Ni kelele tu, lakini kama injured player wakirudi.We are the famous MANCHESTER U NITED!
Gari limewaka wadau,tofauti ya point kati yetu na arsenal iliyo bora ni 6 tu!
kwa kweli bado tunajitafuta.Objektivu football
ETH baada ya goli alikuwa anaomba Refa amalize mpira![]()
Duh! tushafikia huku?😂🙌Ni kelele tu, lakini kama injured player wakirudi.
Naamini top four tunaingia asubuhi sana
City nayo ni bora na awezidi point 6 na game mkononi na Arsenal ana game mkononi acha kujidai hapaWe are the famous MANCHESTER U NITED!
Gari limewaka wadau,tofauti ya point kati yetu na arsenal iliyo bora ni 6 tu!
Usiilinganishe City na arsenal mkuu!City nayo ni bora na awezidi point 6 na game mkononi na Arsenal ana game mkononi acha kujidai hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Naye kawazidi 6 points na game yake leo anaongoza 3 Halftime hivyo zitafika 9 na Arsenal 20:30 akishinda zinakuwa 9 kama kawa.Usiilinganishe City na arsenal mkuu!
Arsenal hashindi mbele ya The magpies,sahau hiloNaye kawazidi 6 points na game yake leo anaongoza 3 Halftime hivyo zitafika 9 na Arsenal 20:30 akishinda zinakuwa 9 kama kawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mechi bado utulie mkuu.Arsenal hashindi mbele ya The magpies,sahau hilo
Kwani Bruno ni mchezaji wa team gani?Bila Bruno mngelala na viatu leo😂
Mshukuruni Bruno
Hili nalo ni la kuuliza?Kwani Bruno ni mchezaji wa team gani?
Mashabiki bana , mbona Ronaldo ,Messi hamsemi wazee mnanshadidia tuzo zao , sembuse Ericksen kupata nafasi ya kicheza?Sijajua kwa nini ETH anampenda Erickson na Dalot....Bissaka karudi mwenye namba yake kuliko kumuweka Dalot nje anaona bora Reguilon akae benchi ili Dalot wake acheze namba 3.
Erickson ni mzee hawa huwa wanaingia dakika ya 75.
Kocha mjinga sana huyu.View attachment 2803551
Mount awezi lingana na Ericksen hata kwa nusu , Ericksen ndiyo kiungo pekee Man United ana weza piga accurate passes na kutembea na mpira !Leo tumeufunga rasmiETH
CASEMIRO
ANTHONY
nadhani Sasa mjadala unaelekea mwishoni
Leo mkisare au kufungwa ,subirien Breaking News
Leteni makocha wote ila msimguse RDZ ,
Umepuyanga Tu hawez leta hata kikombe cha kahawa na UEFA ataishia 16 Bora Tu tena kwa mbindeEric ten hag ndiye atakayeleta Epl old trafford
Napongeza uongozi kwa kuwa wavumilivu
Manchester united inacheza vizuri sana ukiangalia mechi ya manchester united dhidi ya manchester united timu ilicheza vizuri sana
Mechi ya leo dhidi fulham timu imecheza vizuri sana very compact
Mechi ya Newcastle naamini kocha aliamua tutolewe kwenye mashindano ili kupunguza utitiri wa mechi
Bado naamini eric is the right man
Ila anahitaji director kwasababu kwenye usajili anakosea sana
Amrabat na fred ni wale wale tena bora fred ana pace
Tumpe muda kocha naona mwanga kwenye timu
Ukitaka ujue dunian kuna matapeli.
Ona iyo m1 hapo 65 mwngne 100
M1 hapo kaz yake kick boxing nje na ndan ya uwanja mwngne ni mchezaj mpr angalia vzr utaona nan ni nan. View attachment 2803926