UCL 2007 pale OT Man United waliwakaribisha Ac Milan



Gozi likipigwa sana dakika ya 5 Cristian Ronaldo yule wing harisi akatupia

, mtu wa Imani kali Kaka akazawazisha

kazi ikawa ngumu sana wanangu !! Kama haitoshi
Kaka tena akaingia kambani shwaaaaa

Milan akawa Mbele pale OT , Hapo
Sir Ferguson akawambia wanangu pandeni mbele



, hapo wafia timu wakabadili gear Daren Fletcher , Paul Scholes , Wayne Rooney , Michael Carrick Waka tawala sana pale kati 🫲

, si mda Wayne Rooney na jezi yake namba 8 akapigw kamba safi , kipa Dida akaokota mpira kambani

2:2 , dakika ya 90 fans wa Man United wamekata tamaa nusu robo final hiyo



Dakika za nyingeza 3 Ryan Giggs yule kipepeo akakimbia na mpira kama swala , akapuga pass kwa Wayne Rooney akapuga chenga sadi mbele ya Nesta kamba ya

Dida hana namna FT Man United 3 Milan 2 .
Hii ndiyo Man United ya wafia timu , wakiwa na beki wa kawaida tu siku hiyo Wes Brown, Gabriel Heinze pale kati !
Sijui Leo itakuwaje?