Kikosi kizuri sana..angalao leo nitaangalia na castle light bariiidi pembeni. Lakini kwa kocha huyu doa halikosekani. ERICKSON inakuwaje anaanza???. Last match Pelistri alifanya kazi nzuri sana tukapata lile goli. Tuombe Mungu kabla ya dakika ya 60 aingie.View attachment 2808209



