Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Eriksen anaona timu inashambuliwa gibbs white yuko mwenyewe anakimbia kama yeye ndo anashambulia

ah kudadeki wazee hii timu abaki sijui amad dialo na kobe mauno

Yani timu ovyo ovyo hamna kitu
No chances
Winga wachoyo wengine ni waoga wa mpira
Yani kwa mara ya kwanza naona hamna timu hapa officially naacha kufatilia hawa kenge
Kumtegemea mchezaji wa aina hii for two years ni upuuzi wa kiwango cha kutisha.
 
Ila kocha ten hug anauchawi

Hivi kwanini hawamvungishi virago vya mpumbavu mmoja

Kwanza aeleweki anafundisha style gani ya mpira
........nitarudi
 
Tafuteni wachezaji wa kueleweka wachezaji wafuatao hawana sifa za kuvaa badge ya klabu yenu
Onana uzeni
Anthony uzeni
Rashford uzeni
Bruno. Huyu ndo kabisaa hata kuvaa kitambaa hafai uzeni haraka
Garnacho huyo toeni kwa mkopo
Mattominay uzeni
Martial uzeni
Hodjlund uzeni
Casemiro uzeni
Sasa watabaki na nani ,na kocha uzeni
 
Tafuteni wachezaji wa kueleweka wachezaji wafuatao hawana sifa za kuvaa badge ya klabu yenu
Onana uzeni
Anthony uzeni
Rashford uzeni
Bruno. Huyu ndo kabisaa hata kuvaa kitambaa hafai uzeni haraka
Garnacho huyo toeni kwa mkopo
Mattominay uzeni
Martial uzeni
Hodjlund uzeni
Casemiro uzeni
Labda wanunuliwe na IHEFU
 
hamis77 mkorea arsenal2004 wazee tusiwalazie damu hawa nyumbu leo. Maana Arteta kwa sasa atakuwa kavurugwa, anaweza kupoteza game ya kesho yule jamaa. Hawatatuachia.
OIG.K7cD.jpeg
 
Back
Top Bottom