Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nyie Nyumbu leo Brentford tunataka points 3 au 1
Leo hata tukifungwa sio mbaya maana tayari tunacho kitu cha kusingizia, msiba wa mke wa Sir alex ferguson mama yetu Cathy Ferguson amefariki dunia.
Kwanza kwa tamaduni zetu Afrika sio busara kuwasema wafiwa, leo tunakuomba upumzishe hilo bakuli lako, wenzio tuko kwenye huzuni ya kuondokewa na mama yetu kipenzi.
 
Leo hata tukifungwa sio mbaya maana tayari tunacho kitu cha kusingizia, msiba wa mke wa Sir alex ferguson mama yetu Cathy Ferguson amefariki dunia.
Kwanza kwa tamaduni zetu Afrika sio busara kuwasema wafiwa, leo tunakuomba upumzishe hilo bakuli lako, wenzio tuko kwenye huzuni ya kuondokewa na mama yetu kipenzi.
Hakuna Cha Nini Wala nini mkandwe tu

Kifupi mgombee kushuka daraja
 
Leo hata tukifungwa sio mbaya maana tayari tunacho kitu cha kusingizia, msiba wa mke wa Sir alex ferguson mama yetu Cathy Ferguson amefariki dunia.
Kwanza kwa tamaduni zetu Afrika sio busara kuwasema wafiwa, leo tunakuomba upumzishe hilo bakuli lako, wenzio tuko kwenye huzuni ya kuondokewa na mama yetu kipenzi.
Kuna dalili ya msiba mwingine
 
Sancho watching the U18s today!
1696683778260.png
 
Nami nasubiri link nistream,hii mechi sio ya kuangalia mbele ya watu wengi sana,hasa anti-united.
 
Back
Top Bottom