Volatility
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 3,935
- 7,531
kishakuwa kirusi kile.Ila huyu rashford daaaah bora kule pembeni acheze ata golikipa bey
kishakuwa kirusi kile.Ila huyu rashford daaaah bora kule pembeni acheze ata golikipa bey
Casemiro ubora umepungua sana..tuwekeze kwa huyu mtoto kwa sasa hivi.Huyu ndiye mchezaji pekee pale kikosini ktk eneo la kiungo ambaye anaweza kupokea mpira kutoka kwa Onana bila ku-flinch. Kusema kweli alipoumia nilipoteza imani na msimu huu walau kufanya vizuri kidogo, ukiangalia vizuri strategy ya Ten Hag tulipokuwa pre-season haikuwa ile ile aliyokuja kuitumia baada msimu kuanza na baada ya huyu dogo kuumia. Tulirudi na strategy ile ile ya msimu uliopita huku ubora wa Casemiro ukizidi kupungua jumlisha na form inconsistency ya washambuliaji.
Mimi mwenyewe naona alivorudi kikosini kidogo tumeimarika..na ushindi wa hapa na pale umekuwa ukipatikana..na yeye personally sijaona akifanya blunder kubwa.Harry Maguire amebadilika sana. Kawa kitasa kweli kweli.
Maguire kawa jiwe walilolikataa wahashi.Mimi mwenyewe naona alivorudi kikosini kidogo tumeimarika..na ushindi wa hapa na pale umekuwa ukipatikana..na yeye personally sijaona akifanya blunder kubwa.
Kesho HiyoView attachment 2827311
ETH " I admire both city and liverpool, but era come to an end"Uwe karibu na televisheni yako tu
Kurudi kwa majeruhi kikos kimeimarika sana hasa Kobi na ShawWafanye wawezalo Gala apigwe kwao..Tabu ya hii timu ushindi mmoja kifuatacho ni Vipigo Back to Back...Kama wakimfunga Gala kwao watapata confidence ya kumfunga Bayern pale OT
Kobe Mainoo yupo Kati sasahv...ndo tumeanza UEFA rasmi...ngoja uoneKama unathamini muda wako leo usijisumbue kuangalia mechi. Hakuna kitu cha maana nyumbu wanachoenda kufanya Istanbul. Na haiishii hapo tu nafasi ya kupita kwenda hatua inayofuata ni 1%.
Mpira dakika 90Kama unathamini muda wako leo usijisumbue kuangalia mechi. Hakuna kitu cha maana nyumbu wanachoenda kufanya Istanbul. Na haiishii hapo tu nafasi ya kupita kwenda hatua inayofuata ni 1%.
Ile mechi ya Everton inadanganya sana watu na hawawezi kuona picha halisi ya timu. Ni kweli Mainoo alicheza vizuri ila huwezi kumtegemea peke yake uwanjani.Kobe Mainoo yupo Kati sasahv...ndo tumeanza UEFA rasmi...ngoja uone
Msimu huu kwenye UCL rekodi ya nyumbu ugenini ni 2 games: 0 points. Kipi kinakuaminisha kuwa leo wale wachezaji vilaza (Rashford) wataweza kupata points!Mpira dakika 90
Wafanye wawezalo Gala apigwe kwao..Tabu ya hii timu ushindi mmoja kifuatacho ni Vipigo Back to Back...Kama wakimfunga Gala kwao watapata confidence ya kumfunga Bayern pale OT
Tunashinda leo.Ile mechi ya Everton inadanganya sana watu na hawawezi kuona picha halisi ya timu. Ni kweli Mainoo alicheza vizuri ila huwezi kumtegemea peke yake uwanjani.
Galatasaray huwezi kufananisha na Everton, wana watu wa kutoa adhabu. Huwezi kuruhusu Everton atawale vile halafu leo utegemee kumfunga Gala pale Istanbul kirahisi tu. Kama hawa wachezaji atmosphere ya Copenhagen iliwashinda sijui leo itakuwaje!
Rashford leo hayupo ana red na mdg mdg km Anthony tu, wataanza kupigwa bench na ETH mnyama...ni pelistri anaanz na game tunaua.Msimu huu kwenye UCL rekodi ya nyumbu ugenini ni 2 games: 0 points. Kipi kinakuaminisha kuwa leo wale wachezaji vilaza (Rashford) wataweza kupata points!
Hii mechi kama kawaida Galatasaray wataingia kama underdogs ila ukiweka vikosi hapa United watakimbizwa.
Kama Trashford hayupo, kwahiyo: Garnacho, Martial, Pellistri.Rashford leo hayupo ana red na mdg mdg km Anthony tu, wataanza kupigwa bench na ETH mnyama...ni pelistri anaanz na game tunaua.