Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

I’m so proud of our team. Never seen them so organised and they defended with all their heart and might.

We were half strength but we played so much better.

The referee was so poor in his decisions.

Kudos to Manchester United. Glory Glory Manchester United.

Kweli mpira Una dunda daah siamini
 
I’m so proud of our team. Never seen them so organised and they defended with all their heart and might.

We were half strength but we played so much better.

The referee was so poor in his decisions.

Kudos to Manchester United. Glory Glory Manchester United.

Kweli mpira Una dunda daah siamini
poleni sana nyumbu.leo mliamini mnakufa 5+
 
Pamoja na kupelekewa moto muda wote ila kuna nafasi nyingi pia za wazi foward yetu imeshindwa kuzitumia.
Kwa hizi statistics bado tunasafari ndefu sana mpaka kufika nchi ya ahadi, tukifanya masihara tunaweza jikuta tunazurura miaka 40 kwenye jangwa la sinai.
1702837838372.jpg
 
watu msichokijua kwamba tuna majeruhi wa kutosha Scott anacheza kwa sababu ya majeruhi ya casemiro na ericksen na mount.

sasa kwa hapo unataka acheze nani?
Baada ya mechi ya brentford kufunga magoli 2, licha ya hayo majeruhi unayoyaongelea huyo bwana hajawahi kuanzia benchi.

Wachezaji wanaofanyiwa rotation ni mainoo, eriksen before injury na amrabat.

Imefikia hatua Scott anachezeshwa AM, kipara anatoa mhanga vipaji vya wengine kwa ajili yake.
 
Ifike mahali viongozi wa hii timu watambue kwamba kuna wachezaji wengi sana ambao hawastahili hata kukaa benchi achilia mbali kuvaa jezi ya United....

Mchezaji kama hujilund sijui hujilimdu anafanya Nini pale united?

Eti winga kama Anthony ndio unategemea akupe matokeo kwenye game kubwa si utani huu.. Mchezaji kama Anthony ni wakuingia dk ya 88 wakati timu ikiwa inaongoza, kwanza timu serious huyu angekuwa anacheza mechi za EFL tu basi
 
Back
Top Bottom