Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

ETH anaendeleza utapeli ndani ya manjesta


Arsenal fans watakuwa wanamkumbuka kijana wetu wakiholanzi Donyell Malen ,alikulia pale Arsenal alikuwa na kipaji kikubwa ,akarubunika na madalali kina marehemu Raiola na mwenzake Pinenta akasaini asimamiwe nao ,akaambiwa asiongeze mkataba Arsenal, wakampeleka PSV ya uholanzi, akafanya vzr Sana, wakataka kumuuza Tena Arsenal kwa £50m , Arsenal wakagoma ,

Mwisho wakamuuza BVB ,kwa €30m , amekuwa na kiwango cha kawaida Sana

Wiki iliyopita kakutana na kampuni lile lile la utapeli la ERIK 7 HAG ,linaitwa SEG ndilo lilitumika kuwaleta kina Weghorst,Hojlund , amrabat,Malacia,Anthony ,


Donyell Malen kajiunga na Hilo kampuni ,na Sasa Kuna mazungumzo aende manjesta kwa £25m au wafanye Swap deal na Jodan Sancho


Tayari SEG wanapambana kuhakikisha manjesta inatapeliwa Tena na ETH anapata mgao wake


Kampuni la SEG Ni linasimamiwa na mtoto wa ETH, pia linamsimamia ETH ,na wachezaji unaowaona wengi wanakuja manjesta kupitia ETHView attachment 2836411
Unaumia ukiwa wapi
 
Hatariii
 

Attachments

  • Screenshot_20231208_175449_Instagram.jpg
    Screenshot_20231208_175449_Instagram.jpg
    17.4 KB · Views: 7
kikosi Cha bwenyenye glazer ichi hapa leo barobaro boys tuende tukaone burudani moto moto.

Manchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha

My prediction

Manchester United 3 vs Bournemouth 1

GGMU

tunalitaka kombe
20231209_160104.jpg
 
GGMU

🎵DEAR GOD

Mungu tupe nguvu ya ushindi, maadui ni wengi kina arsenal, liverpool na chelsea vile vile
Mpe akili Antony, onana na rashford vile vile
Tushinde 3:0, chelsea, liverpool, man city, arsenal wapigwe vile vile

Amen🎵
 
GGMU

DEAR GOD

Mungu tupe nguvu ya ushindi, maadui ni wengi kina arsenal, liverpool na chelsea vile vile
Mpe akili Antony, onana na rashford vile vile
Tushinde 3:0, chelsea, liverpool, man city, arsenal wapigwe vile vile

Amen
 
leo mkipoteza point tatu,na bournemouth waanzisha special thread
kwasasa timu yoyote ndogo wakiifunga manunu nao wanaanzisha thread
 
Back
Top Bottom