Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tunacheza vibaya sana, situation mfano wa hii itakuwa ni mara ya 100 kuishuhudia.

Mara nyingi huondoka na kichwa cha kocha mkuu.
Namuheshimu Sana mkuu ,ukweli hamna kocha

Huyu hata akipewa ile Barca ya 2012 bado itacheza ujanjaujanja

Leo combination ya Casemiro na Amrabati bado mna dominatiwa Midfield
 
Tunacheza vibaya sana, situation mfano wa hii itakuwa ni mara ya 100 kuishuhudia.

Mara nyingi huondoka na kichwa cha kocha mkuu.
Ndio maana watu wanataka uongozi utoke

Its gonna be the same issue over and over tutasajili na kutimua kocha mbaka basi new system is needed on finding and recruiting quality personnel for a quality process sio tu mna amka mnasema kibarua kijacho apewe de zerbi wakati structural Hierarchy nzima mbovu
 
Kazi ipo leo
IMG_8147.jpeg
 
Aaaah hakika dunia ilikuwa na hamu kubwa sana kuwaona mabingwa Mara 13 na vijana wa bwanyenye glazer barobaro boys kugawa burudani kabambe leo.

Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha

My prediction

Manchester United 3 vs Brentford 1

11.00 jioni

Old Trafford


Manchester United tunayoijua ndo inaanza ligi leo sasa

Haters wote muanze kujificha kuanzia sasa mama mtakosa Cha kuongea

Aaaaaah itakuwa ni raha tupu wakubwa
View attachment 2774168

Umebakia muda mchache wewe kuwa kichaa
 
Nasikitika Sana maana 7hag anaenda kuliwa kichwa

Napenda abaki awapeleke nafasi za 12-15 huko

Huyu kocha nilimkataa toka mwaka Jana ,ule ushindi wa papatupapatu nilikuwa najua Ni wa muda mfupi tu ila kiuwezo hamfikii hata Ole gunar sosha
 
Nasikitika Sana maana 7hag anaenda kuliwa kichwa

Napenda abaki awapeleke nafasi za 12-15 huko

Huyu kocha nilimkataa toka mwaka Jana ,ule ushindi wa papatupapatu nilikuwa najua Ni wa muda mfupi tu ila kiuwezo hamfikii hata Ole gunar sosha
Mkuu jamaa wanamuona fergie ndani yake.pliz watie moyo
 
Back
Top Bottom