Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Jijiemyu

Tupo hapa kutoa pole kwa wafiwa mapema kabisa
20231201_143932.jpg
 
Nimehakikisha leo Ten Hag hawezi kufanikiwa akiwa na Manchester United..... Sisi ndio timu pekee ambayo tunatafuta mpira alafu tukipata hatujui tupeleke wapi....pattern ya kushambulia hamna kabisa..... Hojlund ni mchezaji mzuri ila anaflop sababu hata kupewa pasi 2 hapewi
 
Mkuu naona unasukuma gurudumu la matumaini
Muda mrefu hujaonekana, natumai waendelea vyema kiafya na kifikra.

Yes nipo,
bado sijapata starehe ya kuniweka mbali na manchester united.

Japokuwa naumia nafsini kwa jinsi tunavyocheza mechi zetu dhidi ya timu pinzani ila sina budi kuifuatilia hii timu.

Ujinga huu ninaoushuhudia nakumbuka walikuwa wanafanyiwa ARSENAL miaka minne iliopita, now liverpool na man city wote wanakhofu wanapocheza na THE GUNNERS.

Football heritage
 
Hakuna shuti lililolenga goli dk 45. Stickers na midfielders wajiulize.
 
Bado nauliza na hamjawahi nijibu, nauliza tena. Ten Hag huwa anaona nini kwa Anthony ambacho mimi sioni?
 
Bado nauliza na hamjawahi nijibu, nauliza tena. Ten Hag huwa anaona nini kwa Anthony ambacho mimi sioni?
Mkuu nimekuja jukwaa la michezo nikitaka kuuliza antony hawezi ungana na sancho?
 
Back
Top Bottom