Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Daah Yan zile zote pellistri anapaisha na kujikwaa kwaa, ndo pale unabwatuka tu angekuwa hata Messi yule wa 19 years zile walizokosa zote kamba tu...yule martial naye alitaka afanye Nini sijui, binafsi UTD ukiipelekea moto kidogo tu unawafunga kama kipa ukimlengeshea vizuri unamtoboa zote hahahah...
Ukicheza na manyumbu wewe kazi yako ni kuhakisha unapeleka shot on target tu. Mengine muachie Onana
 
Daaahhh we acha tu.
Yaani hiyo mechi ya pale Anfield kila nikiifikiria natamani nistaafu kwanza kwa muda kushabikia mpira mpaka mwakani.
Hii timu yetu ikianza kufungwa kurudisha goli hua ni shida na ikianza kufunga kushikilia bomba pia ni shida.
Hili timu litakuja kutuua kmmmmmae.
Yaani kuanzia mmiliki, management, kocha na wachezaji wote wanatakiwa wapelekwe Gaza wakafundishwe uzalendo wa kweli na wale vijana machachari wa Hamas.
Acha matusi
 
Kama unathamini muda wako leo usijisumbue kuangalia mechi. Hakuna kitu cha maana nyumbu wanachoenda kufanya Istanbul. Na haiishii hapo tu nafasi ya kupita kwenda hatua inayofuata ni 1%.
Bayern akimpiga Copenhagen leo, nafasi ya 2. halafu Nyumbu akimpiga Bayern huku Copenhagen na Galatasaray wakitoka sare game ya mwisho, Nyumbu anashika nafasi ya pili. Yaani hawa nyumbu kuna bahati inawabeba na haitaki kuwaachia.
 
Bayern akimpiga Copenhagen leo, nafasi ya 2. halafu Nyumbu akimpiga Bayern huku Copenhagen na Galatasaray wakitoka sare game ya mwisho, Nyumbu anashika nafasi ya pili. Yaani hawa nyumbu kuna bahati inawabeba na haitaki kuwaachia.
Hao Copenhagen hawatakubali kutoka kizembe lazima watatafuta wa kufa naye (Galatasaray). Cha muhimu wachezaji wa United wasikate tamaa kwenye mechi ya Bayern, lolote linaweza kutokea kule Copenhagen.
 
Bayern akimpiga Copenhagen leo, nafasi ya 2. halafu Nyumbu akimpiga Bayern huku Copenhagen na Galatasaray wakitoka sare game ya mwisho, Nyumbu anashika nafasi ya pili. Yaani hawa nyumbu kuna bahati inawabeba na haitaki kuwaachia.
Bayern ile ya kina muller ambayo hata game isiyo na maana wanataka washinde, ndo man u apite?
 
Kijana mmoja kutoka chelsea kafunga midomo ya watu
Screenshot_20231129-231018.jpg


Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom