Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Zile mbwembwe za EtH za kusafisha kikosi na kuweka nidhamu kwenye timu nilizipenda sana, sikujua kwamba hata hajui anachotaka kufanya.

Kwa uchazaji wa Rashford wa kichoyo katika michezo iliyopita, angekuwa kocha makini kama Pep, Rashford angekuwa nje kabisa ya kikosi. Ila kwa EtH, ni poa tu. Onana hivyo hivyo pia, una makipa watatu kwenye timu, watumie kushindana ili wasibweteke.
 
Skieni hii game tunachomoa tunashinda au sare sisi kama ma nyumbu kazi ndogo sana hio wakina rashidi wakiacha uchoyo

Yani wakina selemani wachomoe kule alafu sisi tushindwe no no no
 
Nasikitika Sana maana 7hag anaenda kuliwa kichwa

Napenda abaki awapeleke nafasi za 12-15 huko

Huyu kocha nilimkataa toka mwaka Jana ,ule ushindi wa papatupapatu nilikuwa najua Ni wa muda mfupi tu ila kiuwezo hamfikii hata Ole gunar sosha

Kuna Wahuni hawa 👇 ndiyo Walioifanya Manure ionekane Timu kubwa wakati Ferguson akiwa Kocha lakini baada ya kuondoka Ferguson na baadhi ya hawa Wahuni sasa tunaiona rangi halisi ya Manure.

Kiufupi hii haikuwa Timu kubwa ila Hawa Marefa walilazimisha ionekane Timu kubwa kwa kulazimisha ishinde michezo yake.

Steve Bennett
Alan Wiley
Mike Riley
Mike Dean
Martin Atkinson
Mark Clattenburg
Rob Styles
Howard Webb
Mark Halsey
Chris Foy
Peter Walton
Phil Dowd
Andre Marriner
Steve Tanner
Lee Probert
Lee Mason
Uriah Rennie
Keith Stroud
 
Ni mchezaji wa kawaida ,wewe mchezaji ana miaka 27 kaonekana world cup mechi 3 , unampapalikia
Ukitaka mfano mzuri kamuangalie yule kijana aliewika sana na Morocco, wanamuita Ounahi.. Sasa anacheza Marseille, ushawahi kumsikia tangu amalize kucheza kombe la dunia?

Sasa hivi anakula mkeka. Mechi dhidi ya Brighton ya Europa aliingia sub.

Wachezaji wa kuzuka kama huyu Amrabat ogopa sana, usiingie kichwa kichwa utaumia!😂
 
Kazi ipo kocha wetu ni muoga tu Hana lolotee mtu kama rashford sio wa kucheza kabisa ila anamuogopa, mtu kila mechi anacheza vibaya bado anauhakika wa kuanza.
Hata Onana ni mda apumzike kwanza hayupo sawa ila jamaa muoga sana kukuweka benchi hata carabao
Hee sasa hivi ndo kocha kawa muoga tena. Mlivyokua mkimsapoti alipomfukuza Ronaldo na kumvua unahodha Maguire?
 
Nadhani Sasa wale wanaonichukia watanielewa nilipokuwa namkubali pochetino pamoja na matokeo mabaya mwanzoni

Tatizo sio matokeo mabaya , Wachambuzi nguli tunaangalia vitu vingi tofauti na malayman wengi

Sisi tunaangalia

Je kocha anaweka playing style?
Kocha ana talent ID
Kocha ana uwezo wakwendana na modern football

Ukiangalia vigezo vyote hivo Pochetino anavyo

Pochetino kuanzia mwakani ataanza kugombea ubingwa

Anahitaji madirisha mawili tu aongeze kiungo mmoja na CF mmoja ,plus injury zirudi .
 
Nadhani Sasa wale wanaonichukia watanielewa nilipokuwa namkubali pochetino pamoja na matokeo mabaya mwanzoni

Tatizo sio matokeo mabaya , Wachambuzi nguli tunaangalia vitu vingi tofauti na malayman wengi

Sisi tunaangalia

Je kocha anaweka playing style?
Kocha ana talent ID
Kocha ana uwezo wakwendana na modern football

Ukiangalia vigezo vyote hivo Pochetino anavyo

Pochetino kuanzia mwakani ataanza kugombea ubingwa

Anahitaji madirisha mawili tu aongeze kiungo mmoja na CF mmoja ,plus injury zirudi .
Huna lolote kwendaaaaaa
 
Nadhani Sasa wale wanaonichukia watanielewa nilipokuwa namkubali pochetino pamoja na matokeo mabaya mwanzoni

Tatizo sio matokeo mabaya , Wachambuzi nguli tunaangalia vitu vingi tofauti na malayman wengi

Sisi tunaangalia

Je kocha anaweka playing style?
Kocha ana talent ID
Kocha ana uwezo wakwendana na modern football

Ukiangalia vigezo vyote hivo Pochetino anavyo

Pochetino kuanzia mwakani ataanza kugombea ubingwa

Anahitaji madirisha mawili tu aongeze kiungo mmoja na CF mmoja ,plus injury zirudi .
Kisa kaifunga Burnley? 😆😆😆 To do that anatumia kikosi cha sh ngapi?
 
Back
Top Bottom