lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 13,197
- 28,079
Zile mbwembwe za EtH za kusafisha kikosi na kuweka nidhamu kwenye timu nilizipenda sana, sikujua kwamba hata hajui anachotaka kufanya.
Kwa uchazaji wa Rashford wa kichoyo katika michezo iliyopita, angekuwa kocha makini kama Pep, Rashford angekuwa nje kabisa ya kikosi. Ila kwa EtH, ni poa tu. Onana hivyo hivyo pia, una makipa watatu kwenye timu, watumie kushindana ili wasibweteke.
Kwa uchazaji wa Rashford wa kichoyo katika michezo iliyopita, angekuwa kocha makini kama Pep, Rashford angekuwa nje kabisa ya kikosi. Ila kwa EtH, ni poa tu. Onana hivyo hivyo pia, una makipa watatu kwenye timu, watumie kushindana ili wasibweteke.
Je kocha anaweka playing style?
