Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 37,812
- 75,458
Nilikutag kwenye lile jukwaa hebu lifuate kisha share screenshot isijekua upo banned.Wakuu mjue wengi wetu tunakosa utamu wa majukwaa ya hizi team zetu pendwa kwa sababu za kijinga ambazo Boss Maxence Melo ameshindwa kuzitatua karibia mwezi wa 7 sasa
Hebu tusaidiane wenyewe kwenye hili, kuna link ya jamii forum ambayo ilikuwa haisumbui nilipewa na raia humu ila nikalogwa Ku update app ndo nikarudi kwenye haya matatizo ya kushindwa kufungua baadhi ya majukwaa na picha
Naombeni hiyo link kwa yoyote yule ambae anaweza kunisaidia ili tuendelee kupigana spana vizuri humu, saiz naingia jukwaa la Nyumbu tu kwingine haiwezekani, ata wale ambao sijawatag ila Kama unajua solution basi usisite kutoa msaada
Castr allypipi lembu arsenal2004 hamis77 El Tiger Mkohoti computerarsenal Aaron Arsenal
Kisha jaribu kuingia kama guest bila username tuone
we jamaaa asenyo hawana kibunda saiv