trigger_
JF-Expert Member
- Apr 9, 2019
- 764
- 1,414
Kuna mtu anaweza nipa sababu za mwarabu kunyimwa timu........
Ungekua unawajua maboss zako wa utd usingeuliza hili swali
Kuna mtu anaweza nipa sababu za mwarabu kunyimwa timu........
waarabu n oil moneyKwa icho icho alichopewa jim
Kwa iyo nuksi glazers bado wapo sana au ndio wanasepa mazimawaarabu n oil money
sana wapo wana asilimia 75Kwa iyo nuksi glazers bado wapo sana au ndio wanasepa mazima
sawa atita mikeliSir Jim carrying Manjesta utdView attachment 2853383
Manunu anashinda....nimewaangalia Villa wanakuzwa tu lakini hamna timu ya kutisha kabisa....mkiwasimanga kama mlivyowasimanga Chelkenge siku ile mnashinda kiwepesi kabisaGame ambayo ni point 3 za bure kwa Villa
Unai last season alipopewa tu timu akatuweka 4+ Villa park tukaja kumuotea 4-2 OT...Sasa naleo nahuu ubovu wetu tutakula 3-0 kiroho safi tunarudi nafasi ya 10 na pwenti zetu 29
Tutamchukua aje kuwa mfua jezi za kina Saka....tuna nafasi nyingi za kazi pale klabuniSir Jim bosi mpya
Inabidi amuuze Antony kwenda arsenal
Sir Jim bosi mpya
Inabidi amuuze Antony kwenda arsenal
we jamaaa asenyo hawana kibunda saivWakuu mjue wengi wetu tunakosa utamu wa majukwaa ya hizi team zetu pendwa kwa sababu za kijinga ambazo Boss Maxence Melo ameshindwa kuzitatua karibia mwezi wa 7 sasaUmewahi kusikia kuhusu FFP?
Nilikutag kwenye lile jukwaa hebu lifuate kisha share screenshot isijekua upo banned.Wakuu mjue wengi wetu tunakosa utamu wa majukwaa ya hizi team zetu pendwa kwa sababu za kijinga ambazo Boss Maxence Melo ameshindwa kuzitatua karibia mwezi wa 7 sasa
Hebu tusaidiane wenyewe kwenye hili, kuna link ya jamii forum ambayo ilikuwa haisumbui nilipewa na raia humu ila nikalogwa Ku update app ndo nikarudi kwenye haya matatizo ya kushindwa kufungua baadhi ya majukwaa na picha
Naombeni hiyo link kwa yoyote yule ambae anaweza kunisaidia ili tuendelee kupigana spana vizuri humu, saiz naingia jukwaa la Nyumbu tu kwingine haiwezekani, ata wale ambao sijawatag ila Kama unajua solution basi usisite kutoa msaada
Castr allypipi lembu arsenal2004 hamis77 El Tiger Mkohoti computerarsenal Aaron Arsenal
Mkuu mi sijawahi kuwa na app huwa naingia kwa njia ya kawaida tu....naropoka weee nikimaliza na log out....nikitaka kurudi na ku comment na log in tena....ndo yamekuwa maisha yangu hayo...labda wnye app na huo ufahamu wakusaidie mkuuWakuu mjue wengi wetu tunakosa utamu wa majukwaa ya hizi team zetu pendwa kwa sababu za kijinga ambazo Boss Maxence Melo ameshindwa kuzitatua karibia mwezi wa 7 sasa
Hebu tusaidiane wenyewe kwenye hili, kuna link ya jamii forum ambayo ilikuwa haisumbui nilipewa na raia humu ila nikalogwa Ku update app ndo nikarudi kwenye haya matatizo ya kushindwa kufungua baadhi ya majukwaa na picha
Naombeni hiyo link kwa yoyote yule ambae anaweza kunisaidia ili tuendelee kupigana spana vizuri humu, saiz naingia jukwaa la Nyumbu tu kwingine haiwezekani, ata wale ambao sijawatag ila Kama unajua solution basi usisite kutoa msaada
Castr allypipi lembu arsenal2004 hamis77 El Tiger Mkohoti computerarsenal Aaron Arsenal
wanashinda....Aston villa mnawakuza kuliko uhalisia...nyie mnaenda kucheza na Burnley...naomba Sana watoto waamke vzuri mpate hata draw tu...stress zitupungue...maana mkikaa pale juu mtaanza maneno yenu ya shombo tenaMsiingize timu uwanjani leo
Aisee kwa maisha nayoishi humu siwezi kuwa Banned ndugu yangu, ni matatizo tu ya forum maana sio Mimi tu ambae nipitia hii kashesheNilikutag kwenye lile jukwaa hebu lifuate kisha share screenshot isijekua upo banned.
Kisha jaribu kuingia kama guest bila username tuone