Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yule kiranja wa jukwaa lao kawatoroka anasubiri papoe ili aje kuwapiga kamba mpya tena.
yote inatokanwa na tabia ya kuranda ovyo kwenye thread za team pinzani na kuandika maneno ya dhihaka na kejeli.

huku wakisahau kuna wengine wana khulka sawa na zao.

ukishafahamu mipaka yako ya ushabiki hakutokuwa na mchezo utakao kupotezea furaha kwa muda mrefu.
 
Mats Wieffer
Declan Rice wa kutoka netherland
1703872429033.png
 
Kaka ETH ananiangusha mpaka nakosa nguvu za kuweka habari za chama kubwa maana Hashtag ninayomwekeaga #𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃🇳🇱⚙️ haiendani na anachokionyesha uwanjani ila mimi nipo sana tu.
Issue ilikuwa management embu tuone Sir Jim atafikia wap na yeye

Jikaze hivyo hivyo binafsi ningekuwa na uwezo wa kuhama team ningehama muda

Naona kama kuhama kuna uhusiano na usaliti....
 
Back
Top Bottom