Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Miss me
IMG-20210923-WA0016.jpg


Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Mnaweza kuwaignore watu wa hivyo, hamtaona maudhui yao humu. Watatuma ujinga wataona hawajibiwi watajirekebisha. Watoto wenye matatizo ya kimalezi wapo wengi humu mitandaoni.
Punguza hasira,ni utani na kukerana tu .....
 
Unapata wapi ujasiri wa kumnanga bingwa mara 3 wa UEFA CHAMPIONS?

Nenda kapige umbea jukwaa la wenzako Totte na West ham.

Hapa ni jukwaa la Mabingwa wa UEFA tunashaurikana kibingwa zaidi.
Mnacheza lini UEFA CHAMPIONS mkuu?
Hapa tunashauriana watu tunaoshindana huko ligi ya mabingwa mzee, nyumbuz na nyukasto na wenzetu city wewe midtable karopokeane na kina LUTON huko eboh....
 
Sasa nyie Arse8 mnashindana UEFA au mnasindikiza wanaume kama kawaida yenu.

Aser8 ni sawa na yule mbwa wako unayemuamini ni mkali sana mtaani, siku unampeleka josho kumuosha anakutana na mambwa ya polisi, anaanza kulia chini chini, kuingiza mkia matakoni na kuburuza miguu ya nyuma.
Nachelea kusema Chelsea irisharejea ilipotoka

Kwasasa Chelsea haina tofaut na Northgham forest Wana UCL 2 ila Ni timu inayopigania kubaki kwenye Ligi haina malengo hata yakushiriki conference league

Ndio Chelsea ipo hapo

Najua mnajidanganya Mtarejea ukweli nawaambia mm sio nabii ,Chelsea imesharejea ilipotoka

Soon mtahama timu


Wewe timu imetumia €1B kwenye usajili Lakini bado Ni dhaifu Sana .

Hamshtuki tu kuwa hiyo timu imeshakuwa Kam kina Northgaham Forest

Hakuna atakayewaambia ukweli huu isipokuwa Mimi najua mtachukia lakin ukweli lazima muambiwe
 
Sasa nyie Arse8 mnashindana UEFA au mnasindikiza wanaume kama kawaida yenu.

Aser8 ni sawa na yule mbwa wako unayemuamini ni mkali sana mtaani, siku unampeleka josho kumuosha anakutana na mambwa ya polisi, anaanza kulia chini chini, kuingiza mkia matakoni na kuburuza miguu ya nyuma.
Hapa unafanya nini wewe?hebu nenda ktk kilinge chenu cha kina LUTON hukohata europa au comference huchezi unajipitisha kwa wanaume na khanga moja iliyolowa maji huku unatingisha wowowo nyambaaaaaf
 
Back
Top Bottom