Umeongea kwa akili kubwa sana mkuu
kacnia Bruno ni tatizo kubwa kwa sasa. Nikikumbuka zile faulo mbili za hovyo alifanya kwenye uefa na zote zikazaa magoli tukaondolewa na juzi kwa Aston Villa kafamyavtena faulo wakapata goli la kwanza. Huyo mtoto wa miaka 19 anacheza dakika 80 na hasababishi faulo yoyote.
Huyo unaemsemea wa hovyo ana takwimu nzuri za kutengeneza chance za kufunga kuliko magwiji wengi waliopita EPL ,,,,tatzo tuna forward mbovu ,,,,, chance hizo haziwi magoli,,,,
Bruno ana spirit ya timu sana, utadhani ya baba yake ,,,nadhani hii ni moja ya sifa zilizompa uongozi ,,,,
Punguza makasiriko, ile nafasi unataka acheze nani ? Panga pangua kwenye mechi muhimu lazima apangwe, hata makocha waliopita walikuwa wanampanga,,,,,
Wewe ni mtaalamu kuliko hao makocha wanaompanga???