Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 25,012
- 56,294
We won it in fergie time
Huna timu bado hasa kocha hunaKuanzia leo ni mwendo wa vipigo,,,, yoyote aliye mbele yetu.
Tushajipata
Huyu kocha namuona mbovu kwa kulazimisha Rashford aanze kila mechiPamoja na ushindi. Rashfo ni batili
Haters wapi tokeni mafichoniiiiiii

Mkuu huna hata aibu kusema ayo.
.
Hii international break wangemtimuaSisi kama wapinzani tumefurahia ushindi wenu mnono!
Tunaomba bwana Eriki aendelee kuwepo mpaka mwisho wa msimu.. Natumai tutafurahia mengi![]()
Nilisema tulieni mechi tunashinda hiiSkieni hii game tunachomoa tunashinda au sare sisi kama ma nyumbu kazi ndogo sana hio wakina rashidi wakiacha uchoyo
Yani wakina selemani wachomoe kule alafu sisi tushindwe no no no
Nilikuw nacheki mechi mkuu Kwaiyo nilikuwa na bana mbupu.Umerudi ,ulikimbia
Dah pole SanaNilikuw nacheki mechi mkuu Kwaiyo nilikuwa na bana mbupu.
Kocha siwezi mtetea sanaHuna timu bado hasa kocha huna
Endeleeni kudanganyana
Tulia kesho unayakusema kwa cityTrip shamba Trip Garage
Ipo hivi hata alipokuwa na hiyo back 4 bado alikimbizwa Sana na wolves hapo OTKocha siwezi mtetea sana
Ila hata arteta ikitokea kapata Injury za
Saliba
Gabriel
White na
Zincheko
Arsenal nayo itakua kituko,, hili ndo jambo linatutesa united sahizi. Back 4 yetu yote iko garage, kwa hali hii epl utateseka sana lazima.