Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

UCL 2007 pale OT Man United waliwakaribisha Ac Milan Gozi likipigwa sana dakika ya 5 Cristian Ronaldo yule wing harisi akatupia , mtu wa Imani kali Kaka akazawazisha kazi ikawa ngumu sana wanangu !! Kama haitoshi Kaka tena akaingia kambani shwaaaaa Milan akawa Mbele pale OT , Hapo Sir Ferguson akawambia wanangu pandeni mbele , hapo wafia timu wakabadili gear Daren Fletcher , Paul Scholes , Wayne Rooney , Michael Carrick Waka tawala sana pale kati 🫲 , si mda Wayne Rooney na jezi yake namba 8 akapigw kamba safi , kipa Dida akaokota mpira kambani 2:2 , dakika ya 90 fans wa Man United wamekata tamaa nusu robo final hiyo Dakika za nyingeza 3 Ryan Giggs yule kipepeo akakimbia na mpira kama swala , akapuga pass kwa Wayne Rooney akapuga chenga sadi mbele ya Nesta kamba ya Dida hana namna FT Man United 3 Milan 2 . Hii ndiyo Man United ya wafia timu , wakiwa na beki wa kawaida tu siku hiyo Wes Brown, Gabriel Heinze pale kati !

Sijui Leo itakuwaje?
 
Kikosi kizuri sana..angalao leo nitaangalia na castle light bariiidi pembeni. Lakini kwa kocha huyu doa halikosekani. ERICKSON inakuwaje anaanza??? . Last match Pelistri alifanya kazi nzuri sana tukapata lile goli. Tuombe Mungu kabla ya dakika ya 60 aingie.
Screenshot_20231108_221303_All%20Goals.jpg
 
Varane aachwe aondoke January tulete center back


Ambrabat aridishwe alikotoka tutafute wachezaji wa kueleweka sio mchezaji anakuja kukaa bench

Mount na antony wachezaji wa sub
Casemiro amrabat varane antony mount hao ni wa kuachana nao
 
Back
Top Bottom