Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huyu ndiye mchezaji pekee pale kikosini ktk eneo la kiungo ambaye anaweza kupokea mpira kutoka kwa Onana bila ku-flinch. Kusema kweli alipoumia nilipoteza imani na msimu huu walau kufanya vizuri kidogo, ukiangalia vizuri strategy ya Ten Hag tulipokuwa pre-season haikuwa ile ile aliyokuja kuitumia baada msimu kuanza na baada ya huyu dogo kuumia. Tulirudi na strategy ile ile ya msimu uliopita huku ubora wa Casemiro ukizidi kupungua jumlisha na form inconsistency ya washambuliaji.
Casemiro ubora umepungua sana..tuwekeze kwa huyu mtoto kwa sasa hivi.

Kuna maeneo anapokea mali hadi naogopa..ila dogo taratibu bila papara mali anabaki nayo na anatoa pasi safi..
 
Kesho Hiyo
20231128_114728.jpg
 
Wafanye wawezalo Gala apigwe kwao..Tabu ya hii timu ushindi mmoja kifuatacho ni Vipigo Back to Back...Kama wakimfunga Gala kwao watapata confidence ya kumfunga Bayern pale OT
 
Kobe Mainoo yupo Kati sasahv...ndo tumeanza UEFA rasmi...ngoja uone
Ile mechi ya Everton inadanganya sana watu na hawawezi kuona picha halisi ya timu. Ni kweli Mainoo alicheza vizuri ila huwezi kumtegemea peke yake uwanjani.

Galatasaray huwezi kufananisha na Everton, wana watu wa kutoa adhabu. Huwezi kuruhusu Everton atawale vile halafu leo utegemee kumfunga Gala pale Istanbul kirahisi tu. Kama hawa wachezaji atmosphere ya Copenhagen iliwashinda sijui leo itakuwaje!
 
Mpira dakika 90
Msimu huu kwenye UCL rekodi ya nyumbu ugenini ni 2 games: 0 points. Kipi kinakuaminisha kuwa leo wale wachezaji vilaza (Rashford) wataweza kupata points!

Hii mechi kama kawaida Galatasaray wataingia kama underdogs ila ukiweka vikosi hapa United watakimbizwa.
 
Wafanye wawezalo Gala apigwe kwao..Tabu ya hii timu ushindi mmoja kifuatacho ni Vipigo Back to Back...Kama wakimfunga Gala kwao watapata confidence ya kumfunga Bayern pale OT

Ile mechi ya Everton inadanganya sana watu na hawawezi kuona picha halisi ya timu. Ni kweli Mainoo alicheza vizuri ila huwezi kumtegemea peke yake uwanjani.

Galatasaray huwezi kufananisha na Everton, wana watu wa kutoa adhabu. Huwezi kuruhusu Everton atawale vile halafu leo utegemee kumfunga Gala pale Istanbul kirahisi tu. Kama hawa wachezaji atmosphere ya Copenhagen iliwashinda sijui leo itakuwaje!
Tunashinda leo.
kuhusu kupita 16 bora, tumwachie Mungu
 
Msimu huu kwenye UCL rekodi ya nyumbu ugenini ni 2 games: 0 points. Kipi kinakuaminisha kuwa leo wale wachezaji vilaza (Rashford) wataweza kupata points!

Hii mechi kama kawaida Galatasaray wataingia kama underdogs ila ukiweka vikosi hapa United watakimbizwa.
Rashford leo hayupo ana red na mdg mdg km Anthony tu, wataanza kupigwa bench na ETH mnyama...ni pelistri anaanz na game tunaua.
 
Back
Top Bottom