Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sir Jim namuona ni mtu anaeujua mpira, naona mateso sasa bac. Mijitu ya hovyo kama sancho, martial, na anthony watauzwa january. Na hao wastaafu hapo kwenye picha nao wanaeza kuuzwa.View attachment 2823399

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Ambacho sielewi, inakuwaje 25% akawa ndiyo owner na mwenye maamuzi kuzidi 75%? Kuna kitu nimemiss.
 
Everton yupo mkiani, hana cha kupoteza, kashapaka mkongo.. Kwa kifupi mjiandae.
Kesho naangalia mpira miguu juu!
 
20231126_082827.jpg
 
Nyie hata point muwe sawa na wale nafasi za juu ,kwa mpira wenu wa janja janja mtapotea


Mmeshinda mechi 3 ,against mid teams halafu zimewasumbua Sana, kama luton

Magoli ya dakika za mwisho
 
Back
Top Bottom