Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,481
- 27,185
In ETH we trust
Unaumia ukiwa wapiETH anaendeleza utapeli ndani ya manjesta
Arsenal fans watakuwa wanamkumbuka kijana wetu wakiholanzi Donyell Malen ,alikulia pale Arsenal alikuwa na kipaji kikubwa ,akarubunika na madalali kina marehemu Raiola na mwenzake Pinenta akasaini asimamiwe nao ,akaambiwa asiongeze mkataba Arsenal, wakampeleka PSV ya uholanzi, akafanya vzr Sana, wakataka kumuuza Tena Arsenal kwa £50m , Arsenal wakagoma ,
Mwisho wakamuuza BVB ,kwa €30m , amekuwa na kiwango cha kawaida Sana
Wiki iliyopita kakutana na kampuni lile lile la utapeli la ERIK 7 HAG ,linaitwa SEG ndilo lilitumika kuwaleta kina Weghorst,Hojlund , amrabat,Malacia,Anthony ,
Donyell Malen kajiunga na Hilo kampuni ,na Sasa Kuna mazungumzo aende manjesta kwa £25m au wafanye Swap deal na Jodan Sancho
Tayari SEG wanapambana kuhakikisha manjesta inatapeliwa Tena na ETH anapata mgao wake
Kampuni la SEG Ni linasimamiwa na mtoto wa ETH, pia linamsimamia ETH ,na wachezaji unaowaona wengi wanakuja manjesta kupitia ETHView attachment 2836411
Hakuanza mechi ya ChelseaHuyu kocha anajisabishia mwenyewe.analazimisha Rashford aanze kila mechi wakati hajui.
Sana, kocha kimeo huyu.Angempanga Rasmus instead of martial,,,,
GGMU
nyie endeleeni kujiliwaza na tofauti ya hizo pointsHatariii
GGMU
DEAR GOD
Mungu tupe nguvu ya ushindi, maadui ni wengi kina arsenal, liverpool na chelsea vile vile
Mpe akili Antony, onana na rashford vile vile
Tushinde 3:0, chelsea, liverpool, man city, arsenal wapigwe vile vile
Amen![]()

