Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

“#MUFC were absolutely useless.”

“They were doing a lap of honour like they’d just won the Champions League!”

“They should be apologising to the fans. They know it’s papering the cracks.”

Gabby Agbonlahor tips on to Man United for their performance v Brentford
 
Kipara atakaporudi breaks
  1. Mount na bruno wagombanie namba 10. nimelikumbuka pambano la higuain dhidi ya benzema nyakati za mourinho.
  2. Casemiro apumzike.
  3. Fair play kati ya garnacho na rashford.
  4. Fair play kati ya antony na amad baada ya kutoka majeruhi.
  5. Kobbie, gore na hata hannibal wagombanie nafasi. Mpira haupimwi tena kwa hoja ya umri bali uwezo ndio maana lamine yamal anacheza kule barcelona.
  6. Nimemshuhudia fabregas akicheza arsenal akiwa na miaka 16 miaka 18. iliopita. Hoja ya umri ni muflisi
  7. Amad. Shaw, malacia, reguilon, wan bissaka....back from injuries
No more excuse tena kiparaa.
Rotation ndiye muokozi wake dhidi ya injuries

  • Mechi yetu dhidi ya liverpool naomba inipitikie, kama namuona kipara akipanga kikosi cha mazoea. Wale mbwa watatutoa roho hiyo siku.
  • Kabla kipara hajaondoka, atumalizie filamu yetu ya ukatili aliokwisha anza nayo.
  • Nachungulia juventus, huyu Locatelli hastahili kucheza juventus, kibibi kizee atupe sisi huyu bwana then wao tuwape casemiro, varane na eriksen.

Mnaonaje
Cha kwanza kabisa amsajili Luis Ocampos
Denzen Dumfries, David Raum, Antonio Silva , Florina Writz na Jacob Ramsey

Amuondoshe Rafael Varane, Jadon Sancho, Eriksen, Diogo Dalot, Tyrel Malacia na Facundo (Pellistri on loan), Antony Martial

Hapo hata wakimfukuza angalau tutakuwa umeshaanza safari ya kurudi juu.
 
MWAMBA HUYU HAPA

Man United walikuwa hatarini kupoteza mechi ya 3 mfululizo ya EPL kabla ya Scott McTominay kuingilia kati hii kesi na kumfanya ETH kushangilia kama ametwaa taji la UCL

Kiukweli haya mapumziko ya mechi za kimataifa ETH inabidi ayatumie kutafakari sana kuhusu

1: Staili ya uchezaji ya Man United

2: Utambulisho wa timu ... wanajaribu kufanya nini ?

3: Utengenezaji wa nafasi bora za kufunga za mara kwa mara ... unamuangalia Hojlund halafu unafikiria chances kwake ziko wapi

4: Wachezaji wajiangalie sana kwenye kioo kama wanafanya vya kutosha ... makosa mengi sana tena ambayo yanajirudia mno .

5: McTominay ameziba tu ufa tu leo lakini bado kuna kazi kubwa sana ya kufanya ili Man United wawe na msimu bora

Thomas na Frank na Brentford yake , kama mchezaji wako bora anakuwa / wanakuwa mabeki basi kuna shida mahala na sio leo tu bali mechi kadhaa za msimu huu kama sio mabeki wake basi viungo mara chache wamekuwa ( Mbuemo na Wissa )

Leo Kristoffer Ajer , Pinnock ( hasa huyu mwamba ) na Collins walifanya kazi nzuri sana pale walipohitajika

1: Tackling
2: Defensive headers
3: Blocks
4: Kutumia miili yao kukabiliana na wachezaji wa United Physically .

AMBANGILE
 
Ethan kutokwa twitter:

The gap between the 1st & 2nd lines of our team is alarming, and blame has to lie with the #6 for such a gap. The #6 should be the link between the #8’s & CBs.

Casemiro does not provide that, nor does he provide the immense positive out of possession like he did last season; he has a 28.1% duel success rate this season which is down nearly 60% from last season. That seems to be largely down to a decline in athleticism but his engagement timing is also off. In possession he gives away so many cheap balls, too. Trying to play the ball first time instead of getting his foot on the ball and playing simple, short passes. Does not scan upon receiving the ball. Far too error-prone.

Quite simply, in this current vein of form, he is a net negative to this team. He should not be anywhere near the XI.
 
Nawakaribisha nyumbu wote kwenye hafla yetu ya kesho.. Tuungane kwa pamoja kuwacheka nyumbu wenzenu, tutokomeze huu utawala wa kipara ngoto.. Kiukweli amekuja kuiua ligi yetu!

Au mnasemaje nyumbugila?😀
IMG_20230810_223327_504.jpg
 
Back
Top Bottom