Umerudi ,ulikimbiaWhat a goall mama wewe Manchester United is back
Huna timu bado hasa kocha hunaKuanzia leo ni mwendo wa vipigo,,,, yoyote aliye mbele yetu.
Tushajipata
Huyu kocha namuona mbovu kwa kulazimisha Rashford aanze kila mechiPamoja na ushindi. Rashfo ni batili
Haters wapi tokeni mafichoniiiiiii

Mkuu huna hata aibu kusema ayo.
.
Hii international break wangemtimuaSisi kama wapinzani tumefurahia ushindi wenu mnono!
Tunaomba bwana Eriki aendelee kuwepo mpaka mwisho wa msimu.. Natumai tutafurahia mengi![]()
Nilisema tulieni mechi tunashinda hiiSkieni hii game tunachomoa tunashinda au sare sisi kama ma nyumbu kazi ndogo sana hio wakina rashidi wakiacha uchoyo
Yani wakina selemani wachomoe kule alafu sisi tushindwe no no no
Nilikuw nacheki mechi mkuu Kwaiyo nilikuwa na bana mbupu.Umerudi ,ulikimbia
Dah pole SanaNilikuw nacheki mechi mkuu Kwaiyo nilikuwa na bana mbupu.