Bagabeach
JF-Expert Member
- Jun 30, 2021
- 1,355
- 2,792
Relax bro, msimu jana tumekamata nafas ya tatu.Maajabu haya..
Yaani leo tukishinda City atakuwa anatuzidi point tano na Liverpool atakuwa anatuzidi nne..
ETH is cooking
Relax bro, msimu jana tumekamata nafas ya tatu.Maajabu haya..
Yaani leo tukishinda City atakuwa anatuzidi point tano na Liverpool atakuwa anatuzidi nne..
Mnashindia wapi...mkijitahidi leo shilingi inasimama kati...ila mnadundwaMaajabu haya..
Yaani leo tukishinda City atakuwa anatuzidi point tano na Liverpool atakuwa anatuzidi nne..
Nyie hata point muwe sawa na wale nafasi za juu ,kwa mpira wenu wa janja janja mtapotea
Mmeshinda mechi 3 ,against mid teams halafu zimewasumbua Sana, kama luton
Magoli ya dakika za mwisho
Nyie hata point muwe sawa na wale nafasi za juu ,kwa mpira wenu wa janja janja mtapotea
Mmeshinda mechi 3 ,against mid teams halafu zimewasumbua Sana, kama luton
Magoli ya dakika za mwisho
Trafford imekuwa sehemu ambayo hata wakija Burnley wanasumbua....wale Brentford mkienda kwao watawatoa ngeu...mfano mzuri leo utaona Everton watakavyodai chenjiMid teams kama brentford ulivocheza nae jana
GGMUTukavune point 3 pale Goodison park
Manoo mtu kazi kalud.. tuombe injury isiwe imemmalizakikosi Cha watu wazima kinashuka vijana wa bwanyenye glazer barobaro boys wanashuka kutoa burudani kabambe leo.
Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha
Prediction
Everton 0 vs Manchester United 2View attachment 2825847
Shaw nae kaanzaGood news Kobbie yumo kikosini
Samahani mkuu,hivi huyo Martial kwa timu za hapo Dar anaweza kupata hata Namba?Anthony Martial kaanza nae huwa ana rekodi nzuri ya kuwafunga Everton
Leo Everton watacheza kama timu inayogombania kutoshuka daraja..
Arsenal jana mmeshinda goli ngapi dakika za mwanzoni?Nyie hata point muwe sawa na wale nafasi za juu ,kwa mpira wenu wa janja janja mtapotea
Mmeshinda mechi 3 ,against mid teams halafu zimewasumbua Sana, kama luton
Magoli ya dakika za mwisho