Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Arv
FB_IMG_16986973531529733.jpg


Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Daaahhh we acha tu.
Yaani hiyo mechi ya pale Anfield kila nikiifikiria natamani nistaafu kwanza kwa muda kushabikia mpira mpaka mwakani.
Hii timu yetu ikianza kufungwa kurudisha goli hua ni shida na ikianza kufunga kushikilia bomba pia ni shida.
Hili timu litakuja kutuua kmmmmmae.
Yaani kuanzia mmiliki, management, kocha na wachezaji wote wanatakiwa wapelekwe Gaza wakafundishwe uzalendo wa kweli na wale vijana machachari wa Hamas.
🤠🤠🤠🤠....liverkuku ni mbali...weekend hii na nyukesto tu hapo utaelewa vzuri ndugu yangu
 
Yaani hawa kila wakianza mdomo lazima wapigwe gundi kwanza, ni mpaka wajifunze kua humble.

Wakiiona mechi waifikirie kwa kuzingatia kila kitu na siyo kuamini lazima kushinda kwakua wao ni nyumbu united. Hili somo walijifunza liva, tukajifunza Arsenal.

Mechi ikija mezani hauanzi na vibwagizo vya kimama unaangalia mpinzani unajiangalia na wewe. Ila nyumbu united wao utasikia "leo nyumbu tunacheza watakoma hawa, na lazima tufuzu ni aibu tusipofuzu"

Sasa mpigeni Bayern ili muende Europa au Uefa. Binafsi naamini jana Bayern alifanya makusudi kusuluhu akiamini anamcancel potential rival nyumbu, in fact alitamani afungwe kabisa.
 
Anayejua TEN HAG anatupeleka wapi kiuchezaji na si kimatokeo aniambia, nahisi kama tunapotea.
Ten Hag ni fala! Wachezaji wabovu kama Onana na Antony anawabeba japokuwa wanafanya makosa karibia kila mechi, ndiyo maana Sancho akaamua kutoa ya moyoni. EtH ni falafala mmoja hivi. Atolewe tu ndiyo akili imkae sawa. Varane kam-drop ila wangese wake ndiyo anawabembeleza.

Ego the size of Old Trafford.
 
Back
Top Bottom