BONNIE GOLD
JF-Expert Member
- Jan 27, 2021
- 484
- 957
Nyi wahuni, mnamuona Marcel Sabitzer anavyosambaza ball hapo kati?


Gozi likipigwa sana dakika ya 5 Cristian Ronaldo yule wing harisi akatupia
, mtu wa Imani kali Kaka akazawazisha
kazi ikawa ngumu sana wanangu !! Kama haitoshi Kaka tena akaingia kambani shwaaaaa
Milan akawa Mbele pale OT , Hapo Sir Ferguson akawambia wanangu pandeni mbele 

, hapo wafia timu wakabadili gear Daren Fletcher , Paul Scholes , Wayne Rooney , Michael Carrick Waka tawala sana pale kati 🫲
, si mda Wayne Rooney na jezi yake namba 8 akapigw kamba safi , kipa Dida akaokota mpira kambani
2:2 , dakika ya 90 fans wa Man United wamekata tamaa nusu robo final hiyo 

Dakika za nyingeza 3 Ryan Giggs yule kipepeo akakimbia na mpira kama swala , akapuga pass kwa Wayne Rooney akapuga chenga sadi mbele ya Nesta kamba ya
Dida hana namna FT Man United 3 Milan 2 . Hii ndiyo Man United ya wafia timu , wakiwa na beki wa kawaida tu siku hiyo Wes Brown, Gabriel Heinze pale kati !Nafikiri leo tunashinda.Tusiposhinda leo aisee!! Nitashangaa sana GGM
GGMUGGMU
Ukiwa shabiki siku zote lzm uwe optimism.
Bado ETH ni kocha wetu lzm tumuunge mkono.


. Last match Pelistri alifanya kazi nzuri sana tukapata lile goli. Tuombe Mungu kabla ya dakika ya 60 aingie.
Casemiro amrabat varane antony mount hao ni wa kuachana naoVarane aachwe aondoke January tulete center back
Ambrabat aridishwe alikotoka tutafute wachezaji wa kueleweka sio mchezaji anakuja kukaa bench
Mount na antony wachezaji wa sub
Man u wana goli 2Kunani, mbona mnaongea kiufupi na ukali!?
Wanachomoa hawa na si ajabu wakashindaRed card ya Rashford ndiyo inaweza kuharibu mchezo.