GLAZERS FAMILY wanatoa pesa msajili 'WATU' ila nyie mnasajili akina 'KIKONGWE CASEMIRO' ambae kashajichokea vya kutosha
REAL MADRID sio wajinga, ukiwa mtu pale hutoki. Waliona wajingajinga wakuwala mamilion wapo, wakataka 73M nanyi mkatoa kununua mchezaji ambaye muda mwingi anatumikia either gerezani (RED CARD) au wodini (INJURY)
Haya sasa CASEMIRO OUT WIKI 7 ATAKUWA NJE
CASEMIRO kaumia na atakuwa nje hata kule Denmark mnangojewa kwa ham na vi'COPENHAGEN vitawagonga vibaya mno mpaka mtakoma na hivi mido enu ina mapeng
REAL MADRID waliona kabisa huyu kaisha tuuzie 'WANAOJICHANGANYAGA' sokoni ambao wapo radhi kutoa mamilion kununua magharasa akina MAGUIRE, LISANDRO MARTINEZ, MALACIA, MARTIAL, SANCHO, HOJLUND, ANTONY na mwisho wa siku kumlaumu mmiliki eti 'OUT'
Hivi kama GLAZERS FAMILY hawafai, ARSENAL wasemaje?
Maana ukiangalia ARSENAL bajeti yao ni ndogo sana tofauti na MANCHESTER UNITED lkn uwanjan ishakuwa ni kama maji na mafuta
MANCHESTER UNITED tabu iko palepale, mkikaza kwa FULHAM mnamaliza nguvu za kumzuia COPENHAGEN na kipigo cha kwenye UEFA kitawafanya mburuze mkia hahahahahaaaa
CASEMIRO, PARTEY, NKUNKU, JESUS ni bora uwe na akina MUDRYK, NKETIAH, ELANGA wanaotumia muda mwingi uwanjan na sio wodini
Ndugu NYUMBU, mnapigwa na FULHAM kisha mnaenda kugongwa na COPENHAGEN halafu mumlaumu GLAZER anayetoa mamilion ambayo mnanunulia vikongwe na majeruhi