D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,636
- 121,032
Too many mistakes
Bora Rashford anapoteza mipira lakini angalao anapambana kufungua nafasi na kuipata..Yule mjinga pale katikati anaitwa Masho kagusa mpira mara tatu dakika zoye 45. Hajui hata aji-position vipi.EtH akituwekea Pellistri huku kulia na Rashford akaa benchi kutakuwa na shida gani??
Hakuna yeyote mwenye shot clip ya hili goli tafadhali atupie humu ili na sisi tuone
Alicheza game za mwanzo..akapata injury..HUYU MAINOO NI KABILA GANI? NA KWA NINI ALIKUWA ANAKAA BENCHI?
Hili goli wapelekewe arsenal washangae kidogo maana kwetu magoli bora ya msimu kama haya tumeishayazoea tangu enzi.
Kama kawaida yetu,dakika 15-20 za mwanzoni huwa bora sana. Baada ya hapo uwanja unainamia kwetu.Too many mistakes
Mwingereza mwenye asili ya Ghana.HUYU MAINOO NI KABILA GANI? NA KWA NINI ALIKUWA ANAKAA BENCHI?
Fitness issuesKama kawaida yetu,dakika 15-20 za mwanzoni huwa bora sana. Baada ya hapo uwanja unainamia kwetu.
Sijui huwa tunafanya mazoezi ya aina ganiFitness issues
These guys are uncoacheable.Kipara anafundisha nini?
Angalia walivyo slow sana kwenye reactions fitness ni ndogo sanaSijui huwa tunafanya mazoezi ya aina gani
Hakuna yeyote mwenye shot clip ya hili goli tafadhali atupie humu ili na sisi tuone
Hio migoli ya namna hio hua inanifanya niwe namkumbuka Wayne Rooney.Garnacho kapiga bonge moja la goal
![]()