Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuna team zinapenda sifa ,Bayern points 13 anayefuata point 5 na anacheza na mwenye points 4 Bado kamwekea utd full mziki ,kuanzia Kane hadi Neuer ,Sasa tunawaomba utd mkishindwa kuwafunga wavunjeni TU maana ni Roho mbaya kbsa.
Hawa wajerumani sijui wana tamaa ya hela. Kuna €2.8m kwa kila group game ukishinda. Plus wanataka kuload win rate yao ili wazidi kuonekana kuwa stats za kushinda ziko juu kwa ajili ya data za kuwapa wafadhili wapya na kuwapa nguvu katika mazungumzo ya dili mpya.
 
Hawa wajerumani sijui wana tamaa ya hela. Kuna €2.8m kwa kila group game ukishinda. Plus wanataka kuload win rate yao ili wazidi kuonekana kuwa stats za kushinda ziko juu kwa ajili ya data za kuwapa wafadhili wapya na kuwapa nguvu katika mazungumzo ya dili mpya.
Wanakaza sana Wanao wachezaji wengi benchi tofauti na Madrid lakini wanakamia sana
 
Back
Top Bottom