trigger_
JF-Expert Member
- Apr 9, 2019
- 764
- 1,414
Kama unathamini muda wako leo usijisumbue kuangalia mechi. Hakuna kitu cha maana nyumbu wanachoenda kufanya Istanbul. Na haiishii hapo tu nafasi ya kupita kwenda hatua inayofuata ni 1%.
Issue ya muhimu sio kupita Bali ni kuifatilia timu pendwa duniani inavyoenda kutupa furaha
