Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Umeongea ukweli mtupu

Grazzer Wana makosa Yao ,ila huyu kocha wenu kimbinu Ni mweupe Sana

Kuna watu wanasema mbona mwaka Jana alifanya vzr ,mm nakataa huwa nasema Kuna factors zilimbeba last season na anguko lake nililiona mbelen

Tabia yakuwa outplayed na timu ndogo haijaanza mwaka huu Ni toka last season,Ni vile mashabiki wamejaa mihemko timu ikishinda hawaangalii imeshindaje .

Rejea mechi vs Arsenal pale OT ,mnashinda 3-1 , as Arsenal fan nilifurahia timu yangu japo ilifungwa ila nilishangaa Sana man u kushinda kwa mpira ule ,

Kuna a lot of matches,vs Leicester man u anashinda Lakini kwa Hali ngumu Sana .

Kocha unapewa timu Kama man u ,miaka hii bado unataka ucheze kaunta attack football, Tena ukimtegemea Rashford maana ndio anafiti hiyo falsafa
tunapo zungumzia matatizo ya glazer hata kocha akiwa ni mbovu lazima lawama tuwatumie wao tu

tunaongea ivyo maana wao ndo wanatuamulia ni nani awe kocha wetu ina maana kama kocha wetu yupo chini ya kiwango bado wao ni wakulaumiwa tu
wataletaje kocha mwenye uwezo mdogo kwenye timu kubwa kama Manchester?

glazer kwenye kuwalaumu hatuwezi kuacha maana wao ndo wanatuletea makocha wanaamua nani awe kocha wetu

ina maana wao waliona Eric 10 hag anatosha kama hatoshi basi wao wanakwepaje lawama hawakumpima uwezo wake kuwa anastahili kupewa timu kubwa kama Manchester.

Kwaiyo kama watakuwa hawana uwezo wakutuletea makocha wenye uwezo na wao ndo maboss wetu ndo maana tunapiga kelele hawatoshi

#glazer OUT
 
tunapo zungumzia matatizo ya glazer hata kocha akiwa ni mbovu lazima lawama tuwatumie wao tu

tunaongea ivyo maana wao ndo wanatuamulia ni nani awe kocha wetu ina maana kama kocha wetu yupo chini ya kiwango bado wao ni wakulaumiwa tu
wataletaje kocha mwenye uwezo mdogo kwenye timu kubwa kama Manchester?

glazer kwenye kuwalaumu hatuwezi kuacha maana wao ndo wanatuletea makocha wanaamua nani awe kocha wetu

ina maana wao waliona Eric 10 hag anatosha kama hatoshi basi wao wanakwepaje lawama hawakumpima uwezo wake kuwa anastahili kupewa timu kubwa kama Manchester.

Kwaiyo kama watakuwa hawana uwezo wakutuletea makocha wenye uwezo na wao ndo maboss wetu ndo maana tunapiga kelele hawatoshi

#glazer OUT
Leo tunaenda kuangalia balobalo Boys ama tuachane nao kwa muda 😃😃😃
 
Sijajua kwa nini ETH anampenda Erickson na Dalot....Bissaka karudi mwenye namba yake kuliko kumuweka Dalot nje anaona bora Reguilon akae benchi ili Dalot wake acheze namba 3.

Erickson ni mzee hawa huwa wanaingia dakika ya 75.

Kocha mjinga sana huyu.
Screenshot_20231104_145506_All%20Goals.jpg
 
Back
Top Bottom