaji wafuatao hawana sifa za kuvaa badge ya klabu yenu
Onana uzeni
Anthony uzeni
Rashford uzeni
Bruno. Huyu ndo kabisaa hata kuvaa kitambaa hafai uzeni harala6
Garnacho huyo toeni kwa mkopo
Mattominay uzeni
Martial uzeni
Hodjlund uzeni
Casemiro uzeni
nyie MANYUMBU mmegongwa na Timu ya 5 kutoka mkiani,akili zenu zipo matakoni KENGE nyinyiWale paka wakifungwa huwa wanapotea humu.
Ila wakishinda badala ya kusifia timu yao wanakuja kumlaumu Ten Hag.
Epl tamu sana msimu huu , ukizubaa kidogo tu unagongwa hasa hata na waburuza mkiaMamaee EPL kila timu ya motoooo aiseee...
Kumtegemea mchezaji wa aina hii for two years ni upuuzi wa kiwango cha kutisha.Eriksen anaona timu inashambuliwa gibbs white yuko mwenyewe anakimbia kama yeye ndo anashambulia
ah kudadeki wazee hii timu abaki sijui amad dialo na kobe mauno
Yani timu ovyo ovyo hamna kitu
No chances
Winga wachoyo wengine ni waoga wa mpira
Yani kwa mara ya kwanza naona hamna timu hapa officially naacha kufatilia hawa kenge