D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,646
- 121,056
Unajua kuna vitu basics wachezaji wanashindwa kufanya mpaka nashindwa kuelewa.These guys are uncoacheable.
Ukiangalia mechi za liverpool, arsenal, man city.
Baadae ukigeuza macho kwetu ni dunia mbili tofauti