christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 3,150
- 5,065
Maguire kawa jiwe walilolikataa wahashi.Mimi mwenyewe naona alivorudi kikosini kidogo tumeimarika..na ushindi wa hapa na pale umekuwa ukipatikana..na yeye personally sijaona akifanya blunder kubwa.
