hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,282
- 26,657
Mimi hata nikifungwa tofaut na nyieTulia kesho unayakusema kwa city
Last week nilipokwambia city anapigwa ulidhihaki , baadae ulikimbia hukurudi
Mimi hata nikifungwa tofaut na nyieTulia kesho unayakusema kwa city
Ligi mlianza na hao wote bado mlikuwa mnacheza pira magimbiKocha siwezi mtetea sana
Ila hata arteta ikitokea kapata Injury za
Saliba
Gabriel
White na
Zincheko
Arsenal nayo itakua kituko,, hili ndo jambo linatutesa united sahizi. Back 4 yetu yote iko garage, kwa hali hii epl utateseka sana lazima.
Mimi hata nikifungwa tofaut na nyie
Last week nilipokwambia city anapigwa ulidhihaki , baadae ulikimbia hukurudi



ndo uongee kwa sauti kubwaWolves unawachukulia poa??Ipo hivi hata alipokuwa na hiyo back 4 bado alikimbizwa Sana na wolves hapo OT
Poch ana majeruhi 10 lakin tunaona structure hata akifungwa
They already know what time is itWe are fucking back!
Hii game itamuamsha 10hag kuzingatia subs za.mapema kuliko kila siku kikosi kinatabirika kama cha arsenal vile.
Kucheza tunacheza ila wapinzani wanapaki sana gari hasa ikitokea wanaongoza mechi. Walifunga kila tundu hadi unashindwa kumlaumu 10Hag kwa aina ya wachezaji alionao. Afadhali Eriksen alikuwa anajaribu kupiga through balls kati ya mstari wa ulinzi kwenda kwa washambuliaji wetu.
GGMU.

Hio mitusi yenu pelekeni kule kwenye jukwaa lenu la waliokosa malezi ya pande mbili, msitutie nuksi humu nyie wajaa laana fc.Hata Kama unataka nikufi**r si kilazima hivo
Hili jukwaa la wastaaarabu mashabiki bange wa Asenyo wanakuja kutuharibia Cv.Hio mitusi yenu pelekeni kule kwenye jukwaa lenu la waliokosa malezi ya pande mbili, msitutie nuksi humu nyie wajaa laana fc.
Pamoja Sana mkuundo uongee kwa sauti kubwa
Anyways kesho ni tactics vs tactics all the best wajeda
Huyo Ni mwenzioHio mitusi yenu pelekeni kule kwenye jukwaa lenu la waliokosa malezi ya pande mbili, msitutie nuksi humu nyie wajaa laana fc.
Hana wenge ,Ni kipa overratedIla huyu onana inabidi akae benchi kwanza,, pressure ni kubwa, kaanza kuwa na wenge kama la magwaya.
Top 4?They already know what time is it
Nimuda wa kwenda kuchukua nafasi yetu pale top 4 after international break
GGMUN![]()
Wewe jamaa nini kimekupata. Huyo jamaa kujibishana naye unajishushia heshima tu mwenzako ana ID kama uchafuHata Kama unataka nikufi**r si kilazima hivo
Huyo ni Asenyau mwenzio, mtu kila sehemu anakufata na kukuprovoke kwa makusudi wewe badala ya kumignore maisha yaendelee unaingia kwenye mfumo na kuanza kutoa mineno michafu mwenzio ndio furaha yake.Huyo Ni mwenzio
Hao marefa ndio hao pia walikuwa wanachezesha na UEFA,hasa za miaka 1999 na 2008?Kuna Wahuni hawa 👇 ndiyo Walioifanya Manure ionekane Timu kubwa wakati Ferguson akiwa Kocha lakini baada ya kuondoka Ferguson na baadhi ya hawa Wahuni sasa tunaiona rangi halisi ya Manure.
Kiufupi hii haikuwa Timu kubwa ila Hawa Marefa walilazimisha ionekane Timu kubwa kwa kulazimisha ishinde michezo yake.
Steve Bennett
Alan Wiley
Mike Riley
Mike Dean
Martin Atkinson
Mark Clattenburg
Rob Styles
Howard Webb
Mark Halsey
Chris Foy
Peter Walton
Phil Dowd
Andre Marriner
Steve Tanner
Lee Probert
Lee Mason
Uriah Rennie
Keith Stroud