fuentte
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 3,210
- 9,206
Mechi ya juzi dhidi ya Everton alikuwa anaeleka kuweka mpira wavuni Mainoo akamuokoa kwenye mstari kabisaMimi mwenyewe naona alivorudi kikosini kidogo tumeimarika..na ushindi wa hapa na pale umekuwa ukipatikana..na yeye personally sijaona akifanya blunder kubwa.
