Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Objektivu football


ETH baada ya goli alikuwa anaomba Refa amalize mpira
kwa kweli bado tunajitafuta.
leo tumecheza kiasi, na Fulham sio mbovu kiasi hicho.
-Injured players wakirudi
-Rashford na Anthony wakiwa sub players
-Kocha akapandisha morali ya timu.
- kocha atengeneza style ya passing kweny midfield isaidie possession, attacking na defending.

kwa hayo tu, top four tunaingia mapema.
 
Eric ten hag ndiye atakayeleta Epl old trafford

Napongeza uongozi kwa kuwa wavumilivu

Manchester united inacheza vizuri sana ukiangalia mechi ya manchester united dhidi ya manchester united timu ilicheza vizuri sana


Mechi ya leo dhidi fulham timu imecheza vizuri sana very compact


Mechi ya Newcastle naamini kocha aliamua tutolewe kwenye mashindano ili kupunguza utitiri wa mechi


Bado naamini eric is the right man


Ila anahitaji director kwasababu kwenye usajili anakosea sana

Amrabat na fred ni wale wale tena bora fred ana pace


Tumpe muda kocha naona mwanga kwenye timu
 
Sijajua kwa nini ETH anampenda Erickson na Dalot....Bissaka karudi mwenye namba yake kuliko kumuweka Dalot nje anaona bora Reguilon akae benchi ili Dalot wake acheze namba 3.

Erickson ni mzee hawa huwa wanaingia dakika ya 75.

Kocha mjinga sana huyu.View attachment 2803551
Mashabiki bana , mbona Ronaldo ,Messi hamsemi wazee mnanshadidia tuzo zao , sembuse Ericksen kupata nafasi ya kicheza?

Ngoja nikupe kitu age is a just number what we need is output

Mount awezi lingana na Ericksen hata kwa nusu , Ericksen ndiyo kiungo pekee Man United ana weza piga accurate passes na kutembea na mpira !

Ericksen moe namba 8 ana cheza kwa usahihi sana , mpe namba 10 ndiyo home kabisa

Bruno ni good worker si kutembea na mipira
 
Eric ten hag ndiye atakayeleta Epl old trafford

Napongeza uongozi kwa kuwa wavumilivu

Manchester united inacheza vizuri sana ukiangalia mechi ya manchester united dhidi ya manchester united timu ilicheza vizuri sana


Mechi ya leo dhidi fulham timu imecheza vizuri sana very compact


Mechi ya Newcastle naamini kocha aliamua tutolewe kwenye mashindano ili kupunguza utitiri wa mechi


Bado naamini eric is the right man


Ila anahitaji director kwasababu kwenye usajili anakosea sana

Amrabat na fred ni wale wale tena bora fred ana pace


Tumpe muda kocha naona mwanga kwenye timu
Umepuyanga Tu hawez leta hata kikombe cha kahawa na UEFA ataishia 16 Bora Tu tena kwa mbinde
 
Ukitaka ujue dunian kuna matapeli.

Ona iyo m1 hapo 65 mwngne 100

M1 hapo kaz yake kick boxing nje na ndan ya uwanja mwngne ni mchezaj mpr angalia vzr utaona nan ni nan.
20231104_205344.jpg
 
Back
Top Bottom