whitemoney
JF-Expert Member
- Nov 9, 2023
- 1,190
- 2,541
arsenal amefungwa away tena goli 1.Mie leo haya matokeo hata hayaniumi maana hamis77 na genge lake hawawezi kutia pua zao humu.
Bayern mwenyewe kala gongo 7 itakua United kufa 3 tu!
Ha haaaaaaIfike wakati mtu kama martial avunjiwe tu mkataba hata kibabe sasa.
Ifike wakati mtu kama martial avunjiwe tu mkataba hata kibabe sasa.
kwa hiyo hata Europa watakosa? very sadKesho mnafungashiwa virago kwa kushika mkia
Ulitukanwa Sana ulinyanyasika Sana humuIn short, as for now hatuna team ya ku compete kuchukua makombe, this season is done n dusted hata kabla ya kuanza, let's try may be in five or six years to come endapo kama Uongozi utakua na maono kama ya baadhi ya mashabiki wa humu wanao amini kwa team yenye kariba ya utd haiwezi kufanya revamp ya kikosi kwa msimu mmoja
Bado nitaendelea kuwa na mashaka na 10hag ,
Kama nilivyotilia mashaka usajili wa Anthony kwa €100m
The same story kwa huyu Hojlund ,ndio msimu wa kwanza Atalanta , ana goli 9 tu Seria A , anazidiwa magoli na kiungo mkabaji wa Atalanta Kopp ,
Hojlund kwa €85m utapeli mwingine huu, overpaid
Bei ya Havertz na Højlund ni almost the same. Havertz ambaye katika misimu yote aliyocheza Chelsea hajawahi kuvuka goli 10 per season (kwenye ligi) pamoja na kuchezeshwa kama forward. Last season kaanza kwenye mechi 30 kaishia goli 7. Højlund ambaye kaanza mechi 20 ana goli 9.
Na bado unapata nguvu ya kuja kuponda humu. Kwani unafikiria kwa kutumia matope auView attachment 2702686View attachment 2702687
Nalisubiri sana dili la Amrabat,bonge la kiungo,especially kama atachezeshwa na Mount,namfananisha na De jong,japo De jong ni mtu na nusu,ila sio mbaya...
Atleast Casemiro atapumua,na sometime wanaweza wakaanza wote,Case 6,amrabat 8
Case na Amrabat pivot yao itakuwa hatari sana halafu mbele yao akisimama Bruno anakuwa free kufanya mambo yake.
Yule dogo Greenwood wamrudishe aisee. Pale mbele akisimama Rashford, Hojlund, Greenwood ni magoli tu yananukia.
Wewe subiria moshi uanze kufuka kwa jirani ukija kushtuka kwako kumeungua.
Arsenal downfall yenu naisubiri sana, last season mlikuwa humbled kwa lazima.
Ila mnanishangazaga Sana mbona toka pre season tuliwaambia na tuliweka ushahidi wa kimazingira ,kwanini tunaenda kugombea ubingwa
Maandiko yapo , audio kule space zipo
Msimu huu tumesajili zaidi ,haihitaji ramli kujua tunaenda kupigania ubingwa no matter what
Maombi yetu sisi wahafidhina wa football ,mancity aondokewe na Gundo Bernado mahrez , amebaki Bernado
Wanaochungulia mpira kwa jicho la 3 wanajua kabisa kuondoka kwa Gundo, mahrez na Bernado ni pengo kubwa Sana kwa city ,
Manjesta kitakachowaua ni depth ya kikosi ,
Niambie Casemiro aki drop au suspension zake zile au injury mna replace na Nan? Amrabat?
Kule mbele bado historia inaonesha Rashford Hana consistency yakueleweka na ndiye mbeba maono wa manjesta
Japo kiuhalisia kabisa
Arsenal, mancity , manjesta ndio favourite kwa kugombea ubingwa
Newcastle msimuhesabie kwanza ana michuano mingi pili Hana depth yakutosha ,halafu kule UCL wamemuweka pot 3