makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 36,764
- 106,566
Wenzenu chelsea wamechomoa.
Hee 😃 Yashakua hayo tena!😂😂😂Varane ni liability kwa Man United
Namuheshimu Sana mkuu ,ukweli hamna kochaTunacheza vibaya sana, situation mfano wa hii itakuwa ni mara ya 100 kuishuhudia.
Mara nyingi huondoka na kichwa cha kocha mkuu.
Amrabat sio mkabaji, ni msindikizaji.. Mara mia Casemiro huchukua maamuzi magumu ya kula umeme!😂Tuliambiwa tusubirie combination ya Casemiro na Amrabati
Brentford wanajipitia hapo katikati bila shida
Rashford kafanya uchoyo wa wazi pale kama kawaida yake.
Ndio maana watu wanataka uongozi utokeTunacheza vibaya sana, situation mfano wa hii itakuwa ni mara ya 100 kuishuhudia.
Mara nyingi huondoka na kichwa cha kocha mkuu.
Wana kipengele cha kumnunua kwa lazima. Walifanya hivyo kwa sababu ya ishu ya FFP.Jambo la kushukuru Mungu amrabat amekuja kwa mkopo
Omama hakuna kipa mule
Angaia gape juu Hadi kwa kipa.#BRINGBACKDEGEA
Aaaahhakika dunia ilikuwa na hamu kubwa sana kuwaona mabingwa Mara 13 na vijana wa bwanyenye glazer barobaro boys kugawa burudani kabambe leo.
Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha
My prediction
Manchester United 3 vs Brentford 1
11.00 jioni
Old Trafford
Manchester United tunayoijua ndo inaanza ligi leo sasa
Haters wote muanze kujificha kuanzia sasa mama mtakosa Cha kuongea
Aaaaaah itakuwa ni raha tupu wakubwa
View attachment 2774168
Tuliambiwa tusubirie combination ya Casemiro na Amrabati
Brentford wanajipitia hapo katikati bila shida




