Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kocha siwezi mtetea sana

Ila hata arteta ikitokea kapata Injury za
Saliba
Gabriel
White na
Zincheko

Arsenal nayo itakua kituko,, hili ndo jambo linatutesa united sahizi. Back 4 yetu yote iko garage, kwa hali hii epl utateseka sana lazima.
Ipo hivi hata alipokuwa na hiyo back 4 bado alikimbizwa Sana na wolves hapo OT

Poch ana majeruhi 10 lakin tunaona structure hata akifungwa
 
Kocha siwezi mtetea sana

Ila hata arteta ikitokea kapata Injury za
Saliba
Gabriel
White na
Zincheko

Arsenal nayo itakua kituko,, hili ndo jambo linatutesa united sahizi. Back 4 yetu yote iko garage, kwa hali hii epl utateseka sana lazima.
Ligi mlianza na hao wote bado mlikuwa mnacheza pira magimbi

Mkasema akija Amrabat waungane na Casemiro apone na mount

Tunaona bado mnarukaruka


Sema tunagurahi bado huyu kocha aendelee kuwepo ,
 
We are fucking back!
Hii game itamuamsha 10hag kuzingatia subs za.mapema kuliko kila siku kikosi kinatabirika kama cha arsenal vile.

Kucheza tunacheza ila wapinzani wanapaki sana gari hasa ikitokea wanaongoza mechi. Walifunga kila tundu hadi unashindwa kumlaumu 10Hag kwa aina ya wachezaji alionao. Afadhali Eriksen alikuwa anajaribu kupiga through balls kati ya mstari wa ulinzi kwenda kwa washambuliaji wetu.

GGMU.
 
Maguireeeeee
Screenshot_20231007_192217_All%20Goals.jpg
 
We are fucking back!
Hii game itamuamsha 10hag kuzingatia subs za.mapema kuliko kila siku kikosi kinatabirika kama cha arsenal vile.

Kucheza tunacheza ila wapinzani wanapaki sana gari hasa ikitokea wanaongoza mechi. Walifunga kila tundu hadi unashindwa kumlaumu 10Hag kwa aina ya wachezaji alionao. Afadhali Eriksen alikuwa anajaribu kupiga through balls kati ya mstari wa ulinzi kwenda kwa washambuliaji wetu.

GGMU.
They already know what time is it

Nimuda wa kwenda kuchukua nafasi yetu pale top 4 after international break

GGMUN
 
Ila huyu onana inabidi akae benchi kwanza,, pressure ni kubwa, kaanza kuwa na wenge kama la magwaya.
Hana wenge ,Ni kipa overrated

Ni kipa wa kawaida tu tofaut na mlivyoaminishwa kuwa anamzidi Degea
 
Back
Top Bottom