Kipara atakaporudi breaks
- Mount na bruno wagombanie namba 10. nimelikumbuka pambano la higuain dhidi ya benzema nyakati za mourinho.
- Casemiro apumzike.
- Fair play kati ya garnacho na rashford.
- Fair play kati ya antony na amad baada ya kutoka majeruhi.
- Kobbie, gore na hata hannibal wagombanie nafasi. Mpira haupimwi tena kwa hoja ya umri bali uwezo ndio maana lamine yamal anacheza kule barcelona.
- Nimemshuhudia fabregas akicheza arsenal akiwa na miaka 16 miaka 18. iliopita. Hoja ya umri ni muflisi
- Amad. Shaw, malacia, reguilon, wan bissaka....back from injuries
No more excuse tena kiparaa.
Rotation ndiye muokozi wake dhidi ya injuries
- Mechi yetu dhidi ya liverpool naomba inipitikie, kama namuona kipara akipanga kikosi cha mazoea. Wale mbwa watatutoa roho hiyo siku.
- Kabla kipara hajaondoka, atumalizie filamu yetu ya ukatili aliokwisha anza nayo.
- Nachungulia juventus, huyu Locatelli hastahili kucheza juventus, kibibi kizee atupe sisi huyu bwana then wao tuwape casemiro, varane na eriksen.
Mnaonaje