fuentte
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 3,398
- 9,822
Yule kiranja wa jukwaa lao kawatoroka anasubiri papoe ili aje kuwapiga kamba mpya tena.Wale paka wakifungwa huwa wanapotea humu.
Ila wakishinda badala ya kusifia timu yao wanakuja kumlaumu Ten Hag.