Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wakuu mjue wengi wetu tunakosa utamu wa majukwaa ya hizi team zetu pendwa kwa sababu za kijinga ambazo Boss Maxence Melo ameshindwa kuzitatua karibia mwezi wa 7 sasa

Hebu tusaidiane wenyewe kwenye hili, kuna link ya jamii forum ambayo ilikuwa haisumbui nilipewa na raia humu ila nikalogwa Ku update app ndo nikarudi kwenye haya matatizo ya kushindwa kufungua baadhi ya majukwaa na picha

Naombeni hiyo link kwa yoyote yule ambae anaweza kunisaidia ili tuendelee kupigana spana vizuri humu, saiz naingia jukwaa la Nyumbu tu kwingine haiwezekani, ata wale ambao sijawatag ila Kama unajua solution basi usisite kutoa msaada

Castr allypipi lembu arsenal2004 hamis77 El Tiger Mkohoti computerarsenal Aaron Arsenal
Nilikutag kwenye lile jukwaa hebu lifuate kisha share screenshot isijekua upo banned.

Kisha jaribu kuingia kama guest bila username tuone
 
Wakuu mjue wengi wetu tunakosa utamu wa majukwaa ya hizi team zetu pendwa kwa sababu za kijinga ambazo Boss Maxence Melo ameshindwa kuzitatua karibia mwezi wa 7 sasa

Hebu tusaidiane wenyewe kwenye hili, kuna link ya jamii forum ambayo ilikuwa haisumbui nilipewa na raia humu ila nikalogwa Ku update app ndo nikarudi kwenye haya matatizo ya kushindwa kufungua baadhi ya majukwaa na picha

Naombeni hiyo link kwa yoyote yule ambae anaweza kunisaidia ili tuendelee kupigana spana vizuri humu, saiz naingia jukwaa la Nyumbu tu kwingine haiwezekani, ata wale ambao sijawatag ila Kama unajua solution basi usisite kutoa msaada

Castr allypipi lembu arsenal2004 hamis77 El Tiger Mkohoti computerarsenal Aaron Arsenal
Mkuu mi sijawahi kuwa na app huwa naingia kwa njia ya kawaida tu....naropoka weee nikimaliza na log out....nikitaka kurudi na ku comment na log in tena....ndo yamekuwa maisha yangu hayo...labda wnye app na huo ufahamu wakusaidie mkuu
 
Nilikutag kwenye lile jukwaa hebu lifuate kisha share screenshot isijekua upo banned.

Kisha jaribu kuingia kama guest bila username tuone
Aisee kwa maisha nayoishi humu siwezi kuwa Banned ndugu yangu, ni matatizo tu ya forum maana sio Mimi tu ambae nipitia hii kasheshe

Kuna wengine Hadi wameamua kuachana kabisa na jamii forum na wame uninstall app, maana ni Ujinga kulazimisha likitu haliongei

Na kuhusu Ku log out niingie kama tax bubu nishajaribu ila wapi
Screenshot_2023-12-26-15-30-31-816_com.quoord.jamiiforums.activity.jpg
 
Mkuu mi sijawahi kuwa na app huwa naingia kwa njia ya kawaida tu....naropoka weee nikimaliza na log out....nikitaka kurudi na ku comment na log in tena....ndo yamekuwa maisha yangu hayo...labda wnye app na huo ufahamu wakusaidie mkuu
Pamoja Mkuu
 
Aisee kwa maisha nayoishi humu siwezi kuwa Banned ndugu yangu, ni matatizo tu ya forum maana sio Mimi tu ambae nipitia hii kasheshe

Kuna wengine Hadi wameamua kuachana kabisa na jamii forum na wame uninstall app, maana ni Ujinga kulazimisha likitu haliongei

Na kuhusu Ku log out niingie kama tax bubu nishajaribu ila wapiView attachment 2853687
 
Back
Top Bottom