Nemesis
JF-Expert Member
- Feb 13, 2008
- 5,536
- 4,532
Ambacho sielewi, inakuwaje 25% akawa ndiyo owner na mwenye maamuzi kuzidi 75%? Kuna kitu nimemiss.Sir Jim namuona ni mtu anaeujua mpira, naona mateso sasa bac. Mijitu ya hovyo kama sancho, martial, na anthony watauzwa january. Na hao wastaafu hapo kwenye picha nao wanaeza kuuzwa.View attachment 2823399
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app

