Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Humu ndani haya makalio yanacheza kama yapo umiseta

Bruno anamuona amad pembeni anajipigia kama kuku

Huyu mctominay anapiga pembeni na nyuma

Garnacho kila mpira anahisi ni anatakiwa afunge

Mpira wapumbavu wanauogopa kama ni wamoto hivi


Wazee hii timu atoke huyu jamaa kocha hamna kitu naona upumbavu tu
 
Wait for the vawulance we're going to spread 😂😂😂
1703884783978.jpg
 
Back
Top Bottom