BJB FC
JF-Expert Member
- Aug 25, 2015
- 2,169
- 2,487
Yes we are back. Man Yuyu Halisi. Leo hapo, tunaendelea tulupoishia. Kugawa pointsNever lose hope.
United is back
Yes we are back. Man Yuyu Halisi. Leo hapo, tunaendelea tulupoishia. Kugawa pointsNever lose hope.
United is back
tunapo zungumzia matatizo ya glazer hata kocha akiwa ni mbovu lazima lawama tuwatumie wao tuUmeongea ukweli mtupu
Grazzer Wana makosa Yao ,ila huyu kocha wenu kimbinu Ni mweupe Sana
Kuna watu wanasema mbona mwaka Jana alifanya vzr ,mm nakataa huwa nasema Kuna factors zilimbeba last season na anguko lake nililiona mbelen
Tabia yakuwa outplayed na timu ndogo haijaanza mwaka huu Ni toka last season,Ni vile mashabiki wamejaa mihemko timu ikishinda hawaangalii imeshindaje .
Rejea mechi vs Arsenal pale OT ,mnashinda 3-1 , as Arsenal fan nilifurahia timu yangu japo ilifungwa ila nilishangaa Sana man u kushinda kwa mpira ule ,
Kuna a lot of matches,vs Leicester man u anashinda Lakini kwa Hali ngumu Sana .
Kocha unapewa timu Kama man u ,miaka hii bado unataka ucheze kaunta attack football, Tena ukimtegemea Rashford maana ndio anafiti hiyo falsafa
Leo tunaenda kuangalia balobalo Boys ama tuachane nao kwa muda 😃😃😃tunapo zungumzia matatizo ya glazer hata kocha akiwa ni mbovu lazima lawama tuwatumie wao tu
tunaongea ivyo maana wao ndo wanatuamulia ni nani awe kocha wetu ina maana kama kocha wetu yupo chini ya kiwango bado wao ni wakulaumiwa tu
wataletaje kocha mwenye uwezo mdogo kwenye timu kubwa kama Manchester?
glazer kwenye kuwalaumu hatuwezi kuacha maana wao ndo wanatuletea makocha wanaamua nani awe kocha wetu
ina maana wao waliona Eric 10 hag anatosha kama hatoshi basi wao wanakwepaje lawama hawakumpima uwezo wake kuwa anastahili kupewa timu kubwa kama Manchester.
Kwaiyo kama watakuwa hawana uwezo wakutuletea makocha wenye uwezo na wao ndo maboss wetu ndo maana tunapiga kelele hawatoshi
#glazer OUT
aaahLeo tunaenda kuangalia balobalo Boys ama tuachane nao kwa muda![]()

mkuu soon naachia uzi.
Watu wameteseka miaka 30 bila Epl akina Saint Anne sisi ni nani tusipite kipind hiki cha mpito😃😃😃aaahmkuu soon naachia uzi.
Ngoma ndio kwanza mbichiWatu wameteseka miaka 30 bila Epl akina Saint Anne sisi ni nani tusipite kipind hiki cha mpito😃😃😃
Ana changamoto zilizomfanya akae nje.Naona rashford nje leo![]()
Majeruhi auAna changamoto zilizomfanya akae nje.
Offsideeeeeee