D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,636
- 121,032
Huyu inatakiwa kule Instanbul Jumatano aanze.
Excuses even before the game startHali ya hewa ni mbovu sana huko Turkey
Nyumbuz pls over pls. Msiende na matokeo huko vibandaniView attachment 2828831
Hawa jamaa mbona wana majina makubwa sana?Nyumbuz pls over pls. Msiende na matokeo huko vibandaniView attachment 2828831
Kama kawaida ya nyumbu, dk 20 za mwanzo unapigwa mpira mkubwa sana baada ya hapo ni vituko.
Hii atmosphere hapo Istanbul huipati uwanja wowote pale England, ndiyo maana watu wanapenda UCL. Mechi lazima iwe na machizi mpira na watoto wa mbwa wakifanya amsha-amsha.