Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Mo Salah ana magoli yake matatu hapokwa hiyo unaona hii ndiyo chance ya Nunez naye kujipatia vigoli? Mwambie yeye kazi yake ni kulengesha mpira golini tu. Mengine Onana atayaendeleza. Ila basi afunge Nunez peke yake goli moja. Hao wengine wawafunge kina City na Newcastle goli moja moja pia
Bado Gakpo
Bado Trent
Bado Szoboszlai
Bado Diaz
Akiyanani kile kipara kinaenda kukamilishwa rasmi 10Hag



