Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,465
- 14,608
Chelsea tumejitafuta na tumejipataNyie hamtabiriki ,napenda mshinde kwakweli ,ila Kuna baadh yenu Wana midomo hao
Chelsea tumejitafuta na tumejipataNyie hamtabiriki ,napenda mshinde kwakweli ,ila Kuna baadh yenu Wana midomo hao
Mm sijawahi kuwa na shaka na Pochettino ,Ni kocha mzuri mwenye tacticsChelsea tumejitafuta na tumejipata
Nyie Nyumbu leo Brentford tunataka points 3 au 1


Leo hata tukifungwa sio mbaya maana tayari tunacho kitu cha kusingizia, msiba wa mke wa Sir alex ferguson mama yetu Cathy Ferguson amefariki dunia.Hakuna Cha Nini Wala nini mkandwe tuLeo hata tukifungwa sio mbaya maana tayari tunacho kitu cha kusingizia, msiba wa mke wa Sir alex ferguson mama yetu Cathy Ferguson amefariki dunia.
Kwanza kwa tamaduni zetu Afrika sio busara kuwasema wafiwa, leo tunakuomba upumzishe hilo bakuli lako, wenzio tuko kwenye huzuni ya kuondokewa na mama yetu kipenzi.
Man U ilishuka daraja championship ndo itakua ligi pendwa kuliko zoteHakuna Cha Nini Wala nini mkandwe tu
Kifupi mgombee kushuka daraja
Kuna dalili ya msiba mwingineLeo hata tukifungwa sio mbaya maana tayari tunacho kitu cha kusingizia, msiba wa mke wa Sir alex ferguson mama yetu Cathy Ferguson amefariki dunia.
Kwanza kwa tamaduni zetu Afrika sio busara kuwasema wafiwa, leo tunakuomba upumzishe hilo bakuli lako, wenzio tuko kwenye huzuni ya kuondokewa na mama yetu kipenzi.

App gan nzuri ya live mkuu ,,,,niko vijjn huku hakuna bar kubwa wala kibanda umiza ,,,,,View attachment 2774494
jeremie frimpong - bayer leverkusen