Kukatwa kwa points, Everton wanaenda kuwa hatari sana kwa yoyote atakae simama mbele yake Hadi atoke Kule chini ndio atarudi kwenye default yakeHio migoli ya namna hio hua inanifanya niwe namkumbuka Wayne Rooney.
Ila timu letu bwana dakika 10 tu za mwanzo ndio walau hua tunacheza mpira unaonekana ila baada ya hapo ni mwendo wa kuzitia phumbu kabali.
Ila leo naona dakika zimeongezeka kidogo, tumecheza mpira wa kueleweka kwa dakika 20 za mwanzo, kipindi cha pili sijui hata hali itakuwaje maana michezaji yetu ikiwa inaongoza kwa goli moja huona tayari kazi waliyotumwa uwanjani wameshaikamilisha wanaanza kurelax.
Leo Scot anafanya nini humo ?Rashford ni tatizo kwetu,siku akiondolewa tutajilaumu sana kwanini tulichelewa kumuuza.
Unajua kuna vitu basics wachezaji wanashindwa kufanya mpaka nashindwa kuelewa.These guys are uncoacheable.
👆🏼👆🏼👆🏼nilisemaAnthony Martial kaanza nae huwa ana rekodi nzuri ya kuwafunga Everton