Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Leo Scot anafanya nini humo ?Rashford ni tatizo kwetu,siku akiondolewa tutajilaumu sana kwanini tulichelewa kumuuza.
Leo Scot anafanya nini humo ?Rashford ni tatizo kwetu,siku akiondolewa tutajilaumu sana kwanini tulichelewa kumuuza.
Unajua kuna vitu basics wachezaji wanashindwa kufanya mpaka nashindwa kuelewa.These guys are uncoacheable.
👆🏼👆🏼👆🏼nilisemaAnthony Martial kaanza nae huwa ana rekodi nzuri ya kuwafunga Everton
Huyu inatakiwa kule Instanbul Jumatano aanze.Kobbie what a performance![]()