Nemesis
JF-Expert Member
- Feb 13, 2008
- 5,536
- 4,532
Nafikiri leo tunashinda.Tusiposhinda leo aisee!! Nitashangaa sana GGM
Nafikiri leo tunashinda.Tusiposhinda leo aisee!! Nitashangaa sana GGM
GGMUGGMU
Ukiwa shabiki siku zote lzm uwe optimism.
Bado ETH ni kocha wetu lzm tumuunge mkono.


. Last match Pelistri alifanya kazi nzuri sana tukapata lile goli. Tuombe Mungu kabla ya dakika ya 60 aingie.
Casemiro amrabat varane antony mount hao ni wa kuachana naoVarane aachwe aondoke January tulete center back
Ambrabat aridishwe alikotoka tutafute wachezaji wa kueleweka sio mchezaji anakuja kukaa bench
Mount na antony wachezaji wa sub
Man u wana goli 2Kunani, mbona mnaongea kiufupi na ukali!?
Wanachomoa hawa na si ajabu wakashindaRed card ya Rashford ndiyo inaweza kuharibu mchezo.
aisee!!Rashford fala sana