Kwann RDZ asigusweETH
CASEMIRO
ANTHONY
nadhani Sasa mjadala unaelekea mwishoni
Leo mkisare au kufungwa ,subirien Breaking News
Leteni makocha wote ila msimguse RDZ ,
Mzee wa seagulls 🤣Nyumbu mnaendeleaje na hali? Craven Cottage hali siyo hali, hahah!
Hatuna wasiwasi, Everton lazima waseme. 😁Mzee wa seagulls 🤣
Top coach in my bookKwann RDZ asiguswe
Huo ndio mpango uliopo sasa, kinachofata ni utekelezaji huku tukisaidiwa na FA management.

La pili auTayari huko Mctominay
Huyu jamaaa kila kitu ni fa fa fa faHivi huyu anthony inakuaje anashindwa kumpita walau defender hata mmoja panapotokea situation ya 1v1?
Ubora wake kama winga unatokea wapi ilhali hata kupiga krosi pia hawezi?
Nasubiri majibu toka kwa wataalam wa mpira.
Kocha anajua hilo, nadhani muda sio mrefu jamaa atakuwa anatokea sub.Hivi huyu anthony inakuaje anashindwa kumpita walau defender hata mmoja panapotokea situation ya 1v1?
Ubora wake kama winga unatokea wapi ilhali hata kupiga krosi pia hawezi?
Nasubiri majibu toka kwa wataalam wa mpira.