trigger_
JF-Expert Member
- Apr 9, 2019
- 764
- 1,414
Bado nauliza na hamjawahi nijibu, nauliza tena. Ten Hag huwa anaona nini kwa Anthony ambacho mimi sioni?
Wewe Tuambie upande huo unaona nani akicheza atauwasha?
Bado nauliza na hamjawahi nijibu, nauliza tena. Ten Hag huwa anaona nini kwa Anthony ambacho mimi sioni?
poleni sana nyumbu.leo mliamini mnakufa 5+I’m so proud of our team. Never seen them so organised and they defended with all their heart and might.
We were half strength but we played so much better.
The referee was so poor in his decisions.
Kudos to Manchester United. Glory Glory Manchester United.
Kweli mpira Una dunda daah siamini
Hakika yaan nilikuwa napresha balaaapoleni sana nyumbu.leo mliamini mnakufa 5+
😂😂 we trust in ETH......apewe mkataba wa miaka 5 zaidi.tunataka kuona vitu kwa fieldHakika yaan nilikuwa napresha balaaa
Any way tumefurahi
Ila kocha hatumtaki
watu msichokijua kwamba tuna majeruhi wa kutosha Scott anacheza kwa sababu ya majeruhi ya casemiro na ericksen na mount.Natamani scott mctominay apate majeruhi
wiki ijayo mtakutana na wagonga nyundo,kazeni hapohapo msije mkatia aibu tena kama kawaida yenuVarane
Onana![]()
Baada ya mechi ya brentford kufunga magoli 2, licha ya hayo majeruhi unayoyaongelea huyo bwana hajawahi kuanzia benchi.watu msichokijua kwamba tuna majeruhi wa kutosha Scott anacheza kwa sababu ya majeruhi ya casemiro na ericksen na mount.
sasa kwa hapo unataka acheze nani?
Et kocha hatumtakiHakika yaan nilikuwa napresha balaaa
Any way tumefurahi
Ila kocha hatumtaki


utawajua tu shabik maandaz sasa kocha mtabadir wangap??? Wamepta makocha wangap had huyo ten hag ..... Team lenu bovuuu tu sajir watu wengne fukuza uza anza upya ...