Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Eric ten hag ndiye atakayeleta Epl old trafford

Napongeza uongozi kwa kuwa wavumilivu

Manchester united inacheza vizuri sana ukiangalia mechi ya manchester united dhidi ya manchester united timu ilicheza vizuri sana


Mechi ya leo dhidi fulham timu imecheza vizuri sana very compact


Mechi ya Newcastle naamini kocha aliamua tutolewe kwenye mashindano ili kupunguza utitiri wa mechi


Bado naamini eric is the right man


Ila anahitaji director kwasababu kwenye usajili anakosea sana

Amrabat na fred ni wale wale tena bora fred ana pace


Tumpe muda kocha naona mwanga kwenye timu
Umepuyanga Tu hawez leta hata kikombe cha kahawa na UEFA ataishia 16 Bora Tu tena kwa mbinde
 
Ukitaka ujue dunian kuna matapeli.

Ona iyo m1 hapo 65 mwngne 100

M1 hapo kaz yake kick boxing nje na ndan ya uwanja mwngne ni mchezaj mpr angalia vzr utaona nan ni nan.
20231104_205344.jpg
 
Eric ten hag ndiye atakayeleta Epl old trafford

Napongeza uongozi kwa kuwa wavumilivu

Manchester united inacheza vizuri sana ukiangalia mechi ya manchester united dhidi ya manchester united timu ilicheza vizuri sana


Mechi ya leo dhidi fulham timu imecheza vizuri sana very compact


Mechi ya Newcastle naamini kocha aliamua tutolewe kwenye mashindano ili kupunguza utitiri wa mechi


Bado naamini eric is the right man


Ila anahitaji director kwasababu kwenye usajili anakosea sana

Amrabat na fred ni wale wale tena bora fred ana pace


Tumpe muda kocha naona mwanga kwenye timu
Haya maneno hatabadilika baada ya kupokea tena vichapo mfululizo 😂
 
Antony aligoma kula ili asajiliwe Man Utd.

Onana aliigomea Inter ili asajiliwe Man Utd.

Amrabat yeye ndo akagoma hadi kufanya mazoezi ili asajiliwe Man Utd..

Sasa naamini utapeli hauwezi kuisha duniani!
Hakyamungu wallahi
 
Hivi huyu anthony inakuaje anashindwa kumpita walau defender hata mmoja panapotokea situation ya 1v1?
Ubora wake kama winga unatokea wapi ilhali hata kupiga krosi pia hawezi?
Nasubiri majibu toka kwa wataalam wa mpira.
Hawezi kumpita mtu cause mguu wake wa kulia hauna kazi.

Defenders walishamjulia wanajua atadash kuingia ndani wanatight space wanamwachia kulia na kupiga back pass tu.

Wanajua akienda wide hawezi kupiga cross game over

Kuna mechi alicheza left wing second half alipiga cross za kutosha.
 
Back
Top Bottom