Huyu jamaaa kila kitu ni fa fa fa faHivi huyu anthony inakuaje anashindwa kumpita walau defender hata mmoja panapotokea situation ya 1v1?
Ubora wake kama winga unatokea wapi ilhali hata kupiga krosi pia hawezi?
Nasubiri majibu toka kwa wataalam wa mpira.
Kocha anajua hilo, nadhani muda sio mrefu jamaa atakuwa anatokea sub.Hivi huyu anthony inakuaje anashindwa kumpita walau defender hata mmoja panapotokea situation ya 1v1?
Ubora wake kama winga unatokea wapi ilhali hata kupiga krosi pia hawezi?
Nasubiri majibu toka kwa wataalam wa mpira.
Ni kelele tu, lakini kama injured player wakirudi.We are the famous MANCHESTER U NITED!
Gari limewaka wadau,tofauti ya point kati yetu na arsenal iliyo bora ni 6 tu!
kwa kweli bado tunajitafuta.Objektivu football
ETH baada ya goli alikuwa anaomba Refa amalize mpira![]()
Duh! tushafikia huku?😂🙌Ni kelele tu, lakini kama injured player wakirudi.
Naamini top four tunaingia asubuhi sana
City nayo ni bora na awezidi point 6 na game mkononi na Arsenal ana game mkononi acha kujidai hapaWe are the famous MANCHESTER U NITED!
Gari limewaka wadau,tofauti ya point kati yetu na arsenal iliyo bora ni 6 tu!
Usiilinganishe City na arsenal mkuu!City nayo ni bora na awezidi point 6 na game mkononi na Arsenal ana game mkononi acha kujidai hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Naye kawazidi 6 points na game yake leo anaongoza 3 Halftime hivyo zitafika 9 na Arsenal 20:30 akishinda zinakuwa 9 kama kawa.Usiilinganishe City na arsenal mkuu!
Arsenal hashindi mbele ya The magpies,sahau hiloNaye kawazidi 6 points na game yake leo anaongoza 3 Halftime hivyo zitafika 9 na Arsenal 20:30 akishinda zinakuwa 9 kama kawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mechi bado utulie mkuu.Arsenal hashindi mbele ya The magpies,sahau hilo
Kwani Bruno ni mchezaji wa team gani?Bila Bruno mngelala na viatu leo😂
Mshukuruni Bruno
Hili nalo ni la kuuliza?Kwani Bruno ni mchezaji wa team gani?
Mashabiki bana , mbona Ronaldo ,Messi hamsemi wazee mnanshadidia tuzo zao , sembuse Ericksen kupata nafasi ya kicheza?Sijajua kwa nini ETH anampenda Erickson na Dalot....Bissaka karudi mwenye namba yake kuliko kumuweka Dalot nje anaona bora Reguilon akae benchi ili Dalot wake acheze namba 3.
Erickson ni mzee hawa huwa wanaingia dakika ya 75.
Kocha mjinga sana huyu.View attachment 2803551
Mount awezi lingana na Ericksen hata kwa nusu , Ericksen ndiyo kiungo pekee Man United ana weza piga accurate passes na kutembea na mpira !